Kipi ni Faraja yako kubwa Simu, Mke, Mume, Girlfriend, Boyfriend, JF, Pombe, Wazazi au Marafiki?

Kipi ni Faraja yako kubwa Simu, Mke, Mume, Girlfriend, Boyfriend, JF, Pombe, Wazazi au Marafiki?

Simu ,,,
Hapo nitaingia jamiiforum ntazunguka jukwaa hili na lile ,,, kama haitoshi au kama kuna kitu kinanitatiza basi nitakiandika google search majibu yakija basi utakuta pia kilishawahi jadiliwa jamiiforuma basi najikuta napa faraja tokana na maelezo ya wadau mbalimbali

Kwa kupitia simu nitacheza draft as if nipo kijiweni kabisaaa ,,, ntainga www.playok.com huko ntakutana na familia ya wacheza draft wenzangu tutacheza mpaka tuchokee

Simu ntaitumia kuwasiliana na washikaji na kupeana michongo ya hapa na pale

Kwa kifupi siwezi kukaa mbali na simu yangu
 
  1. Watoto
  2. Mke
  3. Pombe kwenye 'vibe'
Hicho cha tatu, kitatumika baada ya kuhakikisha, moja na mbili ziko sawa
 
niwe na huzuni.... wazazi wangu,mke wangu,watoto wangu na mifugo yangu hunipa nguvu ya kuona ni swala la muda tu yatapita......

nikiwa na furaha nakula cha arusha
 
Ukiwa unahitaji Faraja huwa unakimbilia wapi?

Wengine Wanakimbilia kwa Mama zao au Baba zao.

Wengine kwa wake zao na waume zao.
Wengine wakichart Jamii forum wanapata faraja na kujifunza mengi.

Kila mtu ana sehemu akienda anaenda kupata faraja.
Tupe uzoefu wako.
Kama haujataja pombe, bora nisikomenti anising hiya...🤥
 
Simu ,,,
Hapo nitaingia jamiiforum ntazunguka jukwaa hili na lile ,,, kama haitoshi au kama kuna kitu kinanitatiza basi nitakiandika google search majibu yakija basi utakuta pia kilishawahi jadiliwa jamiiforuma basi najikuta napa faraja tokana na maelezo ya wadau mbalimbali

Kwa kupitia simu nitacheza draft as if nipo kijiweni kabisaaa ,,, ntainga www.playok.com huko ntakutana na familia ya wacheza draft wenzangu tutacheza mpaka tuchokee

Simu ntaitumia kuwasiliana na washikaji na kupeana michongo ya hapa na pale

Kwa kifupi siwezi kukaa mbali na simu yangu
👏🏻👏🏻👏🏻
 
Back
Top Bottom