Habari ya gahawa achana nayo,Wamekunywa wote kahawa leo, kupongezana na kupewa baraka zaidi za kuendelea na kazi nzuri wanayofanya.
Tarajieni mengi zaidi, hasa mizoga maporini. Yote kwa baraka ya alie juu yao.
Yule Binti mwenye ualbino Asimwe aliyeuwawa, hakuwa mwana CHADEMA,Sio umma wote wa Watanzania ila Chadema wamesema
Sijawahi kubeti ila katika hili natamani kubeti!!Amini keamba Masauni atakaa kwenye hiyo Wizara mpaka samia anaondoka madarakani
rahisi na muhimu zaidi,Salaam, Shalom!!
Nimekaa hapa natafakari, kipi Hasa ni Rahisi,
1. Umma wa Watanzania unadai viongozi waliopo IGP, Waziri wa mambo ya ndani ndugu Masauni wajiuzulu au wafukuzwe nafasi zao Kisha wateuliwe wengine watakaokuja na Mpango mkakati wa kushughulikia mauaji ya raia na utekaji.
2. Kunyamazishwa wananchi wasilie, wasiseme, wasilaumu Wala kukemea vitendo ovu vya mauaji na utekaji wa raia wasio na hatia.
Eti, hata wewe uliyehitimu saint kayumba, La Saba A, ungechukua uamuzi Gani kati ya uamuzi no. 1 na No. 2?
NB: Ukila na kipofu, hakikisha humgusi mkono akastuka🤔
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni 🙏
Suluhu ya kudumu inatafutwa baada ya walioshindwa kufanya KAZI Yao Kwa ufasaha kuondoshwa Ofisini!!rahisi na muhimu zaidi,
ni kutuliza akili na kutafuta majawabu ya kudumu, ya changamoto, kasoro na dosari za kiusalama,
zinazojitikeza kwa kuviziana miongoni mwa wagombea uongozi katika vyama vinavyofanya uchaguzi wao wa ndani, Lakini pia miongoni wananchi waodhulumiana katika Biashara, au kwa sababu za wivu wa kimapenzi, kuiba wake za watu, fumanizi changamoto nyingine mbalimbali kwenye jamii kwa ujumla 🐒
hakuna kukimbia Tatizo, suluhisho ni kutafuta suluhu ya kudumu hadi limeisha ..
ni ushirikiana kukimbia tatizo eti imeshindwa..Suluhu ya kudumu inatafutwa baada ya walioshindwa kufanya KAZI Yao Kwa ufasaha kuondoshwa Ofisini!!
Unawezaje kutafuta suluhu ya wizi Ofisini ilhali muhasibu anayetihumiwa kuiba pesa Yu Ofisini?
Tumia akili ikiwa unazo!!
Kamanda sirro Yuko wapi?Watu mnaota ndoto
Kuwa balozi ni kuwajibishwa?Kamanda sirro Yuko wapi?
Ndio ni kuwajibishwa,Kuwa balozi ni kuwajibishwa?
Poor thinking kijana, ushirikishe vizuri ubongo wako. Kwa hiyo, huo uozo wako wote uliyo orodhesha hapo unastahili adhabu ya kifo? Kwani Tanzania ipo vitani hadi raia wake wauwawe kwa kumkamata mtu na silaha za kivita mchana kweupe kabisa.....tena wamejitambulisha kuwa wao ni police? Huo upumbavu wako peleka kwa wenzio wasiojulikana hukooo!!rahisi na muhimu zaidi,
ni kutuliza akili na kutafuta majawabu ya kudumu, ya changamoto, kasoro na dosari za kiusalama,
zinazojitikeza kwa kuviziana miongoni mwa wagombea uongozi katika vyama vinavyofanya uchaguzi wao wa ndani, Lakini pia miongoni wananchi waodhulumiana katika Biashara, au kwa sababu za wivu wa kimapenzi, kuiba wake za watu, fumanizi changamoto nyingine mbalimbali kwenye jamii kwa ujumla 🐒
hakuna kukimbia Tatizo, suluhisho ni kutafuta suluhu ya kudumu hadi limeisha ..
sasa gentleman,Poor thinking kijana, ushirikishe vizuri ubongo wako. Kwa hiyo, huo uozo wako wote uliyo orodhesha hapo unastahili adhabu ya kifo? Kwani Tanzania ipo vitani hadi raia wake wauwawe kwa kumkamata mtu na silaha za kivita mchana kweupe kabisa.....tena wamejitambulisha kuwa wao ni police? Huo upumbavu wako peleka kwa wenzio wasiojulikana hukooo!!
Ni HAKI kikatiba kabisa,Kwani maandamano si haki ya kikatiba na msingi wa falsafa ya 4R?
Atamtosa tu au achague waanguke wote.Saa 100 yuko radhi kutumia nguvu kuwakabili watanganyika kisa tu kumlinda mzenji mwenziye 'bichwa tofa' kujiuzulu
Amin, ubarikiwe piaKaka mungu akubariki pia. An army of goats lead by lion will never loose against an army of lions lead by a warthog. We need revolution, connections zinazidi kutuangusha kama taifa. Ila it's too sad hili halina mwarobaini utakaotupa short term results. Ila these movements, are an onset of a great revolution against black colonialism