Kipi kimezikumba hizi biashara za hawa macelebrity

Kipi kimezikumba hizi biashara za hawa macelebrity

Business ni strategy biashara sio sawa na umaarufu. Ukiwa maarufu ukailewa biashara inataka nini una advantage kuliko unaoshindana nao kibiashara. Tatizo celebrities wetu wanaleta first world businesses katika mazingira ya third world wakidhani wanaweza tusua kutumia majina yao pasi ya kujua in first world kuna middle class ya kutosha, huku kwetu makapuku ndio wengi. Wabongo wengi hatujafikia level kununua brand tunafanya manunuzi kukidhi mahitaji, ya mini ninunue mofaya 4000 wakati kuna Mo Energy drink 500, au Chibu Perfume wakati kuna vidude vya buku 5 tu sinuki jasho.
 
Business ni strategy biashara sio sawa na umaarufu. Ukiwa maarufu ukailewa biashara inataka nini una advantage kuliko unaoshindana nao kibiashara. Tatizo celebrities wetu wanaleta first world businesses katika mazingira ya third world wakidhani wanaweza tusua kutumia majina yao pasi ya kujua in first world kuna middle class ya kutosha, huku kwetu makapuku ndio wengi. Wabongo wengi hatujafikia level kununua brand tunafanya manunuzi kukidhi mahitaji, ya mini ninunue mofaya 4000 wakati kuna Mo Energy drink 500, au Chibu Perfume wakati kuna vidude vya buku 5 tu sinuki jasho.
True
 
Dellaboss perfume ya Hajji manara hii aliizindua kwa mbwembwe zote huyu msemaji wetu wana msimbazi. Lakini sasa kimyaa hata mwaka haijamaliza.

Mofaya ya Alikiba, hii ni kama sijui kufata mkumbo maana tangu aizindue sikuwahi kukutana nayo kokote.([emoji3]sijui ndio kusema hapendi show off)

Chibu perfume ya Diamond. Hii nayo sioni chochote kikiendelea. Ila walio wahi kuitumia wanasema ni ya kawaida sana na bei ni kubwa mno(bei haiendani na bidhaa ni kama alikuwa anauzia jina)
Fynebyfalsafa ya Hamisi Mwijuma (mwana F.A), hii nayo naona kama haina maisha marefu maana hata promotion imepungua sana.

Mnaweza kuongezea biashara zingine za hawa ndugu zetu zilizokufa kifo cha mende.
Je, huwa wanakwama wapi labda?
Kwenye FYN By Falsafa umebugi, inauzika mtaani kama njugu!
 
Business ni strategy biashara sio sawa na umaarufu. Ukiwa maarufu ukailewa biashara inataka nini una advantage kuliko unaoshindana nao kibiashara. Tatizo celebrities wetu wanaleta first world businesses katika mazingira ya third world wakidhani wanaweza tusua kutumia majina yao pasi ya kujua in first world kuna middle class ya kutosha, huku kwetu makapuku ndio wengi. Wabongo wengi hatujafikia level kununua brand tunafanya manunuzi kukidhi mahitaji, ya mini ninunue mofaya 4000 wakati kuna Mo Energy drink 500, au Chibu Perfume wakati kuna vidude vya buku 5 tu sinuki jasho.
Uko sahihi
 
Dellaboss perfume ya Hajji manara hii aliizindua kwa mbwembwe zote huyu msemaji wetu wana msimbazi. Lakini sasa kimyaa hata mwaka haijamaliza.

Mofaya ya Alikiba, hii ni kama sijui kufata mkumbo maana tangu aizindue sikuwahi kukutana nayo kokote.([emoji3]sijui ndio kusema hapendi show off)

Chibu perfume ya Diamond. Hii nayo sioni chochote kikiendelea. Ila walio wahi kuitumia wanasema ni ya kawaida sana na bei ni kubwa mno(bei haiendani na bidhaa ni kama alikuwa anauzia jina)
Fynebyfalsafa ya Hamisi Mwijuma (mwana F.A), hii nayo naona kama haina maisha marefu maana hata promotion imepungua sana.

Mnaweza kuongezea biashara zingine za hawa ndugu zetu zilizokufa kifo cha mende.
Je, huwa wanakwama wapi labda?
Ndio maana makampuni kama ya kina Bahkresa au sijui Mo wao wana target bidhaa za lazima kwa kila family utanunua tu unga sijui mikate au mafuta muhimu huwezi kuingia nyumba hawatumii bidhaa yao moja. Sasa wewe unakuja na perfume kitu ni kama luxury hakina umuhimu wowote nani atanunua na maisha yenyewe haya. Hakuna akili za kibishara wale wahindi wauza sekera na chips tu wanapiga pesa sababu utakula tu ni lazima.
 
Mastar wabongo wanaofanya biashara kwa kujituma na mambo yanaenda

1. Esha salim buheti...huyu dada ni balaa kweye misosi

2. Shilole...nae ni mama ntilie biashara inakua

3. Jack wolper....house of bwangaz,huyu mchaga haa mchezo,

4.b dozen.....born2shine, huyu anajitahidi sana


Hizi ni biashara zakawaida zisizohitaji kiki na zinaenda fresh tu


Nikuongezee na Juma Jux na Tshit zile za African boy
 
Ndio maana makampuni kama ya kina Bahkresa au sijui Mo wao wana target bidhaa za lazima kwa kila family utanunua tu unga sijui mikate au mafuta muhimu huwezi kuingia nyumba hawatumii bidhaa yao moja. Sasa wewe unakuja na perfume kitu ni kama luxury hakina umuhimu wowote nani atanunua na maisha yenyewe haya. Hakuna akili za kibishara wale wahindi wauza sekera na chips tu wanapiga pesa sababu utakula tu ni lazima.
Sio lazima uuze bidhaa ya lazima ndio biashara iende mfano Makjuice zile juisi ni lazima, kuna mwengine anauza uji Happap ni lazima, Energy drink kama mofaya inafanya vizuri SA na Africa sio bidhaa ya lazima, Jux mavazi yake ya African boy sio lazima nk
 
Jamani katika wasanii Diamond ndio mjasiriamali/mfanyabiashara namba moja tatizo munaangalia wazalisha bidhaa sio watoa huduma...kampuni ya WCB na wasafi media ni millions company.
 
Business ni strategy biashara sio sawa na umaarufu. Ukiwa maarufu ukailewa biashara inataka nini una advantage kuliko unaoshindana nao kibiashara. Tatizo celebrities wetu wanaleta first world businesses katika mazingira ya third world wakidhani wanaweza tusua kutumia majina yao pasi ya kujua in first world kuna middle class ya kutosha, huku kwetu makapuku ndio wengi. Wabongo wengi hatujafikia level kununua brand tunafanya manunuzi kukidhi mahitaji, ya mini ninunue mofaya 4000 wakati kuna Mo Energy drink 500, au Chibu Perfume wakati kuna vidude vya buku 5 tu sinuki jasho.
Umenikumbusha p diddy aliintroduce kinywaji chake Nigeria akaishia kula za uso. Eti chupa moja anauza dola 40 halaf kinywaji chenyewe ni maji tu yenye ladha ya nazi
 
Back
Top Bottom