Kipi kitabu cha Mungu kwa wakati wetu huu kati ya Bibilia na Qur'an?

Kipi kitabu cha Mungu kwa wakati wetu huu kati ya Bibilia na Qur'an?

Naona hilo swala la Birmingham umelikazania kweli , unajua kuwa Qur'an ilikuwa wakati mwingi ilikuwa inashuka kutokana na matukio ? sasa hiyo ya huko ilijuaje matukio yatakayotokea baadae tena mengine ikihusu watu na kutaja majina kabisa ?mfano Abu Lahab ,Zayd ambao walikuwepo wakati wa Mtume Muhammad SwallaAllahu'aleyhi wa salaam .

Mimi nimesoma kitabu cha historia ya Qu'ran na kueleza kila kitu hadi zilikohifadhiwa baadhi maandiko ya na zilifika vipi.

Mbona hizo taarifa unazo pekee yako na hizi taarifa official kutoka Birmingham University hakuna iliposemwa inaonyesha umeandika kabla ya Jibril ('Aleyhisssalaam) kushusha wahyi wa Qu'ran ?View attachment 2380075View attachment 2380078View attachment 2380078
Tena hapa ndio umeonesha wazi zaidi, uthman ameandika quran 650AD lakini hizo manuscripts zinaonesha kuandikwa kati ya 568 na 645AD na muhammad kapata maono 610 mpaka 632AD.

Mpaka hapo huoni kwamba hizo document zilikuwepo kabla ya hizo za uthman? Hasa ukizingatia kwamba kipindi muhammad yupo quran ilikuwa ipo kwa kukariri tu.
 
Tena hapa ndio umeonesha wazi zaidi, uthman ameandika quran 650AD lakini hizo manuscripts zinaonesha kuandikwa kati ya 568 na 645AD na muhammad kapata maono 610 mpaka 632AD.

Mpaka hapo huoni kwamba hizo document zilikuwepo kabla ya hizo za uthman? Hasa ukizingatia kwamba kipindi muhammad yupo quran ilikuwa ipo kwa kukariri tu.
Tatizo historia hausomi na hata ukisoma basi unachukua juu juu kwanza elewa hiyo iliopo uingereza sizani kama inafika hata page kumi ni viande tu ikiwa na baadhi ya aya za sura tena sura mbili.

Aya ya pili umeongopa wapo watu tena wengi zama za Mtume waliandika Qu'ran na ilikuwa mtu anaandika sura au aya 10, 30 n.kkwa ajili ya kufundisha na kumbukumbu binafsi tena tokea enzi za miaka ya mwanzo kabisa ya Uislamu kabla ya kuhamia madina na maswahaba wengi walikuwa na sehemu zao binafsi wameandika ila haikuwa wameandika yote kwa kukusanya juzuu 30 kama ilivyokuwa sasa iliyokusanya kipindi cha Uthman.

Ingekuwa imekutwa juzuu zote 30 hapo kidogo mantiki ingekuwepo maana kipindi hiko ilikuwa haijakusanywa ola watu vipande wanavyo.
 
Katika Uislamu tumefundishwa kwamba Mwenyezi Mungu ameteremsha vitabu vinne (4) ambavo ni
i) Taurati aliyopewa Nabii Musa (A.S)
ii) Zaburi alipewa Nabii Daudi (AS)
iii) Injili aliyopewa Nabii Issa (AS)
iv) Quran aliyopewa Nabii Muhammad (S.AW)

Kila muislamu ni lazima aamini Mitume waliokuja zamani pamoja na vitabu vyao bila kubagua hata mmoja kati yao.


