Kipi kinamfelisha msanii Ruby kuendelea kufanya vizuri katika muziki?

Ruby anaponzwa na dharau,majivuno,kiburi,kujiamini kulikopitiliza,sifa na kujitenga..
Hakuna management itaweka hela kwa ruby,kana kiburi sana.

Yani ruby na baraka da prince hawatakuja sainiwa kwenye lebo yoyote ile hapa africa...
Oiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…