Kipigo cha mbwa mwizi Chaiondoa Kenya AFCON 2019

Kipigo cha mbwa mwizi Chaiondoa Kenya AFCON 2019

Aombee...Cameroon atamfunga Benin kwa ninavyoona.

Mziki utakiwa Angola na Mali...inaweza kiwa sare.
By the way, Kenya anatakiwa aombee mechi zote mbili zinazohusisha #2,3 au 4 watoke sare. Bila hivo Kenya OUT
 
Hii group Tz wametoka na points ngapi?
Tz hata point hawana, lakini pia linaonekana ni kundi lililokuwa na underdogs. Kenya licha ya kupata ushindi dhidi ya Tz nae anaondoka
 
By the way, Kenya anatakiwa aombee mechi zote mbili zinazohusisha #2,3 au 4 watoke sare. Bila hivo Kenya OUT
Sijaelewa hapo maelezo yako.

Ipo hivi.

Kenya ni nafasi ya nne sasa kwenye mshindi wa tatu.

Lakini Benin anapoint mbili na Angola anapoint mbili.

Benin atacheza na Cameroon.

Angola atacheza na Mali.

Hizi mechi mbili zikiisha kwa Benin na Angola kufungwa Kenya amepita.

Lakini hizi mechi mbili moja ikatoka draw Kenya hayupo...atatolewa na timu iliyotoa draw kwa idadi ya magoli ya kufungwa.

...got it?
 
Until tomorrow's games. Anyway Mimi bora Kenya is ahead of Tanzania as always.
Tz hata point hawana, lakini pia linaonekana ni kundi lililokuwa na underdogs. Kenya licha ya kupata ushindi dhidi ya Tz nae anaondoka
 
Tz hata point hawana, lakini pia linaonekana ni kundi lililokuwa na underdogs. Kenya licha ya kupata ushindi dhidi ya Tz nae anaondoka
Cha muhumi ni sisi sote we have a long way to go lakini nyinyi mwapenda kupanga’nga sana mpira hauchezwi na mdomo na kama ingekuwa mdomo mwajua nyinyi mngeshinda world cup.
 
Sijaelewa hapo maelezo yako.

Ipo hivi.

Kenya ni nafasi ya nne sasa kwenye mshindi wa tatu.

Lakini Benin anapoint mbili na Angola anapoint mbili.

Benin atacheza na Cameroon.

Angola atacheza na Mali.

Hizi mechi mbili zikiisha kwa Benin na Angola kufungwa Kenya amepita.

Lakini hizi mechi mbili moja ikatoka draw Kenya hayupo...atatolewa na timu iliyotoa draw kwa idadi ya magoli ya kufungwa.

...got it?
huyo chizi hajaelewa itabidi umwongeleshe kama mtoto ili ashikanishe namba. #lostcause
 
Sijaelewa hapo maelezo yako.

Ipo hivi.

Kenya ni nafasi ya nne sasa kwenye mshindi wa tatu.

Lakini Benin anapoint mbili na Angola anapoint mbili.

Benin atacheza na Cameroon.

Angola atacheza na Mali.

Hizi mechi mbili zikiisha kwa Benin na Angola kufungwa Kenya amepita.

Lakini hizi mechi mbili moja ikatoka draw Kenya hayupo...atatolewa na timu iliyotoa draw kwa idadi ya magoli ya kufungwa.

...got it?
Uko sahihi mia mia
 
Kutokana na hali halisi kuwa timu nne ambazo ni namba tatu zitasonga mbele hatua ya mtoano ktk 16bora, timu ya Kenya Harambee stars kwa jinsi ilivyochakazwa na Senegal 3-0 imeifanya timu ya Kenya kuwa na goal difference (-ve4) ambayo ni mbaya sana kimsimamo.Ma

#3 Kundi A.
DRC Pts:3 Gd: 0
#3 Kundi B.
Guinea Pts:3 Gd: 1
#3 Kundi C.
Kenya Pts: 3 Gd: -4
#3 Kundi D.
SouthAfrica Pts: 3 Gd: -1
............................................

Kwa msimamo huo hapo juu, ili kenya ifuzu inabidi timu zote za kesho zitoke sare au suruhu, ikitokea timu zimefungana na moja kuibuka mshindi basi Harambee Stars itafungasha virago pia.
Nyinyi Kwanza mpande ndege sahii usiku ju hamna shugli ingine Egypt [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sahii tarehe ngapi za game kwanza kesho zinatoa maamuzi mrudi Kariobandi na Makadara
Mwajua sehumu nyingi za Kenya lakini siwezi kusema hivo kutuhusu. Hivyo ndivyo wajua ya kwamba wakenya wamewakaza akili.
 
Endelea kutaja sehemu mbali mbali za kenya wacha niingie google kidogo kaa hapo mtoto wa mateja.
Tehetehetehe unafikiri natumia Google, mwenzio napafahamu mpaka mlipofugia Alshaba-- E3--
 
Back
Top Bottom