L luis diaz Member Joined Feb 28, 2022 Posts 86 Reaction score 208 Sep 12, 2022 #1 Habarini naomba kuuliza, ukiachana na kumpenda mpenzi wako je, ni kigezo gani kingine unaangalia mpaka unafikia kusema huyu anafaa kuwa mke? Na je, mdada anaesali sana ni moja ya kigezo? Je, mtu akiwa na hofu ya Mungu inatosha kuwa kigezo? Au kuna mengine tofauti na hayo?
Habarini naomba kuuliza, ukiachana na kumpenda mpenzi wako je, ni kigezo gani kingine unaangalia mpaka unafikia kusema huyu anafaa kuwa mke? Na je, mdada anaesali sana ni moja ya kigezo? Je, mtu akiwa na hofu ya Mungu inatosha kuwa kigezo? Au kuna mengine tofauti na hayo?
Jorge WIP JF-Expert Member Joined Jul 12, 2018 Posts 3,567 Reaction score 5,323 Sep 12, 2022 #2 gut feeling
Dormant Account JF-Expert Member Joined Apr 5, 2022 Posts 11,308 Reaction score 32,757 Sep 12, 2022 #3 Sogeza maiki hyo inatumiwa na watu wa singeli
Mnyiramba JF-Expert Member Joined Jun 19, 2022 Posts 1,141 Reaction score 3,119 Sep 12, 2022 #4 Hakikisha hana tozo za hapa na pale, sio mchawi, sio mchoyo sio malaya,sio mchafu na chura kwa mbaliii
Hakikisha hana tozo za hapa na pale, sio mchawi, sio mchoyo sio malaya,sio mchafu na chura kwa mbaliii
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 19,041 Reaction score 46,239 Sep 12, 2022 #6 Wanaume tunawasubiri mje
Nedlloyd JF-Expert Member Joined Mar 29, 2014 Posts 10,361 Reaction score 27,215 Sep 12, 2022 #7 Misala ipo popote .. ukifata washauri unakwepa chaguo lako
Underwood JF-Expert Member Joined Dec 25, 2020 Posts 1,909 Reaction score 3,120 Sep 12, 2022 #8 Backend
Toxic Concotion JF-Expert Member Joined Aug 5, 2015 Posts 5,760 Reaction score 20,837 Sep 12, 2022 #9 Likifika swala la kuoa huwa hakuna vigezo sahihi. Moyo ukishaamua yake hata akiwa jambazi utamuona malaika tu. Kikubwa kama hujaoa/olewa muombe Mungu wako aelekeze moyo wako sehemu sahihi tu.
Likifika swala la kuoa huwa hakuna vigezo sahihi. Moyo ukishaamua yake hata akiwa jambazi utamuona malaika tu. Kikubwa kama hujaoa/olewa muombe Mungu wako aelekeze moyo wako sehemu sahihi tu.
Mbekenga JF-Expert Member Joined Jun 14, 2010 Posts 3,262 Reaction score 8,144 Sep 12, 2022 #10 Angalia familia ambayo baba ni baba kweli siyo zile familia ambazo kila mtu ni kambale. Swala la hofu ya Mungu ni kichaka. Usichague siku ya sherehe, hata ukivutiwa fanya ziara ya kushtukiza kabla hajapiga mswaki usijekuchanganywa na kope bandia, vigodoro, make up n.k
Angalia familia ambayo baba ni baba kweli siyo zile familia ambazo kila mtu ni kambale. Swala la hofu ya Mungu ni kichaka. Usichague siku ya sherehe, hata ukivutiwa fanya ziara ya kushtukiza kabla hajapiga mswaki usijekuchanganywa na kope bandia, vigodoro, make up n.k
Labani og JF-Expert Member Joined Sep 15, 2020 Posts 19,637 Reaction score 29,473 Sep 12, 2022 #12 nitaangalia WO WO WO......
jay-millions JF-Expert Member Joined Apr 30, 2015 Posts 3,983 Reaction score 10,034 Sep 12, 2022 #13 Asiwe na past mbaya, awe mcha Mungu na mkarimu
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 26,961 Reaction score 77,890 Sep 12, 2022 #14 Haina mjanja iyo
Saint_Mwakyoma JF-Expert Member Joined Jun 8, 2019 Posts 865 Reaction score 1,208 Sep 12, 2022 #15 Spiritual compactibility Soulical compactibility Baada ya hapo ni ndoa
Masagala JF-Expert Member Joined Jan 28, 2017 Posts 2,278 Reaction score 3,960 Sep 12, 2022 #16 Mnyiramba said: Hakikisha hana tozo za hapa na pale, sio mchawi, sio mchoyo sio malaya,sio mchafu na chura kwa mbaliii Click to expand... nakazia.
Mnyiramba said: Hakikisha hana tozo za hapa na pale, sio mchawi, sio mchoyo sio malaya,sio mchafu na chura kwa mbaliii Click to expand... nakazia.
pwilo JF-Expert Member Joined May 27, 2015 Posts 10,913 Reaction score 13,876 Sep 12, 2022 #17 Luis diaz hilo swali umeshindwa kumuuliza james Milner na mnacheza team moja mpaka uje huku
Kunguru wa Manzese JF-Expert Member Joined Apr 20, 2016 Posts 12,729 Reaction score 18,119 Sep 13, 2022 #18 sophy27 said: Wanaume tunawasubiri mje Click to expand... Haya tumekuja shida nini mama
S sankara25 JF-Expert Member Joined Aug 19, 2022 Posts 389 Reaction score 789 Sep 13, 2022 #19 Me niliangalia upendo wake kwang tu bc hakuna jengine
S sankara25 JF-Expert Member Joined Aug 19, 2022 Posts 389 Reaction score 789 Sep 13, 2022 #20 Me niliangalia upendo wake kwang tu bc hakuna jengine