Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mdau alisemaga hiviHawezi kukunyima bila sababu.
Dah nmecheka sana mkuuu.K zenyewe za kupaka mate zinapatika wapi?Kuna mdau alisema baadhi yenu mkipanua mpaka moyo unaonekana.
Hayajakukuta wanawake wngine kauzu sana basi tu wanaume tuumbwa matesoMkeo atakunyimaje k asee?
Wapi hapo nope connectionMkuu ingia kwenye Badoo utakula kuanzia wamama, wadada na watu wazima 40+
Na wanawake wanaosababisha sisi kutokuingia hiyo mbingu je?Mbingu mtaisikia kwenye maspika ya kanisani
Hahahahahahahah dahK zenyewe za kupaka mate zinapatika wapi?Kuna mdau alisema baadhi yenu mkipanua mpaka moyo unaonekana.
wanawake mpunguze ubinafsi kidogo Zesh.Anataka kubembelezwa jamani, mvute mikononi mwako mkiss, kisha mwambie unampenda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] domo litarudi kwenye size yake
Yaani mimi unyumba na mtu anaeninyanyasa nao wakati naweza napata pu**y tani yangu mtaani bora usiwepo tu.(maana kama ni mapenzi alipaswa kuona jitihada nilizofanya kutengeneza hata kama nilikosea,au la aamue kuwa sasa tunaachana which is good).Basi potezea kabisa kuhusu unyumba,usimuombe Wala nini mapaka ajishtukie
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Katafute mchepuko yakukute ya babu mwitore.
Huwezi nyimwa unyumba bila sababu. Kaongee na mkeo vyema.
Either mgonjwa, depressed ama kuna mambo unamfanyia si sawa. Kaomgee nae poa. Michepuko itakugharimu
Mkuu unakosea kumjaji mwanamke kwa mwenendo huo, hawa watu ni kuishi nao kwa akili tu kwanza tambua hormones zao hushuka na kupoteza hamu ya kufanya hilo tendo, kwahiyo ni swala la mtambuka tu, hata mwanamke akishajifungua huwa inakua hivyo ni jambo la kibiology kabisa na sio wanafanya makusudi,Daah, yaani mke wangu mwenyewe kakubali yeye mwenyewe kuolewa nami akiwa na akili zake timamu, majukumu yake Kama mke wa mtu anayajua haki za ndoa anazijua alafu leo nifanye kazi ya kumtongoza upya kila siku yani mimi kila siku nifanye kazi ya kutongoza tu!!!?
Yaani nitoke kazini nimechoka niko ovyo kichwani kwa stress za kazi na mizinguo ya awamu ya 5 alafu nifike nyumbani nianze kazi nyingine ya kutongoza mke wangu wa ndoa!!?
Nasemajee kazi hiyo sifanyi we Kama unahisi huo uchi ndio silaha ya kunikomoa kisa tu unajua kuwa tukilala kwa bedi lazima tu mi Kama mwanaume nitakuwa na uhitaji basi ndo utumie nafasi hiyo kunikomesha, jua kwamba sijakuoa ili uje kunikomesha na kunitesa kihisia kwenye nyumba yangu mwenyewe.
We Kama una tatizo na mimi liseme tulimalize na sio huo upuuzi wa kuniwekea mgomo ukifanya hivyo tayari ushakosa sifa za kuwa mke wa mtu na hustahili kukaa na mume tena.
Mimi ukifanye hivo ujue kabisa tunaachana asubuhi tu mapema yani, sihangaiki kutafuta mchepuko wala nini nakuacha naoa mwingine usifikiri we ndo una uchi tu peke yako dunia nzima heboo!!!
Mkuu, yaani mke wangu kabisa hizo pesa za kukupeleka kwenye mahoteli huko eti kisa hutaki kunipa unyumba si ni bora nikampe mjomba wangu huko akafanye biashara ya kuku mara kumi.
Yani nitumie gharama zote hizo kisa mke wa ndoa kagoma kutoa utamu aah waapii!! Sifanyi hicho kitu ng'o.
Akisubutu kunifanyia hivo wallah atavuna anacho kipanda.
Wewe [emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo unataka ufike akupanulie uingize tu si ndio? Nyie ndo mnatumia mate kulainisha k za wake zenu
Siku zote mwanamke wako akiwa anakunyima unyumba ujue Kuna sehemu analiwa.Wanajamvi habari za mda huu, kumekuwa na ongezeko kubwa la migogoro ya ndoa inayosababishwa na unyumba.
Je kipi unatakiwa kufanya endapo mkeo akikunyima unyumba, tena ukimuomba ni vita sio vita ya kitoto na ukimlazimisha sana utaona anapiga kelele kama vile anabakwa.
Wewe [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo mwanamke ni mpumbavu, mtu anakubembeleza siku zote unavunga huo ni upuuzi, jambo gani lisiloisha... Mwanaume akomae hapohapo ili hilo janamke lenye gubu lipate fundishowanawake mpunguze ubinafsi kidogo Zesh.
Kuna mdogo wako alibembelezwa for three days bado kanuna tu,alipojaribu kushikwa kajitoa kwa nguvu kamjeruhi jamaa mkono vizuri tu na chupa iliopasuka.Jamaa akaamua kukaa kimya na kutouliza chochote hata chakula(maana siku ya pili toka ugomvi alipofika home alikuta hakujapikwa kaenda kununua msosi wake na mkewe)now akirudi anakua kala mtaani na kambebea na yeye,anadai anasalimia tu na kuingia kulala.ananunua nguo tu anaweka kwenye buti anavaa lodge dada kaja home kushtaki,jamaa anasema yeye hana shida na mkewe na wako poa tu.Hii ndoa sidhani kama ipo tena maana jamaa anasema hana hisia tena na dada kama mke so dada aamue.
Unanitia stimu eboooo, huyo jamaa anaekutia mate ili achomeke ni fala[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Eeeh sasa kumbe nini