QURAN 3:2-4

2. Mwenyezi Mungu, hakuna Mungu ila Yeye Aliye Hai, Msimamizi wa yote milele.


3. Amekuteremshia Kitabu kwa haki, kinacho thibitisha yaliyo kuwa kabla yake. Na aliteremsha Taurati na Injili

4. Kabla yake, ziwe uwongofu kwa watu. Na akateremsha Quran . Hakika walio zikanusha Ishara za Mwenyezi Mungu watakuwa na adhabu kali. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu na Mwenye kulipa.
'

QURAN 4: 136
136. Enyi mlio amini! Muaminini Mwenyezi Mungu, na Mtume wake, na Kitabu alicho kiteremsha juu ya Mtume wake, na Kitabu alicho kiteremsha kabla yake. Na anaye mkataa Mwenyezi Mungu, na Malaika wake, na Vitabu vyake, na Mitume wake, na Siku ya mwisho, basi huyo amekwisha potelea mbali.
136

QURAN 3; 84
84. Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na tuliyo teremshiwa sisi, na aliyo teremshiwa Ibrahim, na Ismail, na Is-haka na Yakubu na wajukuu zao, na aliyo pewa Musa na Isa na Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi. Hatubagui baina yao hata mmoja, na sisi ni wenye kusilimu kwake.


Ila sasa sisi wanaadamu tuliingia na kuharibu vitabu vya Mwenyezi Mungu na kutoa baadhi ya maneno na kuweka ya kwetu.

QURAN 11:110
11_110.gif

110. Na kwa yakini tulimpa Musa Kitabu; kikatiwa hitilafu ndani yake. Na lau kuwa si neno lilio kwisha tangulia kutoka kwa Mola wako Mlezi, (kuwa ipo siku maalumu ya hukumu) bila ya shaka ingeli hukumiwa baina yao (sasa hivi). Na hakika wao wamo katika shaka juu yake inayo wahangaisha.'


NB: Kama Taurati, Zaburi na Injili visingekuwa vimetiwa mikono na waandishi na kubadilishwa maana zake basi visingekuwa na tofauti yeyote na Quran, kwa sababu Mwenyezi Mungu huyo huyo mmoja ndio kateremsha vitabu vyote hivyo.

Ushauri wa bure tu; kwa kuwa wewe unataka kujifunza, basi soma vitabu vyote vya Mwenyezi Mungu usibague chochote, na muombe Mwenyezi Mungu akuongoze katika njia iliyo sawa.

Hapo Quran 3:3 sijaelewa kabisa. Sijui kama Kuna vitu vilikuwepo kabla ya Mungu. Na kama vilikuwepo nani kaviumba
 
Hapo Quran 3:3 sijaelewa kabisa. Sijui kama Kuna vitu vilikuwepo kabla ya Mungu. Na kama vilikuwepo nani kaviumba
Na kweli hujaelewa.

Ni kabla yake hicho Kitabu (Qur'an).
Au labda Tarjama ya Kiingereza ndio utaelewa.

نَزَّلَ عَلَيْكَ ٱلْكِتَـٰبَ بِٱلْحَقِّ مُصَدِّقًۭا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ وَأَنزَلَ ٱلتَّوْرَىٰةَ وَٱلْإِنجِيلَ
Nazzala ‘alaikal Kitaaba bilhaqqi musaddiqal limaa baina yadaihi wa anzalat Tawraata wal Injeel

He has sent down upon you, [O Muhammad], the Book in truth, confirming what was before it. And He revealed the Torah and the Gospel. (Qur'an 3:3)



Umeelewa sasa? Maana Kiswahili huenda ni kigumu.
 
Kwa imani yangu vyote ni vitabu vya Mungu na katuambia tuvifate vyote
 
Quran ni copy ya Bible. Biblia ni kitabu cha zamani zaidi kuliko Qur'an.

Yehova na Allah ni vitu viwili you tofauti kabisa.

Jehova aliumba mtu kwa mfano wake. Allah hafanani na kiumbe chochote.

Jehova ana mwana wake wa pekee, Yesu Kristo. Allah hakuzaa wala hakuzaliwa.

Hata huko wanakoishi ni sehemu mbili tofauti kabisa.

Allah anakaa peponi, Jehovah anakaa mbinguni.

Mbinguni ni kusifu na kuabudu tu, peponi unapewa wanawake mabikira 72.

Mbinguni hamna kuoa wala kuolewa. Peponi kuna mito ya pombe tamu

View attachment 2376837
Naunga mkono hoja Mkuu
 
Na kweli hujaelewa.

Ni kabla yake hicho Kitabu (Qur'an).
Au labda Tarjama ya Kiingereza ndio utaelewa.

