Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Labda ila mbona nyota Zina wafungukia kina platform??, Phina??Nyota
Ni kweli, sema asipokuwa makini itakuwa haina faida.Ana sauti nzuri sana
π―π€Je shida au tatizo ni Menejimenti mbovu, nidhamu mbovu
Phina atafika mbali sana sababu hana nyodo kama huyu bibie Ruby na naona ana management nzuri piaLabda ila mbona nyota Zina wafungukia kina platform??, Phina??
"Ruby aligombana na mawingu ndio waka m'boost mchumba wa ruge Nandy" alisikika mpita njiaRuby, moja ya wasanii wenye vipaji vikubwa katika muziki, kuanzia sauti mpaka uwasilishaji wake lazima vitakuvutia.
π Nyimbo kama Jela, Yule na Forever ni moja ya hits pendwa, ambazo zimeendelea kumpa sifa au kuuonyesha ubora wake.
π Nimejiuliza kipi kinachomfanya asiendelee kuwika katika zama hizi za streams? Maana wenzie kama Nandy, Zuchu, Maua Sama na sasa Phina wanazidi kumuacha mbali.
Boomplay streams;
~ Nandy 50M+
~ Zuchu 50M+
~ Sama 25M+
~ Ruby 5Mπ
Je shida au tatizo ni Menejimenti mbovu, nidhamu mbovu, au kakosa vichwa vyenye madini kama kina Ruge?
View attachment 2565857
View attachment 2565858
Dah Kuna watu man maneno makali, Kama mmekosa uji wa msibaniTatizo kajeuri, na hicho kidomo sasa, wanaokojolea hapa wana mioyo ya mawe
Muhimu ujumbe ufike usiache kumsomea nahisi atakuwa dada yako, apunguze gubu ndo maana hakanenepiDah Kuna watu man maneno makali, Kama mmekosa uji wa msibani