Kipigo kimenyong'onyea: Zelensky aililia China isaidie kumaliza vita yake na Urusi

Kipigo kimenyong'onyea: Zelensky aililia China isaidie kumaliza vita yake na Urusi

Hiyo habar umeielewa we pro Russia maana umepata kashimo kadogo tuu unataka kutokea hapo,zelesky alimwambiaga tangu kitambo ,lakin China haikujibu maanake ,karata inayochezwa hapo ni kuiunganisha China na Russia wako kitu ,kimoja,maana hata tukio la Nancy kutua Taiwan ni Russia peke. yake aliyelaan hilo tukio,hivyo wanawekwa kwenye kapu moja la nchi zisizojali Uhuru na democracy ,za nchi nyingine.Kwa taarifa yako vita bado sana hii wako wanajeshi 10000 wa Ukraine wanapokea mafunzo ya kikomsndo UK, wengine 2000 wanchukua mafunzo ya kurusha ndege za kisasa,kinachofanyika sasa hivi ni kumchelewesha Russian Angie kwenye mstar mwekundu ndipo uajua kwa nini sadamu alikiri marekani haishindwa kwa vita Bali siasa pekee ndio inaweza angamiza marekani,Russia kapelekewa himas 12 zimempiga pini hasogei amebaki kulalamika marekani kaingia direct,tulien mtanyooka mwaka huu
Aisee nilivyoangalia hiyo profile pict.yako yuko nape..nimekutusi mno..tena mno..na ulichokiandika hapa ndo uharoo kabisa wa kobe...ebu kakojoe ukalale shwain weyee
 
Zile tambo za Zelensky kwamba hataki mazungumzo na Putin kwa kuwa atamshinda kwenye uwanja wa vita naona zimeishiwa pumzi. Kipigo anachokipata kila siku si cha kitoto. Bahasha ya makombora anayopewa ndani ya saa 24 hayapungui makombora 6,500!!

Kwa sasa Zelensky anaibembeleza China isaidie kumshawishi Putin kufikia suluhisho la amani. Source: Aljazeera.

Zelenskyy urges China’s Xi to help end Russia’s war in Ukraine
Ukraine’s President Volodymyr Zelenskyy has appealed for direct talks with China’s Xi Jinping as he urged Beijing to use its political and economic influence on Russia to help end the war in his country.

Ukiona hivyo ujue maji yameshazidi unga, ukitilia maanani jinsi Zelensky alivyokuwa akitamba huku akivimbishwa kichwa na nchi za Magharibi!!
"zelensiki" ni karimu mandonga aliyechangamka. maneno mengi ya tambo,halafu uwanja wa vita anacheza kichapo sio cha kawaida.
 
Zile tambo za Zelensky kwamba hataki mazungumzo na Putin kwa kuwa atamshinda kwenye uwanja wa vita naona zimeishiwa pumzi. Kipigo anachokipata kila siku si cha kitoto. Bahasha ya makombora anayopewa ndani ya saa 24 hayapungui makombora 6,500!!

Kwa sasa Zelensky anaibembeleza China isaidie kumshawishi Putin kufikia suluhisho la amani. Source: Aljazeera.

Zelenskyy urges China’s Xi to help end Russia’s war in Ukraine
Ukraine’s President Volodymyr Zelenskyy has appealed for direct talks with China’s Xi Jinping as he urged Beijing to use its political and economic influence on Russia to help end the war in his country.

Ukiona hivyo ujue maji yameshazidi unga, ukitilia maanani jinsi Zelensky alivyokuwa akitamba huku akivimbishwa kichwa na nchi za Magharibi!!
kwan nan alimvamia mwenzie ?
 
Zelensky alikuwa anaweza kutumia hizi busara toka day 1.
Its too late, na kimahesabu amejua hatoboi.
nan alimvamia mwenzie ? je si alivizia ? maana alipotuhumiwa alisema anafanya mazoez , ss ulitaka Zelewinsky afanye nn kweny uvamiz wa kustukiza ?
 