نَزَّلَ عَلَيْكَ ٱلْكِتَـٰبَ بِٱلْحَقِّ مُصَدِّقًۭا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ وَأَنزَلَ ٱلتَّوْرَىٰةَ وَٱلْإِنجِيلَ
Nazzala ‘alaikal Kitaaba bilhaqqi musaddiqal limaa baina yadaihi wa anzalat Tawraata wal Injeel

He has sent down upon you, [O Muhammad], the Book in truth, confirming what was before it. And He revealed the Torah and the Gospel. (Qur'an 3:3)



Umeelewa sasa? Maana Kiswahili huenda ni kigumu.
(Hebu tuwekee hapa Paragraph moja tu ya Torati na moja ya Injiri

Ambayo imo ndani ya qurani kama mnavyo ongopewa.

Yaani mnaongopewa mnabaki kuamini tu kama hamnazo vile.

Kwanini msiwaulize mashehe wenu hivyo vitabu vya Torati, Zaburi na injiri viko wapi ndani ya qurani ?

Unaposema Torati ya Musa ndio hii hapa)

[emoji117]"Kutoka 20:1 Mungu akanena maneno haya yote akasema,
2 Mimi ni Bwana, Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.
3 Usiwe na miungu mingine ila mimi.
4 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia.
5 Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
6 nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao, na kuzishika amri zangu.
7 Usilitaje bure jina la Bwana, Mungu wako, maana Bwana hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.
8 Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.
9 Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote;
10 lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.
11 Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.
12 Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na Bwana, Mungu wako.
13 Usiue.
14 Usizini.
15 Usiibe.
16 Usimshuhudie jirani yako uongo.
17 Usiitamani nyumba ya jirani yako, usimtamani mke wa jirani yako; wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng'ombe wake, wala punda wake, wala cho chote alicho nacho jirani yako."

(Haya na wewe niwekee paragraph sita tu za Torati iliyo ndani ya Qurani, au ziweke hizo amri kumi alizopewa Musa tuzione ndani ya qurani)

Nipo hapa nakusubiri.
Without Lies Islam Dies.
 
Who is Mungu?

unaposema kitabu cha Mungu, eleza Mungu yupi?, maana dunia ina Miungu wengi, na kila Mungu ni sahihi kwa kile alichowashushia watu wa jamii yake.

mfano Allah kwa wanaomfuata ni sahihi kwao ndiomaana wanatumia Qur'an kama kitabu sahihi, na kweli wanaendana nae.

na wakristo hutumia biblia kwa Miungu yao ambayo imejificha ktk majina mengi tofauti tofauti na pia ktk Uungu utatu, Mwana, Roho, Baba, hawa ni viumbe 3 tofaut, pia Yehova, yesu, yahwe, elishadai, elohim ni viumbe wengine tofaut.

the same kwa wahindi na wabudha kwao kutumia vitabu vyao vya imani ni sahihi, sas ugomv unakuja pale muumini wa imani fulan kuforce mwngine asiyeamn imani yako kuwa ni muongo, hapa mnakosea, maana ninyi nyote mko ktk kweli kwa mienendo ya imani zenu.

na wale wasio amini dini wala imani yoyote wako sahihi maana wao wanaishi ktk uhalisia usiohitaji janja janja wala fikra zisizo na ushahidi wa kuelezea jambo lisilokuwepo lionekane lipo kisa imani imelazimisha liwe hivyo.

kiujumla Miungu wote ni sawa, isipokuwa wanatofautiana Nguvu za ushawishi kwa wanadamu kuwafuata na Nguvu za kutenda Kaz kwa waumini.

Miungu hao wote hawana sehemu ya kukuhifadhi wew mtu unapokufa kwa maana miungu hao nao wana mwanzo wao ambao wameupata hapa hapa dunian, na maisha yao ni hapa hapa dunian isipokuwa hawaonekan ktk macho ya ubinadamu, na wamejijengea kingdoms wanazoziita mbingu, ambapo huzitumia kuwahadaa wanadamu kupitia maono na ndoto wakiwaingiza watu ktk kingdoms hzo na kuwaaminisha ndio mbingu ambazo mtu akifa ataishi hapo ama jehanamu ya moto.

kiuhalisia wote mnaoamni dini hamna tofaut na wale wanaoabudu dini za asili ama mashetan na walozi, isipokuwa wao hujua direct wanachokiabudu, maana wanaonana nacho, lkn ninyi wafia dini hamuvijui mnavyoviabudu kwakuwa vimewaficha na kuwaaminisha mviabudu kwa imani tu bila kuviona.

