Kipi kitabu cha Mungu kwa wakati wetu huu kati ya Bibilia na Qur'an?

Kipi kitabu cha Mungu kwa wakati wetu huu kati ya Bibilia na Qur'an?

kinjimbi

Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
15
Reaction score
10
Habari Wana jamii, nimeona mada nyingi zinazo husiana na iman zikileta changamoto na kuto kubalina katika njia zote mbili.

Sasa naomba tutoe hoja Kila mmoja hapa kwanini tuseme BIBILIA ni KITABU CHA MUNGU na kinaongoza watu kwenda mbinguni na pia Qur' an ni KITABU chuamungu na kinaongoza watu kwenda mbinguni.

Chamsingi ni hoja za nguvu ili muthibitisha vitabu vyetu hivi.

Angalizo
Hoja zitawale zaidi kuthibitisha,na sio matusi na dhihaka.
 
Quran ni copy ya Bible. Biblia ni kitabu cha zamani zaidi kuliko Qur'an.

Yehova na Allah ni vitu viwili you tofauti kabisa.

Jehova aliumba mtu kwa mfano wake. Allah hafanani na kiumbe chochote.

Jehova ana mwana wake wa pekee, Yesu Kristo. Allah hakuzaa wala hakuzaliwa.

Hata huko wanakoishi ni sehemu mbili tofauti kabisa.

Allah anakaa peponi, Jehovah anakaa mbinguni.

Mbinguni ni kusifu na kuabudu tu, peponi unapewa wanawake mabikira 72.

Mbinguni hamna kuoa wala kuolewa. Peponi kuna mito ya pombe tamu

 
Jitahid kutofautisha kitabu "kitakatifu" na kitabu "kitukufu"
 
HAbari Wana jamii, nimeona mada nyingi zinazo husiana na iman zikileta changamoto na kuto kubalina katika njia zote mbili.

Sasa naomba tutoe hoja Kila mmoja hapa kwanini tuseme BIBILIA ni KITABU CHA MUNGU na kinaongoza watu kwenda mbinguni na pia Qur' an ni KITABU chuamungu na kinaongoza watu kwenda mbinguni.

Chamsingi ni hoja za nguvu ili muthibitisha vitabu vyetu hivi.

Angalizo
Hoja zitawale zaidi kuthibitisha,na sio matusi na dhihaka.
Sisi Wahindu na kitabu chetu cha Veda tunacomment wapi?
 
Mungu ameshusha vitabu vinne katika ulimwengu huu!! Navyo ni Taurat aliyomteremshia Mtume Musa ili iwe ni sheria na muongozo kwa wana wa israel (yakub), kisha ikafuata Zaburi aliyomteremshia Mtume Daudi ili iwaongoze wana wa israel, baadae akaiteremsha Injili kwa mtume wake Issa mwana wa maryam iwe ni bishara njema na muongozo kwa wana wa israel na mwisho akamalizia na kuiteremsha Quran kwa mtume wake Muhammad ili iwe muongozo na sheria kwa walimwengu wote.


Hakuna kitabu kingine kitakachoteremka zaidi ya Quran mpaka ulimwengu huu una tamatika.
 
Mungu ameshusha vitabu vinne katika ulimwengu huu!! Navyo ni Taurat aliyomteremshia Mtume Musa ili iwe ni sheria na muongozo kwa wana wa israel (yakub), kisha ikafuata Zaburi aliyomteremshia Mtume Daudi ili iwaongoze wana wa israel, baadae akaiteremsha Injili kwa mtume wake Issa mwana wa maryam iwe ni bishara njema na muongozo kwa wana wa israel na mwisho akamalizia na kuiteremsha Quran kwa mtume wake Muhammad ili iwe muongozo na sheria kwa walimwengu wote.


Hakuna kitabu kingine kitakachoteremka zaidi ya Quran mpaka ulimwengu huu una tamatika.
Kwani kuna kitabu kilichowahi kutelemka?
 
Religion cons:a) IT Creates the mass delusions that one person is better than another. B) Divides humanity;Brainwashes.
 
