waltham
JF-Expert Member
- Jan 23, 2014
- 2,522
- 1,045
Photoshop imehusika, ukiwaona wakati wanatoka kuamka utakimbia
You are just dumb!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Photoshop imehusika, ukiwaona wakati wanatoka kuamka utakimbia
Wa dada wa bongo tungepata hard time kenya coz kule wapo so agressive while wadada wa kenya najua mwisho wa siku wangegoma kurudi kwao coz our man are humble
Kenyan men aggressiveness yetu huwa tu wakati wa kusaka hela lakini tukifika Bongo huwa tunatuliza kasi kidogo ili ku-fit in the society, hivyo usihofie sana. Kwanza watoto wa Tanga huniacha hoi kwa jinsi wanaongea Kiswahili kwa lafudhi yenye mahaba aisei. Dah! kwanza pale DoubleTree afu kwa mbali jua linatua ama Kigamboni usiku kwenye beach...... Bongo ina utamu kiaina.
Nimekupenda bure.....lol
Aiseeee hata wanaume wao wabaki nao huko huko bahili kweliii
ha ha ha wanadhani kenya hapa!!
Bora mwekundu wewe unawajua hao wa K....dah wagumu balaa
Photoshop imehusika, ukiwaona wakati wanatoka kuamka utakimbia
Halaf hapo kamuweka Hamisa Mabeto kwani Mkenyaa au anajichanganyaaaaa
Photoshop imehusika, ukiwaona wakati wanatoka kuamka utakimbia
Hizo picha kwao ndio celebrities ambao kwa kiwango cha huku kwetu bongo ndio watoto tandale na manzese!!!
mmmhhh!wabongo tupo juu
kadoda11 kuanzia muonekano
mpaka kila kitu acha wakenya wajipe moyo!
Hizo picha kwao ndio celebrities ambao kwa kiwango cha huku kwetu bongo ndio watoto tandale na manzese!!!