Amkeni hizo dini zenu mnapoteza muda bure.
Ndugu
Kiimani wewe ni Muslim
Kimaarifa haya ya dini: una ufinyu na uboga kwa kiasi kikubwa!
Kwenye mada kama hizi soma maoni ya wenzako tu usije ukajifanya mjuaji ukaaibika kama hivi!
 
Ndugu
Kiimani wewe ni Muslim
Kimaarifa haya ya dini: una ufinyu na uboga kwa kiasi kikubwa!
Kwenye mada kama hizi soma maoni ya wenzako tu usije ukajifanya mjuaji ukaaibika kama hivi!
Mimi si muislam na siamin dini yoyote, ukweli mchungu jarbuni kuchunguza mambo
 
Hakuna kitabu cha mungu vyote vyetu Sisi binadamu kitabu cha mungu ni Hekima,sala,Ibada,Imani,akili,moyo Safi,uchaji wa mumgu
 
Mosi,Mungu wa Biblia na quran ni just theory/Hayupo,Pili vitabu vyote viwili vinamapungufu/makosa lukuki ya kihistoria,Kimantiki na Kiuandishi na pia Vinachuki,Mauaji,Ujinga wa kiwango kikubwa...
We umekamilika kwani
 
Quran ni kitabu Cha mppo.

1. Mussa.
2. Ibrahim.
3. Yusufu.
4. Isaka.
5. ISLAEL.

Quran Imekopi Hawa watu kutoka Taifa la Islael.
Mohamed akawaiba akawaweka kwenye Quran.Mohamed aliishi Maka na Madina Saudi Arabia.
 
Jinsi muhamad alipata Utume toka kwa Majini.
itume wa Yesu ndani ya Biblia Takatifu walikwisha kutuonya kuhusu uchafu huo. Katika 2 Kor 7:1 “Basi, wapenzi wangu, kwa kuwa tuna ahadi hizo, na tujitakase nafsi zetu na uchafu wote wa mwili na roho, huku tukitimiza utakatifu katika kumcha Mungu”
Miongoni mwa mafundisho ya Muhammad ni kwamba kuna mambo kumi yanayokamilisha Uislamu nayo tunayasoma katika kitabu kiitwacho

Mkweli Mwaminifu , Kilichoandikwa na Sheikh Said Moosa Al-Kindy wa Muscut, Juzuu 3-4 Uk 63.Hadithi Na.880 “ Kasema Mtume (s.a.w) (Mambo) kumi ya Uislamu (yanayokamilisha Uislamu):Kukata masharubu,na kuziweka ndevu,nakuziweka ndevu (kutozinyoa) ndevu,na kupiga mswaki,kusafisha ndani ya pua kwa maji,na kukata kucha,kuosha mikono baina ya vidole,na kung’oa (au kunyoa) nywele za kwapani,na kunyoa nywele za mbeleni (mavuzi),na upungufu wa maji. La kumi,kasema sahaba aliepokea hadithi hii kuwa nimesahau,lakini kasema bila shaka la kumi ni “kutahiriwa.”
Kwa mujibu wa Biblia manabii na mitume wanathibitishwa kwa njia ya miujiza.
Kutoka 14:21” Musa akanyosha mkono wake juu ya bahari,BWANA akaifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wa nguvu utokao mashariki,usiku kucha,akaifanya bahari kuwa nchi kavu”.
Matendo 19:11-12 “Mungu alifanya kwa mikono ya Paulo miujiza ya kupita kawaida . Hata wagonjwa wakaletewa leso na nguo zilizotoka mwilini mwake magonjwa yao yakawaondokea, pepo wachafu wakawatoka”. Tazama pia Matendo 16:16-18, 20:7-12 na Matendo 13:6-12.
Qur’an nayo inathibitisha kuwa manabii na mitume ni lazima wafanye miujiza.
Qurani 40:78 Suratul Al-Muumini [Waumini] inasomeka “Na kwa yakini tumewatuma mitume kabla yako wengime katika wao tumekusimulia (majina yao na habari zao) na wengine hatukukusimulia na haikuwa kwa mtume yoyote kuleta muujiza wowote ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu”
Muhammad hakupewa kufanya muujiza wowote ili kuthibitisha madai ya unabii na utume wake.
Qur’an 29:50 Suratul Al-Ankabuut (Buibui). “Na walisema “Mbona hakuteremshiwa miujiza kutoka kwa Mola wake? Sema miujiza iko kwa Mwenyezi Mungu tu (akitaka atakuteremshieni na kama hataki basi),nami hakika ni mwonyaji mbainishaji (dhahiri tu).” (Taz. Qur,an 6:35-37 13:7,)
Katika Qur’an iko aya ambayo tunapaswa tuitafakari wote kwa pamoja.Katika Surat An-Nisaa, (wanawake), 4:79 “Wema uliokufikia unatoka kwa Mwenyezi Mungu na ubaya uliokufikia unatoka nafsini mwako, mwenyewe umefanya mambo hata yakakufika hayo. Nasi tumekupeleka kwa watu kuwa mtume na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha (hapaitajiwi shahidi mwingine)”

