Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hili ndio swali ninalijiuliza huku nikizingatia uwekezaji wa gharama kubwa unaofanywa na vilabu plus wachezaji kuvuja jasho halafu kunakuwa na sheria/kanuni inayompa mtu mmoja anaeitwa mwamuzi kuwa na maamuzi ya mwisho na kibaya zaidi hayabadiliki hata ikithibika alitoa maamuzi yasiyo sahihi.
Na ni kwanini dunia nzima inatumia nguvu kubwa kujadili maamuzi mabovu ya marefa na watu hawajadili kabisa sheria ibadilishwe mchezo ufutwe/urudiwe?
Kama kwenye kupanga matokeo ikithibitika matokeo yalipangwa, matokeo yanafutwa na timu ilionewa inapewa ushindi huku timu iliohusika kupanga matokeo ikiadhibiwa. Ni kwanini refa anapofanya maamuzi mabovu na ikathibitika hivyo, matokeo yasifutwe?
Yaani FIFA inajali zaidi incovinience za kubadili maamuzi ya refa kuliko jasho wanalotoka wachezaji na uwekezaji unaofanywa na vilabu kutafuta ushindi?
FIFA wanataka mpaka nini kitokee ndio waone kuna umuhimu wa maamuzi ya refa kutenguliwa?
Mimi sielewi, na zaidi siwaelewi walimwengu wapenda soka kwanini nao wao wamekuwa kama nyumbu kusisitiza tu kuwa maamuzi ya refa ni ya mwisho na hawaongelei kabisa umuhimu wa maamuzi ya refa kubadilishwa?
Yaani wanamichezo wanatumia muda mwingi kuhioji na kulalamikia tatiozo ila hawahangaiki kabisa kuhoji chanzo cha tatizo ambalo ni mtu mmoja kupewa maamuzi ya mwisho!! Pathetic!!
Hata mahakamani kwenye kufanya maamuzi mazito, majaji hupiga kura, ila kwenye soka eti mtu mmoja tu ndio anaamua kila kitu na maamuzi yake ndio ya mwisho!!!
Wanasema mchezo wa soka ni wa kikatili, ila ukweli ni kuwa, kanuniu na sheria za huu mchezo ni za kikatili zaidi kulikoi nature ya mchezo wenyewe.
Na ni kwanini dunia nzima inatumia nguvu kubwa kujadili maamuzi mabovu ya marefa na watu hawajadili kabisa sheria ibadilishwe mchezo ufutwe/urudiwe?
Kama kwenye kupanga matokeo ikithibitika matokeo yalipangwa, matokeo yanafutwa na timu ilionewa inapewa ushindi huku timu iliohusika kupanga matokeo ikiadhibiwa. Ni kwanini refa anapofanya maamuzi mabovu na ikathibitika hivyo, matokeo yasifutwe?
Yaani FIFA inajali zaidi incovinience za kubadili maamuzi ya refa kuliko jasho wanalotoka wachezaji na uwekezaji unaofanywa na vilabu kutafuta ushindi?
FIFA wanataka mpaka nini kitokee ndio waone kuna umuhimu wa maamuzi ya refa kutenguliwa?
Mimi sielewi, na zaidi siwaelewi walimwengu wapenda soka kwanini nao wao wamekuwa kama nyumbu kusisitiza tu kuwa maamuzi ya refa ni ya mwisho na hawaongelei kabisa umuhimu wa maamuzi ya refa kubadilishwa?
Yaani wanamichezo wanatumia muda mwingi kuhioji na kulalamikia tatiozo ila hawahangaiki kabisa kuhoji chanzo cha tatizo ambalo ni mtu mmoja kupewa maamuzi ya mwisho!! Pathetic!!
Hata mahakamani kwenye kufanya maamuzi mazito, majaji hupiga kura, ila kwenye soka eti mtu mmoja tu ndio anaamua kila kitu na maamuzi yake ndio ya mwisho!!!
Wanasema mchezo wa soka ni wa kikatili, ila ukweli ni kuwa, kanuniu na sheria za huu mchezo ni za kikatili zaidi kulikoi nature ya mchezo wenyewe.