Kipi rahisi kati ya kuzuia maandamano na kumwajibisha IGP, Waziri Masauni?

Kipi rahisi kati ya kuzuia maandamano na kumwajibisha IGP, Waziri Masauni?

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, Shalom!!

Nimekaa hapa natafakari, kipi Hasa ni Rahisi,

1. Umma wa Watanzania unadai viongozi waliopo IGP, Waziri wa mambo ya ndani ndugu Masauni wajiuzulu au wafukuzwe nafasi zao Kisha wateuliwe wengine watakaokuja na Mpango mkakati wa kushughulikia mauaji ya raia na utekaji.

2. Kunyamazishwa wananchi wasilie, wasiseme, wasilaumu Wala kukemea vitendo ovu vya mauaji na utekaji wa raia wasio na hatia.

Eti, hata wewe uliyehitimu saint kayumba, La Saba A, ungechukua uamuzi Gani kati ya uamuzi no. 1 na No. 2?

NB: Ukila na kipofu, hakikisha humgusi mkono akastuka🤔

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
 
Salaam, Shalom!!

Nimekaa hapa natafakari, kipi Hasa ni Rahisi,

1. Umma wa Watanzania unadai viongozi waliopo IGP, Waziri wa mambo ya ndani ndugu Masauni wajiuzulu au wafukuzwe nafasi zao Kisha wateuliwe wengine watakaokuja na Mpango mkakati wa kushughulikia mauaji ya raia na utekaji.

2. Kunyamazishwa wananchi wasilie, wasiseme, wasilaumu Wala kukemea vitendo ovu vya mauaji na utekaji wa raia wasio na hatia.

Eti, hata wewe uliyehitimu saint kayumba, La Saba A, ungechukua uamuzi Gani kati ya uamuzi no. 1 na No. 2?

NB: Ukila na kipofu, hakikisha humgusi mkono akastuka🤔

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
Wawajibishwe kwa lipi. Yaani upumbavu wenu ndo uwafanye wajiuzulu.
 
Wamekunywa wote kahawa leo, kupongezana na kupewa baraka zaidi za kuendelea na kazi nzuri wanayofanya.

Tarajieni mengi zaidi, hasa mizoga maporini. Yote kwa baraka ya alie juu yao.
 
Salaam, Shalom!!

Nimekaa hapa natafakari, kipi Hasa ni Rahisi,

1. Umma wa Watanzania unadai viongozi waliopo IGP, Waziri wa mambo ya ndani ndugu Masauni wajiuzulu au wafukuzwe nafasi zao Kisha wateuliwe wengine watakaokuja na Mpango mkakati wa kushughulikia mauaji ya raia na utekaji.

2. Kunyamazishwa wananchi wasilie, wasiseme, wasilaumu Wala kukemea vitendo ovu vya mauaji na utekaji wa raia wasio na hatia.

Eti, hata wewe uliyehitimu saint kayumba, La Saba A, ungechukua uamuzi Gani kati ya uamuzi no. 1 na No. 2?

NB: Ukila na kipofu, hakikisha humgusi mkono akastuka[emoji848]

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA [emoji1241]

Karibuni [emoji120]
Unafikiri nchi inaendeshwa kama familia yako unavyoipeleka?,

Kama ajenda ni kumuondoa Masauni na Wambura utasubiri sana,
 
Wamekunywa wote kahawa leo, kupongezana na kupewa baraka zaidi za kuendelea na kazi nzuri wanayofanya.

Tarajieni mengi zaidi, hasa mizoga maporini. Yote kwa baraka ya alie juu yao.
Si Rahisi,

Asikwambie mtu, usiku viongozi time kama hizi Huwa hawalali USINGIZI!!
 
Unafikiri nchi inaendeshwa kama familia yako unavyoipeleka?,

Kama ajenda ni kumuondoa Masauni na Wambura utasubiri sana,
Kwako jambo Rahisi ni kuzuia watu wasimlilie Soka na wengine waliopotea?

Hivi hamjui kula na kipofu?
 
Kwani maandamano si haki ya kikatiba na msingi wa falsafa ya 4R?
 
Salaam, Shalom!!

