Kipi kinamfelisha msanii Ruby kuendelea kufanya vizuri katika muziki?

Kipi kinamfelisha msanii Ruby kuendelea kufanya vizuri katika muziki?

Ruby anaponzwa na dharau,majivuno,kiburi,kujiamini kulikopitiliza,sifa na kujitenga..
Hakuna management itaweka hela kwa ruby,kana kiburi sana.

Yani ruby na baraka da prince hawatakuja sainiwa kwenye lebo yoyote ile hapa africa...
Oiiii
 
Back
Top Bottom