Kipigo cha leoTayari Netanyahu katoa mlio

Kipigo cha leoTayari Netanyahu katoa mlio

🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Baada ya Israel kupata kipigo cha Paka mwizi na Waziri wa Ulinzi amekoswa kulambishwa mchanga na drone za Hezbollah sasa Netanyahu katoa mlio wa uwoga😂 kua anataka kuanzisha vita na Hezibollah

⚠️BREAKING NEWS⚠️

Israeli PM natanyahu:

This is right time to punish Hezbollah. We will not bear more damage . We will soon start military operations against Hezbollah
Mbali na ushabiki Hezbollah na Hamas hawaui watu wengi kama Israel. Sasa hai Hezbollah hawaoni kama watapoteza watu wengi sana ktk vita ambayo Israel anaingia na washirika walio wabaje ktk vita na bajeti zao za jeshi ni kubwa?
Naomba kufahamishwa sababu ya Lebanon kuingia vita Sasa hivi na Israel?
 
Mbali na ushabiki Hezbollah na Hamas hawaui watu wengi kama Israel. Sasa hai Hezbollah hawaoni kama watapoteza watu wengi sana ktk vita ambayo Israel anaingia na washirika walio wabaje ktk vita na bajeti zao za jeshi ni kubwa?
Naomba kufahamishwa sababu ya Lebanon kuingia vita Sasa hivi na Israel?
Ussr wakati wanapambana na hitler inasemekana walikufa kama watu 20M
Kufa sio kuzuri ila kuna muda haki haiji bila vifo kutokea
 
Israhell ya kwenye media inatisha kuliko hii ya paka
Google wako tayari kuweka taarifa za Papa amebariki ushoga lakini kila habari ya israeli kula kichapo wanaifinyia haraka sana, kuna kikosi kazi na bots zimewekwa kufuta hizo taarifa
Ndio yaliyotokea Afghanistan, mpaka wajeda wa Taliban wamefika Kabul ndio waiambia dunia magaidi wanaichukua Afghanistani, miaka yote wanajeshi wa US walikuwa wanakula vichapo huko miliman walizifunika, ilikuwa aibu sana
 
Netanyahu kumbe yupo, mbona siku hizi simsikii sana sana?
Last time alikuwa hewani analilialia kama mtoto apewe silaha na bwana wake , maana bideni maji ya shingo anaogopa kuwekewa arrest warrant akistaafu.


 
Israel kwa sasa ina wakati mgumu kwa Hizbullah.

Mashambulizi aliyofanya leo Hizbullah ni makubwa. Laiti wangelikuwa tia maji Israel kwa hulka yake kitambo angetangaza vita rasmi.
Vita na hizbullah ni mtego mkubwa kwa israel,nchi za kiarabu zitapeleka wanamgambo wengi,upande wa hizbullah ili kulipa kisasi cha israel ilichofanya gaza.
Ingawa vita itakuwa kubwa na kali sana,mwisho wa siku israel atashinda,na huenda lebanon ikakaliwa baadhi ya maeneo kinguvu..
 
Bado nataka sababu kubwa ya Lebanon kuingia vitani na Israel kwa Sasa
1.Kitendo cha israel kuua wapalestina kiasi kile kimewauma sana waarabu,hii ni mlango wa nyuma kulipa kisasi.
2.Kitendo cha US kumpa ukraine silaha nzito aipige russia,nae russia amewapa waasi wengi wa US,hizbullah,yemen,iraq fighters,silaha nzito ili biden awe bize na vita,ashindwe uchaguzi na Trump..
,,ni maoni yangu tu,,
 
Trump hana kauli kwa mazayuni.

Mazayuni dawa yao ni kichapo tu popote walipo.

Mazayuni wa Saudi Arabia Emirati, Kuwait, Jordan na Egypt wakitandikwa viongozi wao au uchumi wao, Palestine itajikomboa haraka sana.
Hii nimeipenda,israeli anapata kipondo,wapalestina wanalia kilio cha mbwa koko.
 
Hezbullah itaangamizwa, wakubwa wa dunia hii hawawezi kuiacha Israel idhalilike
 
Back
Top Bottom