Aya hii inaonesha kuwa Muhammad mtume wa Waislamu, alipelekwa kwa watu kuwa mtume, huku Mwenyezi Mungu akiwa shahidi tu. Siku zote shahidi si mtendaji bali ni mwonaji tu wa tendo lililotendeka.Hoja yetu tungependa kuwajua hao watu waliompeleka Muhammad kwa watu ni akina nani?. Kwa sababu tumeona kule nyuma baada ya Muhammad kutoka pangoni, mkewe Bi. Khadija anamwambia Muhammad kuwa “utume huo!!!!!!! Na Bwana Waraqah ibn Naufal akimwambia Muhammad kuwa “ basi jibashirie kuwa wewe ni mtume wa umma huu” kabla ya Qur’an .Je hao si wale “Nasi tumekupeleka” wanaotajwa kwenye aya hiyo hapo juu? Tafakari!! .
Waislamu hudai kuwa Muhammad ametumwa na Mwenyezi Mungu wao, ambaye ni Mfalme wa Wafalme . Lakini tusomapo Biblia Takatifu katika kitabu cha Ufunuo 17:14 “ Hawa watafanya vita na Mwanakondoo, na Mwanakondoo atawashinda, kwa maana Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa Wafalme; na hao walio pamoja naye ndiyo walioitwa na wateule, na waaminifu”
Katika Ufunuo 19:11-16 “ Kisha nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama, farasi mweupe, na yeye aliyempanda, aitwaye Mwaminifu na Wa-kweli, naye kwa haki ahukumu na kufanya vita. Na macho yake yalikuwa kama mwali wa moto, na juu ya kichwa chake vilemba vingi; naye ana jina lililoandikwa, asilolijua mtu ila yeye mwenyewe.

Aya hii inaonesha kuwa Muhammad mtume wa Waislamu, alipelekwa kwa watu kuwa mtume, huku Mwenyezi Mungu akiwa shahidi tu. Siku zote shahidi si mtendaji bali ni mwonaji tu wa tendo lililotendeka.Hoja yetu tungependa kuwajua hao watu waliompeleka Muhammad kwa watu ni akina nani?. Kwa sababu tumeona kule nyuma baada ya Muhammad kutoka pangoni, mkewe Bi. Khadija anamwambia Muhammad kuwa “utume huo!!!!!!! Na Bwana Waraqah ibn Naufal akimwambia Muhammad kuwa “ basi jibashirie kuwa wewe ni mtume wa umma huu” kabla ya Qur’an .Je hao si wale “Nasi tumekupeleka” wanaotajwa kwenye aya hiyo hapo juu? Tafakari!! .
Waislamu hudai kuwa Muhammad ametumwa na Mwenyezi Mungu wao, ambaye ni Mfalme wa Wafalme . Lakini tusomapo Biblia Takatifu katika kitabu cha Ufunuo 17:14 “ Hawa watafanya vita na Mwanakondoo, na Mwanakondoo atawashinda, kwa maana Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa Wafalme; na hao walio pamoja naye ndiyo walioitwa na wateule, na waaminifu”
Katika Ufunuo 19:11-16 “ Kisha nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama, farasi mweupe, na yeye aliyempanda, aitwaye Mwaminifu na Wa-kweli, naye kwa haki ahukumu na kufanya vita. Na macho yake yalikuwa kama mwali wa moto, na juu ya kichwa chake vilemba vingi; naye ana jina lililoandikwa, asilolijua mtu ila yeye mwenyewe. Naye amevikwa vazi lililochovywa katika damu, na jina lake aitwa Neno la Mungu. Na majeshi yaliyo mbinguni wakamfuata, wamepanda farasi weupe na kuvikwa kitani nzuri, nyeupe, safi. Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili awapige mataifa kwa huo. Naye atawachunga kwa fimbo ya chuma, naye anakanyaga shinikizo la mvinyo ya ghadhabu ya hasira ya Mungu Mwenyezi. Naye ana jina limeandikwa katika vazi lake na paja lake, MFALME WA WAFALME NA BWANA WA MABWANA “

