Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Najiuliza kwa mukstakabari wa Afya ya Jamii na Amani kipi kinatakiwa kiwe Kipimo cha Matendo ya Wanajamii kuyafanya Imani yao inavyowatuma (bila kuangalia matokeo) au Matokeo (yaani wanachofanya kuhakikisha hakiumizi yoyote) hata kama kinaendana tofauti na Imani yao ?
Hata Kama Imani hio ni ya wengi je inamaanisha hata wale wachache wanaobaki waumie ili hao wengi waridhishe Mungu / Imani yao ?
After all Kama Simba Wawili na Binadamu mmoja wakisema wapige Kura ya Chakula cha Kula, Binadamu lazima ndio atakuwa Kitoweo....
Hata Kama Imani hio ni ya wengi je inamaanisha hata wale wachache wanaobaki waumie ili hao wengi waridhishe Mungu / Imani yao ?
After all Kama Simba Wawili na Binadamu mmoja wakisema wapige Kura ya Chakula cha Kula, Binadamu lazima ndio atakuwa Kitoweo....