Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Sasa stress kwani ni kila siku??N
Mbona kinakifuuu au kwangu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa stress kwani ni kila siku??N
Mbona kinakifuuu au kwangu tu
Ahaaa apo sawa,Sasa stress kwani ni kila siku??
Umejuajee...yani peps ndo ugonjwa wangu maana bia hazipandi...so naenjoy vibayaaaa mnoooAhaaa apo sawa,
Na kapepsi kako pemben awuuuh
njoo ujaribu ata chupa mbiliUmejuajee...yani peps ndo ugonjwa wangu maana bia hazipandi...so naenjoy vibayaaaa mnooo
😂😂😂Umejuajee...yani peps ndo ugonjwa wangu maana bia hazipandi...so naenjoy vibayaaaa mnooo
Niliacha zamani mnooo...siziwezi....njoo ujaribu ata chupa mbili
Sio kila kitu Lazim Kutumia me Mwenyewe situmii pombe Equation x KalpanaNiliacha zamani mnooo...siziwezi....
KumbeeeeMpenziii unawasumbuaje ndugu zako,unaenda huko koteee
Kinywaji kipi ambacho ukitumia hakikusumbui?Niliacha zamani mnooo...siziwezi....
Kama haujataja pombe, bora nisikomenti anising hiya...🤥Ukiwa unahitaji Faraja huwa unakimbilia wapi?
Wengine Wanakimbilia kwa Mama zao au Baba zao.
Wengine kwa wake zao na waume zao.
Wengine wakichart Jamii forum wanapata faraja na kujifunza mengi.
Kila mtu ana sehemu akienda anaenda kupata faraja.
Tupe uzoefu wako.
👏🏻👏🏻👏🏻Simu ,,,
Hapo nitaingia jamiiforum ntazunguka jukwaa hili na lile ,,, kama haitoshi au kama kuna kitu kinanitatiza basi nitakiandika google search majibu yakija basi utakuta pia kilishawahi jadiliwa jamiiforuma basi najikuta napa faraja tokana na maelezo ya wadau mbalimbali
Kwa kupitia simu nitacheza draft as if nipo kijiweni kabisaaa ,,, ntainga www.playok.com huko ntakutana na familia ya wacheza draft wenzangu tutacheza mpaka tuchokee
Simu ntaitumia kuwasiliana na washikaji na kupeana michongo ya hapa na pale
Kwa kifupi siwezi kukaa mbali na simu yangu