Yesu Kristo ndiye Mfalme wa Wafalme na Bwana wa Mabwana.Lakini tunaposoma Hadithi sahihi za Kiislamu zinaeleza kuwa adui mkubwa wa Allah (s.w) Mungu wanayemwabudu Waislamu, ni yule anayeitwa Mfalme wa Wafalme.
Sahih Al- Bukhari, Vol.8.Hadithi Na.225, Al-Lu’lu Wal-marjan,Juzuu ya 3,Hadithi Na.1385 “Hadithi ya Abu Huraira (r.a) amesema,Mtume wa Allah (s.a.w) amesema,”Majina yaliyo dhalili mno na mabaya mbele za Allah ni mtu kujiita,Malikil-Amlaak (Mfalme wa Wafalme).”

Hivyo, ufunuo aliopokea Muhammad, ambao anatutaka na sisi Wakristo tuuamini haujatoka kwa Mungu tunayemwamini sisi Wakristo, yaani, Yesu Kristo.Bali kama alivyonukuliwa katika vitabu vya Kiislamu, unatokana na kuchezewa na Shetani, na kwa sababu hiyo kwetu anakuwa nabii na mtume wa uongo’
Biblia Takatifu imetuonya kuwachunguza mitume na manabii. Katika kitabu cha Ufunuo 2:1-2 “ Kwa malaika wa kanisa lililoko Efeso andika; Haya ndiyo anenayo yeye azishikaye hizo nyota saba katika mkono wake wa kuume, yeye aendaye katikati ya vile vinara saba vya dhahabu. Nayajua matendo yako, na taabu yako, na subira yako, na ya kuwa huwezi kuchukuliana na watu wabaya, tena umewajaribu wale wajiitao mitume, nao siyo ukawaona kuwa waongo”

Kwa mujibu wa aya hizi Muhammad s.a.w hastahili kuitwa nabii na mtume wa Mungu wa Kweli, bali anaangukia katika kundi la manabii na mitume wa uongo. Hatufai
 
Jinsi muhamad alipata Utume toka kwa Majini.
itume wa Yesu ndani ya Biblia Takatifu walikwisha kutuonya kuhusu uchafu huo. Katika 2 Kor 7:1 “Basi, wapenzi wangu, kwa kuwa tuna ahadi hizo, na tujitakase nafsi zetu na uchafu wote wa mwili na roho, huku tukitimiza utakatifu katika kumcha Mungu”
Miongoni mwa mafundisho ya Muhammad ni kwamba kuna mambo kumi yanayokamilisha Uislamu nayo tunayasoma katika kitabu kiitwacho

