Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Vitabu ni vi4HAbari Wana jamii, nimeona mada nyingi zinazo husiana na iman zikileta changamoto na kuto kubalina katika njia zote mbili.
Sasa naomba tutoe hoja Kila mmoja hapa kwanini tuseme BIBILIA ni KITABU CHA MUNGU na kinaongoza watu kwenda mbinguni na pia Qur' an ni KITABU chuamungu na kinaongoza watu kwenda mbinguni.
Chamsingi ni hoja za nguvu ili muthibitisha vitabu vyetu hivi.
Angalizo
Hoja zitawale zaidi kuthibitisha,na sio matusi na dhihaka.
Mkuu nimecheka sana hii mh! 🤣Quran ni copy ya Bible. Biblia ni kitabu cha zamani zaidi kuliko Qur'an.
Yehova na Allah ni vitu viwili you tofauti kabisa.
Jehova aliumba mtu kwa mfano wake. Allah hafanani na kiumbe chochote.
Jehova ana mwana wake wa pekee, Yesu Kristo. Allah hakuzaa wala hakuzaliwa.
Hata huko wanakoishi ni sehemu mbili tofauti kabisa.
Allah anakaa peponi, Jehovah anakaa mbinguni.
Mbinguni ni kusifu na kuabudu tu, peponi unapewa wanawake mabikira 72.
Mbinguni hamna kuoa wala kuolewa.
Peponi kuna mito ya pombe tamu
Wacha we!Quran ilianza kuandikwa kabla ya Muhammad kupata maono ya jibril kule mapangoni.
The birmingham quran manuscript is currently believed to be the oldest Quran in the world.
This manuscript consists of two leaves of parchment that are a fragment of an early Quranic manuscript dated between 568 AD – 645 AD
Mungu hana kitabu cha kuabudiwa... Vitabu vyote ni maandiko ya wanadamu.HAbari Wana jamii, nimeona mada nyingi zinazo husiana na iman zikileta changamoto na kuto kubalina katika njia zote mbili.
Sasa naomba tutoe hoja Kila mmoja hapa kwanini tuseme BIBILIA ni KITABU CHA MUNGU na kinaongoza watu kwenda mbinguni na pia Qur' an ni KITABU chuamungu na kinaongoza watu kwenda mbinguni.
Chamsingi ni hoja za nguvu ili muthibitisha vitabu vyetu hivi.
Angalizo
Hoja zitawale zaidi kuthibitisha,na sio matusi na dhihaka.
Iv ulichoandika umekielewa kweli kwanza umesema QUR'AN NI COPY YA BIBLIAQuran ni copy ya Bible. Biblia ni kitabu cha zamani zaidi kuliko Qur'an.
Yehova na Allah ni vitu viwili you tofauti kabisa.
Jehova aliumba mtu kwa mfano wake. Allah hafanani na kiumbe chochote.
Jehova ana mwana wake wa pekee, Yesu Kristo. Allah hakuzaa wala hakuzaliwa.
Hata huko wanakoishi ni sehemu mbili tofauti kabisa.
Allah anakaa peponi, Jehovah anakaa mbinguni.
Mbinguni ni kusifu na kuabudu tu, peponi unapewa wanawake mabikira 72.
Mbinguni hamna kuoa wala kuolewa.
Peponi kuna mito ya pombe tamu
View attachment 2376837
Ushaidi unao!! Au wale masamu au kule antiokyaBiblia takatifu ni ya Mungu. Quran ni ya miungu.
Kwa hiyo yehova alizaa?? DuhQuran ni copy ya Bible. Biblia ni kitabu cha zamani zaidi kuliko Qur'an.
Yehova na Allah ni vitu viwili you tofauti kabisa.
Jehova aliumba mtu kwa mfano wake. Allah hafanani na kiumbe chochote.
Jehova ana mwana wake wa pekee, Yesu Kristo. Allah hakuzaa wala hakuzaliwa.
Hata huko wanakoishi ni sehemu mbili tofauti kabisa.
Allah anakaa peponi, Jehovah anakaa mbinguni.
