Mkuu wewe huangalii movie au hata comedy za Joti?God - when I pray to him
Money - mainly when i sent some dollars to my Mama Account
Books- when I dig knowledge
When I'm down I read spiritual books
When I'm on mood I read inspiration books
and when I'm looking for an opportunities I' Read insightful and informative books.
Natamani nifahamu kilichokuchekesha kama hutojali...
WatotoUkiwa unahitaji Faraja huwa unakimbilia wapi?
Wengine Wanakimbilia kwa Mama zao au Baba zao.
Wengine kwa wake zao na waume zao.
Wengine wakichart Jamii forum wanapata faraja na kujifunza mengi.
Kila mtu ana sehemu akienda anaenda kupata faraja.
Tupe uzoefu wako.
Nyetto Hadi bafu zishike mimba.Porno.
Mungu tu anisaidie
Nenda Facebook huko utapata wa kuwaingiza mkenge. Kwa akili yako finyu unadhani utapata namba ya bibi? Thubutu.Nimetengeneza mfumo wa kuzuia matapeli wote wa tuma kwa namba hii
Unaweza kunitumia namba yako nikuwekee ulinzi dhidi ya utapeli
uko sawaMimi sijui hata nipo nipo tu
yaishe jamaniNatamani nifahamu kilichokuchekesha kama hutojali...
wewe apooUkiwa unahitaji Faraja huwa unakimbilia wapi?
Wengine Wanakimbilia kwa Mama zao au Baba zao.
Wengine kwa wake zao na waume zao.
Wengine wakichart Jamii forum wanapata faraja na kujifunza mengi.
Kila mtu ana sehemu akienda anaenda kupata faraja.
Tupe uzoefu wako.
Umepigaje hapo..?Kibunda π
kibunda π....... kinanipa faraja hatari yani.Umepigaje hapo..?
Hiyo ndio point, hizo zingine mbwembwe tu..kibunda π....... kinanipa faraja hatari yani.
Kabisa mkuu... dollar nairespect sanaHiyo ndio point, hizo zingine mbwembwe tu..
Hakuna hata kimoja katika hivyo.Ukiwa unahitaji Faraja huwa unakimbilia wapi?
Wengine Wanakimbilia kwa Mama zao au Baba zao.
Wengine kwa wake zao na waume zao.
Wengine wakichart Jamii forum wanapata faraja na kujifunza mengi.
Kila mtu ana sehemu akienda anaenda kupata faraja.
Tupe uzoefu wako.
Pepsi...πππKinywaji kipi ambacho ukitumia hakikusumbui?
Nimekuandalia kreti mbiliPepsi...πππ