Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha nyetogoPorno.
Mungu tu anisaidie
Anajisahau sana😂Mungu yupi tena akusaidie?
Si ulishasema hakuna Mungu wewe🤣
Boy friend or girl friend means you play in both team ?Money
Simu
Boyfriend/gurl furendi
Nashangaa anasema Mungu amsaidie wakati kila siku anadai hauna Mungu, hizo ni simulizi tu.Anajisahau sana😂
Shika raba acha masendeu!!Nikiona dunia inanielemea ninaweka nyimbo zangu za kuabudu, nitaimba, niliee mpaka najikuta nimeingia kwenye maombi..!!
Nikitoka hapo napata faraja ya ajabu mno, na huwa naona kama ile shida imekwisha kabisa..!
Na kitu kizuri ambacho huwa namshukuru Mungu kila iitwapo leo, hakuna situation huwa inadumu kwenye maisha yetu..!!
Nikiona dunia inanielemea ninaweka nyimbo zangu za kuabudu, nitaimba, niliee mpaka najikuta nimeingia kwenye maombi..!!
Nikitoka hapo napata faraja ya ajabu mno, na huwa naona kama ile shida imekwisha kabisa..!
Na kitu kizuri ambacho huwa namshukuru Mungu kila iitwapo leo, hakuna situation huwa inadumu kwenye maisha yetu..!!
Mshamba huyo na mshamba hachekwi 😂Nashangaa anasema Mungu amsaidie wakati kila siku anadai hauna Mungu, hizo ni simulizi tu.
Pesa madafu😊...wakongo wanaita mbongo
Unajua mkuuMarekebisho kidogo hapo mkuu
Umesahau Mpira
Thibitisha kwamba Mungu yupo.Mshamba huyo na mshamba hachekwi 😂
Mungu atabaki kuwa Mungu tu.
Thibitisha kuwa hayupo. Mbona umemuomba msaada kama hayupo?Thibitisha kwamba Mungu yupo.
Pesa, hasa uingize kibunda chako mwenyewe afu uwe unazihesabu weeee, raha ya hapo ni zaidi ya kupiziUkiwa unahitaji Faraja huwa unakimbilia wapi?
Wengine Wanakimbilia kwa Mama zao au Baba zao.
Wengine kwa wake zao na waume zao.
Wengine wakichart Jamii forum wanapata faraja na kujifunza mengi.
Kila mtu ana sehemu akienda anaenda kupata faraja.
Tupe uzoefu wako.
fasihi hiyoThibitisha kuwa hayupo. Mbona umemuomba msaada kama hayupo?