Mbinguni ni kusifu na kuabudu tu, peponi unapewa wanawake mabikira 72.
Mbinguni hamna kuoa wala kuolewa.
Peponi kuna mito ya pombe tamu
View attachment 2376837
Ohh yes..... Qur'an is a really copy, kama tu bidhaa za Mohamed EnterprisesIv ulichoandika umekielewa kweli kwanza umesema QUR'AN NI COPY YA BIBLIA
Hapo hapo tena ukaanza kutoa tofaut ya vitu ambavyo vipo kwenye biblia kwenye Quran hakuna au vipo lakin viko tofaut
Halafu unasema copy iv hunajua maana ya copy kweli we baba wa watu!!
Quran ni copy ya Bible. Biblia ni kitabu cha zamani zaidi kuliko Qur'an.
Yehova na Allah ni vitu viwili you tofauti kabisa.
Jehova aliumba mtu kwa mfano wake. Allah hafanani na kiumbe chochote.
Jehova ana mwana wake wa pekee, Yesu Kristo. Allah hakuzaa wala hakuzaliwa.
Hata huko wanakoishi ni sehemu mbili tofauti kabisa.
Allah anakaa peponi, Jehovah anakaa mbinguni.
Mbinguni ni kusifu na kuabudu tu, peponi unapewa wanawake mabikira 72.
Mbinguni hamna kuoa wala kuolewa.
Peponi kuna mito ya pombe tamu
View attachment 2376837
Umeongea fact tupuMosi,Mungu wa Biblia na quran ni just theory/Hayupo,Pili vitabu vyote viwili vinamapungufu/makosa lukuki ya kihistoria,Kimantiki na Kiuandishi na pia Vinachuki,Mauaji,Ujinga wa kiwango kikubwa...
Biblia takatifu ni ya Mungu. Quran ni ya miungu.
mungu wa wapi huyo amabye alishwahi kuwa na vitabu? Mungu pekee ndiyo ana vitabu, miungu hawana vitabu na kama wanavyo basi havijulikana na tulio wengiHAbari Wana jamii, nimeona mada nyingi zinazo husiana na iman zikileta changamoto na kuto kubalina katika njia zote mbili.
Sasa naomba tutoe hoja Kila mmoja hapa kwanini tuseme BIBILIA ni KITABU CHA MUNGU na kinaongoza watu kwenda mbinguni na pia Qur' an ni KITABU chuamungu na kinaongoza watu kwenda mbinguni.
Chamsingi ni hoja za nguvu ili muthibitisha vitabu vyetu hivi.
Angalizo
Hoja zitawale zaidi kuthibitisha,na sio matusi na dhihaka.
Endelea kukariri quran hapo madrasaMungu yupi aliyetumwa au aliyetuma?View attachment 2379532
Una kipi cha hekima kutueleza ndugu? Naona hoja yako imejaa ujinga ambao wewe unadhani ni hekima. Lete hoja tukujibu sawasawa ili usijejiona mwenye hekima machoni pako:Mosi,Mungu wa Biblia na quran ni just theory/Hayupo,Pili vitabu vyote viwili vinamapungufu/makosa lukuki ya kihistoria,Kimantiki na Kiuandishi na pia Vinachuki,Mauaji,Ujinga wa kiwango kikubwa...
Naona hilo swala la Birmingham umelikazania kweli , unajua kuwa Qur'an ilikuwa wakati mwingi ilikuwa inashuka kutokana na matukio ? sasa hiyo ya huko ilijuaje matukio yatakayotokea baadae tena mengine ikihusu watu na kutaja majina kabisa ?mfano Abu Lahab ,Zayd ambao walikuwepo wakati wa Mtume Muhammad SwallaAllahu'aleyhi wa salaam .Quran ilianza kuandikwa kabla ya Muhammad kupata maono ya jibril kule mapangoni.
The birmingham quran manuscript is currently believed to be the oldest Quran in the world.
This manuscript consists of two leaves of parchment that are a fragment of an early Quranic manuscript dated between 568 AD – 645 AD