Kipi ni salama zaidi kutumika wakati wa ukavu katika tendo la kujamiiana

Sema kwa sisi wanaume wa Cuba hii hali inatusaidia sana. Kitu pekee ambacho mwanamke hawezi ku "fake" ni ute tuu, kama upo upo haupo haupo. Hivyo vingine sijui miguno, mayowe, nk ana act vizuri tuu..🀣🀣
Hahaa upo sahihi,..mwanamke Kama hanafeeling na wewe hawwezi kupata ute...But Kuna wanawake wale wenye healthy pussy ute upo available tuuuπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„sasa hao Ni wachache mno nowdays,..
 
hakikisheni mnawaandaa wake zenu mpaka wawe tyari sasa nyie kwakua mnataka tu kuweka hamjali kama mtu yuko tayari kwa tendo au la mkikuta hayuko tayar ndo mimate shwaaa wooi
Kuna point ikifika mwanamke hata umuandae saa nzima ukija kugusa mashine vumbi linatimka yaani kukavu balaa.. hapo ndio watu hulazimika kuangalia plan B
 

Kiuhalisia na kiuumbaji wa Mungu Mwanamke anakua na hamu ya kufanya tendo la ndoa wakati maalumu tu na sio kila siku. Ndio maana mwanaume au kiumbe chochote cha kiume kimepewa fursa ya kuwa na majile mengi . Viumbe wote wanafanana katika mifumo yao tofauti ni kuwa binadamu amepewa akili kubwa zaidi .

Wanawake wanapofanya mapenzi kama starehe bila kujali wakati wa wa kibiolojia matokeo yake ni kukereka na kuona wanaume kama watu katili kwenye mapenzi kumbe wao ndio wanaoenda kinyume na ml0kuaumbile yao kibiolojia .


Ukiangalia wanawake wengi kwa sasa wanahaha kutafuta namna ya kufurahia ngono matokeo yake wanakua na wanaume wengi wakiendelea kutafuta namna ya kufurahia. Wengine anafikiri labda akisuguliwa mpala apate michubuko na kusikia K inawaka moto wiki nzima ndio raha lakini baadae anakutana na mwingine kwenye siku ya joto na kulainishwa vizuri bila kuumia wala michubuko akaona tena ndio raha yake . Mwingine akakutana na wapiga deki wanaotumia ulimi kupaka mate lakini bado wanawake wanaona kuwa suala la ngono kwao halina furaha ndio maana wote wanaamini kuwa anayefaidi ni mwanaume ndio maana wanaamua hata kuuza huduma ya ngono.


Turejee kwenye maumbile ya kibiolojia . Mwanaume awe na wake wawili mpaka watatu ili wapate muda wa kukusanya hisia zao kwa wivu mkubwa na kutamani zamu yake ifike ndani ya wiki na mwezi. Vinginevyo ,hii mifumo ya kuiga kwenye tamthilia na picha za ngono itasambaratisha mahusiano mengi sana ya watu hasa wanawake wanaoshinda kwenye mitandao.
 
Kiukweli mi nikishaona mwanamke tumefikia mahali mashine haiingii yenyewe hua siku za kuwa nae zinahesabika. Kwanza kulazimisha ndio mwanzo wa kuchubuana na kuambukizana magonjwa yasiyotibika.
Ni kweli kuwa ute ni sign mojawapo kuwa feelings ziko juu yako, however akiwa mkavu haimaanishi kuwa "hakupendi tena". Mwanamke kwenye sex ameumbwa kimaajabu na wala sio kosa lake, a little upset everything goes completely dry, sasa jiulize kwenye maisha upset ziko ngapi? Ikiwa mna bond nzuri, hapa ndio unakuja ule usemi wa sex ni kitu cha muhimu ila sio kitu cha pekee kwenye mahusiano.

Mtu kukupenda ni pamoja na kufanya sex kwa ajili yako ikiwa hakutozi ushuru, anafanya ili wewe ufurahi hata kama yeye anapoteza.. hivyo anavyokulilia ndivyo inavyotakiwa ili wewe uenjoy, sasa hapo nunua lube ili yeye akijiliza halafu mkavu weka lube mambo yako yakuendee. Its okay to "use" your spouse sometimes... ile 50/50 haiko practical kihivyoo πŸ˜…

Ikiwa utaamua kubadilisha wanawake kwa kigezo hiko, utamaliza dunia mkuu..
 
Umeongea kwa uchungu sana πŸ˜„ Ila umeeleweka
 
Hahaa upo sahihi,..mwanamke Kama hanafeeling na wewe hawwezi kupata ute...But Kuna wanawake wale wenye healthy pussy ute upo available tuuuπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„sasa hao Ni wachache mno nowdays,..
kuna wengine badala ya kua na ute wanakua na maji tu, hii unaizungumziaje ndugu mdau?πŸ’
 
Kiukweli mi nikishaona mwanamke tumefikia mahali mashine haiingii yenyewe hua siku za kuwa nae zinahesabika. Kwanza kulazimisha ndio mwanzo wa kuchubuana na kuambukizana magonjwa yasiyotibika.
naskia wengine hutokana na kusagana au kujichua wenyewe πŸ’

siku akiwa hajajichua ute upo tu wa kutosha, alijichua tu Lazima umkute mkavu siku hiyo,πŸ’
 
Kiumbaji hata mwanamme anatakiwa atoe kilainishi kabla ya kuingiza, ila kutokana na mabadiliko ya tabia nchi hili Kwa wengi halitokei!! Na Sasa inakuwa kama tunaangushia jumba bovu Kwa wadada au wamama
 
Kiumbaji hata mwanamme anatakiwa atoe kilainishi kabla ya kuingiza, ila kutokana na mabadiliko ya tabia nchi hili Kwa wengi halitokei!! Na Sasa inakuwa kama tunaangushia jumba bovu Kwa wadada au wamama
inawezekana ila binafs sina hakika na hilo πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…