Kipi rahisi kati ya kuzuia maandamano na kumwajibisha IGP, Waziri Masauni?

Kipi rahisi kati ya kuzuia maandamano na kumwajibisha IGP, Waziri Masauni?

Wamekunywa wote kahawa leo, kupongezana na kupewa baraka zaidi za kuendelea na kazi nzuri wanayofanya.

Tarajieni mengi zaidi, hasa mizoga maporini. Yote kwa baraka ya alie juu yao.
Habari ya gahawa achana nayo,

Muhimu akumbuke kuwa polisi KAZI Yao ni kulinda wapiga kura,

Hawana uwezo wa kumpigia kura kiongozi yeyote akashinda.

CCM kura zinapotea kirahisi!!
 
Amini keamba Masauni atakaa kwenye hiyo Wizara mpaka samia anaondoka madarakani
 
Yaani CCM iwe radhi kukosa kura Ili kumlinda Masauni na IGP Wambura?

Uchaguzi wa mitaa ni November tu pale!!
 
Salaam, Shalom!!

Nimekaa hapa natafakari, kipi Hasa ni Rahisi,

1. Umma wa Watanzania unadai viongozi waliopo IGP, Waziri wa mambo ya ndani ndugu Masauni wajiuzulu au wafukuzwe nafasi zao Kisha wateuliwe wengine watakaokuja na Mpango mkakati wa kushughulikia mauaji ya raia na utekaji.

2. Kunyamazishwa wananchi wasilie, wasiseme, wasilaumu Wala kukemea vitendo ovu vya mauaji na utekaji wa raia wasio na hatia.

Eti, hata wewe uliyehitimu saint kayumba, La Saba A, ungechukua uamuzi Gani kati ya uamuzi no. 1 na No. 2?

NB: Ukila na kipofu, hakikisha humgusi mkono akastuka🤔

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
rahisi na muhimu zaidi,
ni kutuliza akili na kutafuta majawabu ya kudumu, ya changamoto, kasoro na dosari za kiusalama,

zinazojitikeza kwa kuviziana miongoni mwa wagombea uongozi katika vyama vinavyofanya uchaguzi wao wa ndani, Lakini pia miongoni wananchi waodhulumiana katika Biashara, au kwa sababu za wivu wa kimapenzi, kuiba wake za watu, fumanizi changamoto nyingine mbalimbali kwenye jamii kwa ujumla 🐒

hakuna kukimbia Tatizo, suluhisho ni kutafuta suluhu ya kudumu hadi limeisha ..
 
rahisi na muhimu zaidi,
ni kutuliza akili na kutafuta majawabu ya kudumu, ya changamoto, kasoro na dosari za kiusalama,

zinazojitikeza kwa kuviziana miongoni mwa wagombea uongozi katika vyama vinavyofanya uchaguzi wao wa ndani, Lakini pia miongoni wananchi waodhulumiana katika Biashara, au kwa sababu za wivu wa kimapenzi, kuiba wake za watu, fumanizi changamoto nyingine mbalimbali kwenye jamii kwa ujumla 🐒

hakuna kukimbia Tatizo, suluhisho ni kutafuta suluhu ya kudumu hadi limeisha ..
Suluhu ya kudumu inatafutwa baada ya walioshindwa kufanya KAZI Yao Kwa ufasaha kuondoshwa Ofisini!!

Unawezaje kutafuta suluhu ya wizi Ofisini ilhali muhasibu anayetihumiwa kuiba pesa Yu Ofisini?

Tumia akili ikiwa unazo!!
 
Suluhu ya kudumu inatafutwa baada ya walioshindwa kufanya KAZI Yao Kwa ufasaha kuondoshwa Ofisini!!

Unawezaje kutafuta suluhu ya wizi Ofisini ilhali muhasibu anayetihumiwa kuiba pesa Yu Ofisini?

Tumia akili ikiwa unazo!!
ni ushirikiana kukimbia tatizo eti imeshindwa..

kwahiyo ukishindwa kupata pesa ya chumvi nyumbani kwako au ada ya watoto wako shule, suluhisho lake muhimu sana, unatakiwa ujiuzilu kwenye ndoa yako kwasababu imeshindwa kazi right?

au watoto wako wakipigana na kuumizana wao kwa wao au na wa majirani na hata waka uana, na wewe ukiwa kwenye mihangaiko yako huko mtaani..

ukirudi nyumbani na kukuta hali hiyo,
unamfukuza kwenye mke wako kwenye ndoa yako right?

au utamshinikiza ajiuzulu ili aje mke mwingine, si ndiyo?🐒

Kukimbia tatizo ni useless na nonsense technique kwenye changamoto 🐒
 
Usihangaike kutafuta jibu we tarehe 23 ingia barabarani kuandamana uta observe mwenyewe kuwa kati ya kuzuia na kujiuzulu ni ipi rahisi kwao
 
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimu
 
rahisi na muhimu zaidi,
ni kutuliza akili na kutafuta majawabu ya kudumu, ya changamoto, kasoro na dosari za kiusalama,

zinazojitikeza kwa kuviziana miongoni mwa wagombea uongozi katika vyama vinavyofanya uchaguzi wao wa ndani, Lakini pia miongoni wananchi waodhulumiana katika Biashara, au kwa sababu za wivu wa kimapenzi, kuiba wake za watu, fumanizi changamoto nyingine mbalimbali kwenye jamii kwa ujumla 🐒

hakuna kukimbia Tatizo, suluhisho ni kutafuta suluhu ya kudumu hadi limeisha ..
Poor thinking kijana, ushirikishe vizuri ubongo wako. Kwa hiyo, huo uozo wako wote uliyo orodhesha hapo unastahili adhabu ya kifo? Kwani Tanzania ipo vitani hadi raia wake wauwawe kwa kumkamata mtu na silaha za kivita mchana kweupe kabisa.....tena wamejitambulisha kuwa wao ni police? Huo upumbavu wako peleka kwa wenzio wasiojulikana hukooo!!
 
Poor thinking kijana, ushirikishe vizuri ubongo wako. Kwa hiyo, huo uozo wako wote uliyo orodhesha hapo unastahili adhabu ya kifo? Kwani Tanzania ipo vitani hadi raia wake wauwawe kwa kumkamata mtu na silaha za kivita mchana kweupe kabisa.....tena wamejitambulisha kuwa wao ni police? Huo upumbavu wako peleka kwa wenzio wasiojulikana hukooo!!
sasa gentleman,
bright think haleti mihemko ghadhabu na makasiriko...

anakuja na powerful New ideas na best alternatives solutions za kuondoka kwenye mkwamo uliopo...

sasa,
useless and completely nonsense narratives na mipasho haina maana yoyote na nikupoteza muda 🐒
 
Kwani maandamano si haki ya kikatiba na msingi wa falsafa ya 4R?
Ni HAKI kikatiba kabisa,

Sasa iweje kuzuia iwe chaguo mojawapo Badala ya kueafuta KAZI waliopo Ili kuleta uwajibikaji wa pamoja.
 
Kaka mungu akubariki pia. An army of goats lead by lion will never loose against an army of lions lead by a warthog. We need revolution, connections zinazidi kutuangusha kama taifa. Ila it's too sad hili halina mwarobaini utakaotupa short term results. Ila these movements, are an onset of a great revolution against black colonialism
Amin, ubarikiwe pia
 
Back
Top Bottom