Kipi ni Faraja yako kubwa Simu, Mke, Mume, Girlfriend, Boyfriend, JF, Pombe, Wazazi au Marafiki?

Kipi ni Faraja yako kubwa Simu, Mke, Mume, Girlfriend, Boyfriend, JF, Pombe, Wazazi au Marafiki?

God - when I pray to him

Money - mainly when i sent some dollars to my Mama Account

Books- when I dig knowledge

When I'm down I read spiritual books
When I'm on mood I read inspiration books

and when I'm looking for an opportunities I' Read insightful and informative books.
Mkuu wewe huangalii movie au hata comedy za Joti?
 
Ukiwa unahitaji Faraja huwa unakimbilia wapi?

Wengine Wanakimbilia kwa Mama zao au Baba zao.

Wengine kwa wake zao na waume zao.

Wengine wakichart Jamii forum wanapata faraja na kujifunza mengi.

Kila mtu ana sehemu akienda anaenda kupata faraja.

Tupe uzoefu wako.
Watoto
 
Nimetengeneza mfumo wa kuzuia matapeli wote wa tuma kwa namba hii
Unaweza kunitumia namba yako nikuwekee ulinzi dhidi ya utapeli
Nenda Facebook huko utapata wa kuwaingiza mkenge. Kwa akili yako finyu unadhani utapata namba ya bibi? Thubutu.
 
Ukiwa unahitaji Faraja huwa unakimbilia wapi?

Wengine Wanakimbilia kwa Mama zao au Baba zao.

Wengine kwa wake zao na waume zao.

Wengine wakichart Jamii forum wanapata faraja na kujifunza mengi.

Kila mtu ana sehemu akienda anaenda kupata faraja.

Tupe uzoefu wako.
wewe apoo
 
Ukiwa unahitaji Faraja huwa unakimbilia wapi?

Wengine Wanakimbilia kwa Mama zao au Baba zao.

Wengine kwa wake zao na waume zao.

Wengine wakichart Jamii forum wanapata faraja na kujifunza mengi.

Kila mtu ana sehemu akienda anaenda kupata faraja.

Tupe uzoefu wako.
Hakuna hata kimoja katika hivyo.
 
Back
Top Bottom