Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #21
Worry out mkuu, many women in this country are my sister and friends. So hope utajipambania pia. I mean no malice to nobodyMuhimu ujumbe ufike usiache kumsomea nahisi atakuwa dada yako, apunguze gubu ndo maana hakanenepi
Hakika.. kama wao wenyewe (ruby & barakah) waliwekeana ujeuri ku-shoot video ya NIVUMILIE ujue sio poaRuby anaponzwa na dharau,majivuno,kiburi,kujiamini kulikopitiliza,sifa na kujitenga..
Hakuna management itaweka hela kwa ruby,kana kiburi sana.
Yani ruby na baraka da prince hawatakuja sainiwa kwenye lebo yoyote ile hapa africa...
Watakula jeuli yaoHakika.. kama wao wenyewe (ruby & barakah) waliwekeana ujeuri ku-shoot video ya NIVUMILIE ujue sio poa
Hlf ni wana vipaji haswa ila jeuri zao zinawaponzaRuby anaponzwa na dharau,majivuno,kiburi,kujiamini kulikopitiliza,sifa na kujitenga..
Hakuna management itaweka hela kwa ruby,kana kiburi sana.
Yani ruby na baraka da prince hawatakuja sainiwa kwenye lebo yoyote ile hapa africa...
Bongo hakuna kama ruby yani sio zuchu,nandy wala maua na kama angetulia kwenye lebo 1 pengne angekua kama v money.Hlf ni wana vipaji haswa ila jeuri zao zinawaponza
amefocus kumfatilia ex na mama cookie kuliko plan zake za music, akwendeee kwanza anenepe kidogo!
Ruby anaimba bwana,ana sauti nzuri sn sn. Akiimba live ss weeeee hamna km yy bongo sema ujeur wake tu unamponzaBongo hakuna kama ruby yani sio zuchu,nandy wala maua na kama angetulia kwenye lebo 1 pengne angekua kama v money.
Umemaliza...na bangi anazovutaRuby anaponzwa na dharau,majivuno,kiburi,kujiamini kulikopitiliza,sifa na kujitenga..
Hakuna management itaweka hela kwa ruby,kana kiburi sana.
Yani ruby na baraka da prince hawatakuja sainiwa kwenye lebo yoyote ile hapa africa...
Bangi sio hoja mkuuUmemaliza...na bangi anazovuta
Unatoa laana Mkuu[emoji1783][emoji1783][emoji1783]Ruby anaponzwa na dharau,majivuno,kiburi,kujiamini kulikopitiliza,sifa na kujitenga..
Hakuna management itaweka hela kwa ruby,kana kiburi sana.
Yani ruby na baraka da prince hawatakuja sainiwa kwenye lebo yoyote ile hapa africa...
ila we jamaaRuby ndio nani tena wakuu???