James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Mbali na ushabiki Hezbollah na Hamas hawaui watu wengi kama Israel. Sasa hai Hezbollah hawaoni kama watapoteza watu wengi sana ktk vita ambayo Israel anaingia na washirika walio wabaje ktk vita na bajeti zao za jeshi ni kubwa?🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Baada ya Israel kupata kipigo cha Paka mwizi na Waziri wa Ulinzi amekoswa kulambishwa mchanga na drone za Hezbollah sasa Netanyahu katoa mlio wa uwoga😂 kua anataka kuanzisha vita na Hezibollah
⚠️BREAKING NEWS⚠️
Israeli PM natanyahu:
This is right time to punish Hezbollah. We will not bear more damage . We will soon start military operations against Hezbollah
Naomba kufahamishwa sababu ya Lebanon kuingia vita Sasa hivi na Israel?