Kipi kitabu cha Mungu kwa wakati wetu huu kati ya Bibilia na Qur'an?

Quran ni kitabu Cha mppo.

1. Mussa.
2. Ibrahim.
3. Yusufu.
4. Isaka.
5. ISLAEL.

Quran Imekopi Hawa watu kutoka Taifa la Islael.
Mohamed akawaiba akawaweka kwenye Quran.Mohamed aliishi Maka na Madina Saudi Arabia.
Na wakati huo huo IBRAHIM aliishi mipaka hii:
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Code:
Kor 7:1 “Basi, wapenzi wangu, kwa kuwa tuna ahadi hizo, na tujitakase nafsi zetu na uchafu wote wa mwili na roho, huku tukitimiza utakatifu katika kumcha Mungu”

NENO LA MUNGU LIPO WAPI HAPO?.

TUWEKEE USHAHIDI KUWA HAYO NI MANENO YA MWENYEZI MUNGU.
NAJUA HAUTAWEZA WEKA USHAHIDI HAPA HADI UNAINGIA KABURINI.
 
Unataka kusema kuwa Mungu ana umbo la kibinadamu?
 
Islamic ni mkono wa KIUME wa Shetani.

Tumeisha waambia shtukeni jehanam IPO.
 
Mood ALIOA kitoto Cha miaka SITA.
Hapa ndipo panaponisikitisha sana.


4. Quran inaamuru Mapepo na Majini yaende kuwasumbua wakristu.
 
Kipi kilianza? Nani kdesa kwa mwenzake? Ukipata majibu hayo basi ndio jibu
 
Vitabu ni vi4
Taurat- Mussa a.s
Zaburi- Daud A.s
Injili- Issa Bin Maryam
Qur' an - Muhammad (s.a.w)
Hapo nahisi ushapata jibu lako
Umechanganya madesa. Injili ni (Mathayo, Marco, luka, yohana) Biblia = agano la kale+ agano jipya). Agano la kale = mwanzo - Malaki na agani jipy = Mathayo - Ufunuo.
 
Umechanganya madesa. Injili ni (Mathayo, Marco, luka, yohana) Biblia = agano la kale+ agano jipya). Agano la kale = mwanzo - Malaki na agani jipy = Mathayo - Ufunuo.
Hao uliowataja wewe ni waandishi tu siyo waliopawa Injil.Mwenzio kaonesha Injil alipewa nani.
 
Hawa wakristo na waislam wanajionaga kama dini ni zao tu dunia nzima.

Wanasahau kuwa kuna miungu zaidi ya 5000+
Tutajie wewe katika hiyo miungu 500 wewe mungu wako anaitwaje?
 
Quran ni kitabu Cha mppo.

1. Mussa.
2. Ibrahim.
3. Yusufu.
4. Isaka.
5. ISLAEL.

Quran Imekopi Hawa watu kutoka Taifa la Islael.
Mohamed akawaiba akawaweka kwenye Quran.Mohamed aliishi Maka na Madina Saudi Arabia.
Thibitisha kwa maandiko
 
Kusema kwako mtume au sio mtume hakuongezi chochote kwenye uwisilamu wetu!!
 
Islamic ni mkono wa KIUME wa Shetani.

Tumeisha waambia shtukeni jehanam IPO.
Shetani hili neno ni linapatikana kwenye qur,aan nini maana yake kwa kiswahili kama kweli wewe unajua kama sio kubwabwaja tu
 
Umechanganya madesa. Injili ni (Mathayo, Marco, luka, yohana) Biblia = agano la kale+ agano jipya). Agano la kale = mwanzo - Malaki na agani jipy = Mathayo - Ufunuo.
Hili neno injili ni la rugha gani?
 
Umechanganya madesa. Injili ni (Mathayo, Marco, luka, yohana) Biblia = agano la kale+ agano jipya). Agano la kale = mwanzo - Malaki na agani jipy = Mathayo - Ufunuo.
Hili neno injili nini maana yake kwa kiswahili?pia ni rugha gani?
 
Hili neno injili nini maana yake kwa kiswahili?pia ni rugha gani?
Wakiristo nyiyi maneno mengi mnayo yatumia kwenye ukirito wenu amjui maana yake sababu yametoka kwenye qur,aan yakatiwa kwenye kitabu chenu mfano majini nabii injili ibada sadaq zaka sala kusali hijja sheitani ibirisi a,adamu nk mfano neno sheitani ukitafuta maana yandani kabisa mtalikataa kwenye kitabu chenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…