Kipi ni Faraja yako kubwa Simu, Mke, Mume, Girlfriend, Boyfriend, JF, Pombe, Wazazi au Marafiki?

Kipi ni Faraja yako kubwa Simu, Mke, Mume, Girlfriend, Boyfriend, JF, Pombe, Wazazi au Marafiki?

Nikiona dunia inanielemea ninaweka nyimbo zangu za kuabudu, nitaimba, niliee mpaka najikuta nimeingia kwenye maombi..!!

Nikitoka hapo napata faraja ya ajabu mno, na huwa naona kama ile shida imekwisha kabisa..!

Na kitu kizuri ambacho huwa namshukuru Mungu kila iitwapo leo, hakuna situation huwa inadumu kwenye maisha yetu..!!
 
Nikiona dunia inanielemea ninaweka nyimbo zangu za kuabudu, nitaimba, niliee mpaka najikuta nimeingia kwenye maombi..!!

Nikitoka hapo napata faraja ya ajabu mno, na huwa naona kama ile shida imekwisha kabisa..!

Na kitu kizuri ambacho huwa namshukuru Mungu kila iitwapo leo, hakuna situation huwa inadumu kwenye maisha yetu..!!
Shika raba acha masendeu!!

cc Chaliifrancisco
 
Nikiona dunia inanielemea ninaweka nyimbo zangu za kuabudu, nitaimba, niliee mpaka najikuta nimeingia kwenye maombi..!!

Nikitoka hapo napata faraja ya ajabu mno, na huwa naona kama ile shida imekwisha kabisa..!

Na kitu kizuri ambacho huwa namshukuru Mungu kila iitwapo leo, hakuna situation huwa inadumu kwenye maisha yetu..!!


HISIA za HUZUNI huwa ni mgeni anayekuja kukutembelea nakuondoka

So Embrace ur negative emotions by practice gratitude
 
hizi comment
Screenshot 2024-08-01 120645.png
 
Ukiwa unahitaji Faraja huwa unakimbilia wapi?

Wengine Wanakimbilia kwa Mama zao au Baba zao.

Wengine kwa wake zao na waume zao.
Wengine wakichart Jamii forum wanapata faraja na kujifunza mengi.

Kila mtu ana sehemu akienda anaenda kupata faraja.
Tupe uzoefu wako.
Pesa, hasa uingize kibunda chako mwenyewe afu uwe unazihesabu weeee, raha ya hapo ni zaidi ya kupizi
 
Back
Top Bottom