Nimekaa hapa natafakari, kipi Hasa ni Rahisi,

1. Umma wa Watanzania unadai viongozi waliopo IGP, Waziri wa mambo ya ndani ndugu Masauni wajiuzulu au wafukuzwe nafasi zao Kisha wateuliwe wengine watakaokuja na Mpango mkakati wa kushughulikia mauaji ya raia na utekaji.

2. Kunyamazishwa wananchi wasilie, wasiseme, wasilaumu Wala kukemea vitendo ovu vya mauaji na utekaji wa raia wasio na hatia.

Eti, hata wewe uliyehitimu saint kayumba, La Saba A, ungechukua uamuzi Gani kati ya uamuzi no. 1 na No. 2?

NB: Ukila na kipofu, hakikisha humgusi mkono akastuka🤔

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
Saa 100 yuko radhi kutumia nguvu kuwakabili watanganyika kisa tu kumlinda mzenji mwenziye 'bichwa tofa' kujiuzulu
 
Kwanza kabla ya yote tunataka vijana wetu waliotoka mafunzo ya FFU wapate zoezi hai.

Ingieni kwa wingi kufanya maandamano yaliyopigwa marufuku ili tuone vijana wetu itawachukuwa muda gani kuwatuliza na kuwafanya muweze kutii amri bila kushurutishwa.
 
IGP hataondolewa na kutekwa Kwa watu kutakuwa pale pale...

Maskini Tanzania yetu....🙆
Ataondoka,

Maana ni Rahisi IGP kuondoka kuliko kuzuia watu kusema, kulipa na kudai HAKI itendeke Kwa ndugu zetu waliopotea.

Mzee Mwinyi RIP mbona alijiuzulu?

Cheo ni dhamana,

Ni Rahisi sana kumwondoa IGP na Masauni kuliko kuwahamishia Burundi Watanzania wote!!
 
Ataondoka,

Maana ni Rahisi IGP kuondoka kuliko kuzuia watu kusema, kulipa na kudai HAKI itendeke Kwa ndugu zetu waliopotea.

Mzee Mwinyi RIP mbona alijiuzulu?

Cheo ni dhamana,

Ni Rahisi sana kumwondoa IGP na Masauni kuliko kuwahamishia Burundi Watanzania wote!!
C Kwa CCM hii waliokaliaa kichwa badala ya makalio,,wanalindana sanaaa hata sehemu ambayo haitakiwi mtu kulindwaaaa na maovu yakee
 
Saa 100 yuko radhi kutumia nguvu kuwakabili watanganyika kisa tu kumlinda mzenji mwenziye 'bichwa tofa' kujiuzulu
Sasa mbona anajikosesha USINGIZI Bure?

Choice Rahisi hapo ni kuwatimua usiku huu wa Leo,

Ashike tu kalamu yake na kuwatengua.
 
C Kwa CCM hii waliokaliaa kichwa badala ya makalio,,wanalindana sanaaa hata sehemu ambayo haitakiwi mtu kulindwaaaa na maovu yakee
Sirro Yu wapi?

Amtimue tu Wambura na hakitatokea chochote!!
 
Salaam, Shalom!!

Nimekaa hapa natafakari, kipi Hasa ni Rahisi,

1. Umma wa Watanzania unadai viongozi waliopo IGP, Waziri wa mambo ya ndani ndugu Masauni wajiuzulu au wafukuzwe nafasi zao Kisha wateuliwe wengine watakaokuja na Mpango mkakati wa kushughulikia mauaji ya raia na utekaji.

2. Kunyamazishwa wananchi wasilie, wasiseme, wasilaumu Wala kukemea vitendo ovu vya mauaji na utekaji wa raia wasio na hatia.

Eti, hata wewe uliyehitimu saint kayumba, La Saba A, ungechukua uamuzi Gani kati ya uamuzi no. 1 na No. 2?

NB: Ukila na kipofu, hakikisha humgusi mkono akastuka🤔

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
Kaka mungu akubariki pia. An army of goats lead by lion will never loose against an army of lions lead by a warthog. We need revolution, connections zinazidi kutuangusha kama taifa. Ila it's too sad hili halina mwarobaini utakaotupa short term results. Ila these movements, are an onset of a great revolution against black colonialism
 
Back
Top Bottom