Kipi ni kigezo sahihi pindi unapochagua mtu wa kuoa?

Kipi ni kigezo sahihi pindi unapochagua mtu wa kuoa?

1.bikra
Kama haipo Basi uke una tight unaobana
2.asiwe single mother ila wako single maza waukweli TU nakupa ruhusa waoe
 
Asiwe tu mshirikina,hayo mengine yote yanasameheka fundishika kuelekezana ila

swala la kwenda kwa kalmanzila hapana asee,tafuta namna unayoweza mtega kwa story

ukiona ktk sentensi zake atakutajia "mganga" mtaalamu,tupilia mbali kule hiyo witch doctor.
 
Bila kusahau,Awe mbana Bajeti Mpe 2000 halafu muache nenda kazini

ukirudi uone utakuta chakula au hukuti, hakikisha Gas ipo au mkaa upo

vingine vyote hakikisha hamna,ndani awe na hiyo 2000 tu uone utakuta

chakula gani ukirudi nyumbani,hakikisha mahtaji mengine kama sabuni

na vitu vingine vyote vipo yani 2000 iwe n ya chakula tu asije akasema alienda

nunulia sabuni,au steal wire... 2000 ni ya msosi then kausha ukrudi utaona utakuta nini.

Bright Woman,hatoazima wala hatokopa ila kuna chakula cha kupika mkala kwa hiyo 2000.

Hawezi jua ni chakula gani kama akili yake ipo kiunoni,mpe challenge hiyo halafu kaa kwa kutulia ujue aina ya Joker au galasa ulilo lamba.
 
Asiwe tu mshirikina,hayo mengine yote yanasameheka fundishika kuelekezana ila

swala la kwenda kwa kalmanzila hapana asee,tafuta namna unayoweza mtega kwa story

ukiona ktk sentensi zake atakutajia "mganga" mtaalamu,tupilia mbali kule hiyo witch doctor.
Brother nimekuelewa Sana,nilikutana na mwanamke wa hivi nilikoma[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Back
Top Bottom