Kipi rahisi kati ya kuzuia maandamano na kumwajibisha IGP, Waziri Masauni?

Niamini Mimi unazeeka vibaya,

Hao askari walioajiriwa, ni kaka na dada zetu, ndugu zetu kabisa,

Kuwaamrisha wawaumize ndugu zao wasio na hatia,

Uwe na HAKIKA wataasi hiyo amri na kuungana na raia WEMA.

Mchezo wa siasa uchezwe ndani ya ulingo wa siasa Si vinginevyo.

Tusubiri.
 
Muheahimiwa, wafute KAZI hao viongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…