Who is Mungu?

unaposema kitabu cha Mungu, eleza Mungu yupi?, maana dunia ina Miungu wengi, na kila Mungu ni sahihi kwa kile alichowashushia watu wa jamii yake.

mfano Allah kwa wanaomfuata ni sahihi kwao ndiomaana wanatumia Qur'an kama kitabu sahihi, na kweli wanaendana nae.

na wakristo hutumia biblia kwa Miungu yao ambayo imejificha ktk majina mengi tofauti tofauti na pia ktk Uungu utatu, Mwana, Roho, Baba, hawa ni viumbe 3 tofaut, pia Yehova, yesu, yahwe, elishadai, elohim ni viumbe wengine tofaut.

the same kwa wahindi na wabudha kwao kutumia vitabu vyao vya imani ni sahihi, sas ugomv unakuja pale muumini wa imani fulan kuforce mwngine asiyeamn imani yako kuwa ni muongo, hapa mnakosea, maana ninyi nyote mko ktk kweli kwa mienendo ya imani zenu.

na wale wasio amini dini wala imani yoyote wako sahihi maana wao wanaishi ktk uhalisia usiohitaji janja janja wala fikra zisizo na ushahidi wa kuelezea jambo lisilokuwepo lionekane lipo kisa imani imelazimisha liwe hivyo.

kiujumla Miungu wote ni sawa, isipokuwa wanatofautiana Nguvu za ushawishi kwa wanadamu kuwafuata na Nguvu za kutenda Kaz kwa waumini.

Miungu hao wote hawana sehemu ya kukuhifadhi wew mtu unapokufa kwa maana miungu hao nao wana mwanzo wao ambao wameupata hapa hapa dunian, na maisha yao ni hapa hapa dunian isipokuwa hawaonekan ktk macho ya ubinadamu, na wamejijengea kingdoms wanazoziita mbingu, ambapo huzitumia kuwahadaa wanadamu kupitia maono na ndoto wakiwaingiza watu ktk kingdoms hzo na kuwaaminisha ndio mbingu ambazo mtu akifa ataishi hapo ama jehanamu ya moto.

kiuhalisia wote mnaoamni dini hamna tofaut na wale wanaoabudu dini za asili ama mashetan na walozi, isipokuwa wao hujua direct wanachokiabudu, maana wanaonana nacho, lkn ninyi wafia dini hamuvijui mnavyoviabudu kwakuwa vimewaficha na kuwaaminisha mviabudu kwa imani tu bila kuviona.

Amkeni hizo dini zenu mnapoteza muda bure.
 
Quran ilianza kuandikwa kabla ya Muhammad kupata maono ya jibril kule mapangoni.

The birmingham quran manuscript is currently believed to be the oldest Quran in the world.

This manuscript consists of two leaves of parchment that are a fragment of an early Quranic manuscript dated between 568 AD – 645 AD
 
Waislam kumbe mnajua pombe tamu ila mnasubiri mito ya pombe mbinguni, njooni tugonge tuu maana masheikh wenu tunakunywa nao kila siku huku na wengine wanagonga mpaka kitimoto
 
HAbari Wana jamii, nimeona mada nyingi zinazo husiana na iman zikileta changamoto na kuto kubalina katika njia zote mbili.

Sasa naomba tutoe hoja Kila mmoja hapa kwanini tuseme BIBILIA ni KITABU CHA MUNGU na kinaongoza watu kwenda mbinguni na pia Qur' an ni KITABU chuamungu na kinaongoza watu kwenda mbinguni.

Chamsingi ni hoja za nguvu ili muthibitisha vitabu vyetu hivi.

Angalizo
Hoja zitawale zaidi kuthibitisha,na sio matusi na dhihaka.
Weka wazi biblia unayoizungumzia ni ya vitabu vingapi 66,73,82 Ili wachambuzi waelewe kabla ya uchambuzi.

Pia kulinganisha Quran na Biblia unakosea sana...kwa sababu Quran ni maneno ya Mungu tu wakati Biblia ni maneno ya manabii, Mungu na wanahistoria.
 
Back
Top Bottom