Mkweli Mwaminifu , Kilichoandikwa na Sheikh Said Moosa Al-Kindy wa Muscut, Juzuu 3-4 Uk 63.Hadithi Na.880 “ Kasema Mtume (s.a.w) (Mambo) kumi ya Uislamu (yanayokamilisha Uislamu):Kukata masharubu,na kuziweka ndevu,nakuziweka ndevu (kutozinyoa) ndevu,na kupiga mswaki,kusafisha ndani ya pua kwa maji,na kukata kucha,kuosha mikono baina ya vidole,na kung’oa (au kunyoa) nywele za kwapani,na kunyoa nywele za mbeleni (mavuzi),na upungufu wa maji. La kumi,kasema sahaba aliepokea hadithi hii kuwa nimesahau,lakini kasema bila shaka la kumi ni “kutahiriwa.”
Kwa mujibu wa Biblia manabii na mitume wanathibitishwa kwa njia ya miujiza.
Kutoka 14:21” Musa akanyosha mkono wake juu ya bahari,BWANA akaifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wa nguvu utokao mashariki,usiku kucha,akaifanya bahari kuwa nchi kavu”.
Matendo 19:11-12 “Mungu alifanya kwa mikono ya Paulo miujiza ya kupita kawaida . Hata wagonjwa wakaletewa leso na nguo zilizotoka mwilini mwake magonjwa yao yakawaondokea, pepo wachafu wakawatoka”. Tazama pia Matendo 16:16-18, 20:7-12 na Matendo 13:6-12.
Qur’an nayo inathibitisha kuwa manabii na mitume ni lazima wafanye miujiza.
Qurani 40:78 Suratul Al-Muumini [Waumini] inasomeka “Na kwa yakini tumewatuma mitume kabla yako wengime katika wao tumekusimulia (majina yao na habari zao) na wengine hatukukusimulia na haikuwa kwa mtume yoyote kuleta muujiza wowote ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu”
Muhammad hakupewa kufanya muujiza wowote ili kuthibitisha madai ya unabii na utume wake.
Qur’an 29:50 Suratul Al-Ankabuut (Buibui). “Na walisema “Mbona hakuteremshiwa miujiza kutoka kwa Mola wake? Sema miujiza iko kwa Mwenyezi Mungu tu (akitaka atakuteremshieni na kama hataki basi),nami hakika ni mwonyaji mbainishaji (dhahiri tu).” (Taz. Qur,an 6:35-37 13:7,)
Katika Qur’an iko aya ambayo tunapaswa tuitafakari wote kwa pamoja.Katika Surat An-Nisaa, (wanawake), 4:79 “Wema uliokufikia unatoka kwa Mwenyezi Mungu na ubaya uliokufikia unatoka nafsini mwako, mwenyewe umefanya mambo hata yakakufika hayo. Nasi tumekupeleka kwa watu kuwa mtume na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha (hapaitajiwi shahidi mwingine)”

Aya hii inaonesha kuwa Muhammad mtume wa Waislamu, alipelekwa kwa watu kuwa mtume, huku Mwenyezi Mungu akiwa shahidi tu. Siku zote shahidi si mtendaji bali ni mwonaji tu wa tendo lililotendeka.Hoja yetu tungependa kuwajua hao watu waliompeleka Muhammad kwa watu ni akina nani?. Kwa sababu tumeona kule nyuma baada ya Muhammad kutoka pangoni, mkewe Bi. Khadija anamwambia Muhammad kuwa “utume huo!!!!!!! Na Bwana Waraqah ibn Naufal akimwambia Muhammad kuwa “ basi jibashirie kuwa wewe ni mtume wa umma huu” kabla ya Qur’an .Je hao si wale “Nasi tumekupeleka” wanaotajwa kwenye aya hiyo hapo juu? Tafakari!! .
Waislamu hudai kuwa Muhammad ametumwa na Mwenyezi Mungu wao, ambaye ni Mfalme wa Wafalme . Lakini tusomapo Biblia Takatifu katika kitabu cha Ufunuo 17:14 “ Hawa watafanya vita na Mwanakondoo, na Mwanakondoo atawashinda, kwa maana Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa Wafalme; na hao walio pamoja naye ndiyo walioitwa na wateule, na waaminifu”
Katika Ufunuo 19:11-16 “ Kisha nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama, farasi mweupe, na yeye aliyempanda, aitwaye Mwaminifu na Wa-kweli, naye kwa haki ahukumu na kufanya vita. Na macho yake yalikuwa kama mwali wa moto, na juu ya kichwa chake vilemba vingi; naye ana jina lililoandikwa, asilolijua mtu ila yeye mwenyewe.
 
Back
Top Bottom