Kipi ni Faraja yako kubwa Simu, Mke, Mume, Girlfriend, Boyfriend, JF, Pombe, Wazazi au Marafiki?

Kipi ni Faraja yako kubwa Simu, Mke, Mume, Girlfriend, Boyfriend, JF, Pombe, Wazazi au Marafiki?

Simu afu ukute bundle limo la mwezi aaah labda moto kwenye simu uishe.”
 
Ukiwa unahitaji Faraja huwa unakimbilia wapi?

Wengine Wanakimbilia kwa Mama zao au Baba zao.

Wengine kwa wake zao na waume zao.
Wengine wakichart Jamii forum wanapata faraja na kujifunza mengi.

Kila mtu ana sehemu akienda anaenda kupata faraja.
Tupe uzoefu wako.
Jamiiforums mm
 
Ukiwa unahitaji Faraja huwa unakimbilia wapi?

Wengine Wanakimbilia kwa Mama zao au Baba zao.

Wengine kwa wake zao na waume zao.
Wengine wakichart Jamii forum wanapata faraja na kujifunza mengi.

Kila mtu ana sehemu akienda anaenda kupata faraja.
Tupe uzoefu wako.

Ganja burn
 
Ukiwa unahitaji Faraja huwa unakimbilia wapi?

Wengine Wanakimbilia kwa Mama zao au Baba zao.

Wengine kwa wake zao na waume zao.
Wengine wakichart Jamii forum wanapata faraja na kujifunza mengi.

Kila mtu ana sehemu akienda anaenda kupata faraja.
Tupe uzoefu wako.
SIMU
 
Ahahahah mkuu sijaoa wala sina demu...
Kuna practice nafanya inaitwa semen retention...

Fatilia nyuzi za dr haya land utaelewa ...ni mambo mazito hayo
Ahaaa kumbeee duuh naona kijana MaT2B hjafikaa apa kuna nyuzi aliziangushaa juzi kati humu kuwa ni mpweke Sana
 
Back
Top Bottom