Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Mwanamke mwenye independent mind,
Hiyo ni sifa kuu baada ya Upendo, uzuri na tabia njema
Hiyo ni sifa kuu baada ya Upendo, uzuri na tabia njema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa kikwazo kitakuja kwenye 50/50 😂😂Mwanamke mwenye independent mind,
Hiyo ni sifa kuu
Hapa kikwazo kitakuja kwenye 50/50 😂😂
Wapo kibao hawa wenye elimu ya kukariri na kujua kingereza.Hakuna mwanamke mwenye hiyo Dhana ya 50/50
Ukiona yupo ujue Shetani anamuendesha,
Au mwili wakike lakini software ya kiume
Wapo wengi san tu mkuu omba Mungu usikutane na wenye dhana izoHakuna mwanamke mwenye hiyo Dhana ya 50/50
Ukiona yupo ujue Shetani anamuendesha,
Au mwili wakike lakini software ya kiume
Wapo kibao hawa wenye elimu ya kukariri na kujua kingereza.
Wapo wengi san tu mkuu omba Mungu usikutane na wenye dhana izo
Bangi zinawaendesha😂😂HAO ni vichaa tuu
OkMungu amenipa uwezo wa kukabiliana na watu wa namna zote.
Siwezi muomba kitu Kama hicho, vipo vingi vya kumuomba
Angalia familia ambayo baba ni baba kweli siyo zile familia ambazo kila mtu ni kambale. Swala la hofu ya Mungu ni kichaka.
Usichague siku ya sherehe, hata ukivutiwa fanya ziara ya kushtukiza kabla hajapiga mswaki usijekuchanganywa na kope bandia, vigodoro, make up n.k
Retired veterans huwa wanakuja kujificha uko unakosema wwKuoa ni kama kubet- you should stake what you can afford to lose....... Ila kukushauri nenda kwa mwenye hofu ya Mungu- utanishukuru baadae japo mambo mengi ya kidunia utayakosa [emoji28][emoji28][emoji28]
Very trueAngalia familia ambayo baba ni baba kweli siyo zile familia ambazo kila mtu ni kambale. Swala la hofu ya Mungu ni kichaka.
Usichague siku ya sherehe, hata ukivutiwa fanya ziara ya kushtukiza kabla hajapiga mswaki usijekuchanganywa na kope bandia, vigodoro, make up n.k
Vigezo vipo boss, ndiomana watu wanapotea kwa kusema hakuna formulaLikifika swala la kuoa huwa hakuna vigezo sahihi. Moyo ukishaamua yake hata akiwa jambazi utamuona malaika tu.
Kikubwa kama hujaoa/olewa muombe Mungu wako aelekeze moyo wako sehemu sahihi tu.
Umeisha mzeekwangu mimi Upendo kwanza, then awe humble naamini vingine ataelekezeka.
Hapa sasa itakuwa unaoa Bibi aseeehRetired veterans huwa wanakuja kujificha uko unakosema ww