Kipi rahisi kati ya kuzuia maandamano na kumwajibisha IGP, Waziri Masauni?

Kipi rahisi kati ya kuzuia maandamano na kumwajibisha IGP, Waziri Masauni?

Kwanza kabla ya yote tunataka vijana wetu waliotoka mafunzo ya FFU wapate zoezi hai.

Ingieni kwa wingi kufanya maandamano yaliyopigwa marufuku ili tuone vijana wetu itawachukuwa muda gani kuwatuliza na kuwafanya muweze kutii amri bila kushurutishwa.
Niamini Mimi unazeeka vibaya,

Hao askari walioajiriwa, ni kaka na dada zetu, ndugu zetu kabisa,

Kuwaamrisha wawaumize ndugu zao wasio na hatia,

Uwe na HAKIKA wataasi hiyo amri na kuungana na raia WEMA.

Mchezo wa siasa uchezwe ndani ya ulingo wa siasa Si vinginevyo.

Tusubiri.
 
Muheahimiwa, wafute KAZI hao viongozi.
 
Back
Top Bottom