Ushauri wangu Urusi hisikubali kusikiliza ngonjera za Zelensky na wapambe wake, Urusi ifanye hima kwa kuhakikisha Zelensky na Serikali yake wanaondolewa madarakani unceremoniously na yeye akamatwe live na kuburuzwa kwenye war crime tribunal ajibu mashtaka ya kuua raia 14,000 kwenye majimbo ya mashariki mwa Ukraine ambayo wakazi wake wengi wana asili ya Urusi - Bravo Tzar Putin, watu wote wapenda amani Duniani tupo pamoja nawe katika harakati zako za kupambana na mataifa dhalimu ya kinyonyaji na uonezi,kujifanya wana hati miliki ya Dunia nzima ni kero kweli kweli-wakishindwa njama zao huko Ukraine ntafurahi kupindukia.
Yaan mvamiz amshitak aliyevamiwa ? hv hz bangi mnavutia wap ?
 
Mkuu, nakupa mwenzi mmoja rudi hapa jamvini utupatie mrejesho kuhusu jeshi la Ukraine kama liko in one piece au limekwisha sabaratishwa na artillery za 24X7 za Urusi, bombers, jet fighers na Navy - Zelensky hasijidanganye awezi kutunia misuli a military super power, Urusi ilikuwa inamstahi sana Zelensky kwa kumpiga kindugu ndugu, sasa Putin ame-decide kumugeuzia kibao Zelensky na Serikali yake hivyo yeye itakuwa vigumu kuendelea kubaki madarakani.
kwahyo miez 6 ni michache sana ?
 
nan alimvamia mwenzie ? je si alivizia ? maana alipotuhumiwa alisema anafanya mazoez , ss ulitaka Zelewinsky afanye nn kweny uvamiz wa kustukiza ?
Ukraine ilijitia kichwa ngumu kutaka ku join NATO.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Silaha kama HIMARS haiwezi kuwa jibu wala kuwa effective kwa taifa kama Russia.

Ukraine itaumia tu, Yaani Russia nchi ya kwanza duniani kufika mwezini, nchi ya kwanza kurusha satellite 1953 eti leo hii lori lililobeba vi mizinga liwe tishio kwao [emoji23][emoji23][emoji23]

Ushabiki na propaganda zingine hazina maaa.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Una Mwana sheria !?
 
Zile tambo za Zelensky kwamba hataki mazungumzo na Putin kwa kuwa atamshinda kwenye uwanja wa vita naona zimeishiwa pumzi. Kipigo anachokipata kila siku si cha kitoto. Bahasha ya makombora anayopewa ndani ya saa 24 hayapungui makombora 6,500!!

Kwa sasa Zelensky anaibembeleza China isaidie kumshawishi Putin kufikia suluhisho la amani. Source: Aljazeera.

Zelenskyy urges China’s Xi to help end Russia’s war in Ukraine
Ukraine’s President Volodymyr Zelenskyy has appealed for direct talks with China’s Xi Jinping as he urged Beijing to use its political and economic influence on Russia to help end the war in his country.

Ukiona hivyo ujue maji yameshazidi unga, ukitilia maanani jinsi Zelensky alivyokuwa akitamba huku akivimbishwa kichwa na nchi za Magharibi!!
Jamani tuna HIMARS
 
Ushauri wangu Urusi hisikubali kusikiliza ngonjera za Zelensky na wapambe wake, Urusi ifanye hima kwa kuhakikisha Zelensky na Serikali yake wanaondolewa madarakani unceremoniously na yeye akamatwe live na kuburuzwa kwenye war crime tribunal ajibu mashtaka ya kuua raia 14,000 kwenye majimbo ya mashariki mwa Ukraine ambayo wakazi wake wengi wana asili ya Urusi - Bravo Tzar Putin, watu wote wapenda amani Duniani tupo pamoja nawe katika harakati zako za kupambana na mataifa dhalimu ya kinyonyaji na uonezi,kujifanya wana hati miliki ya Dunia nzima ni kero kweli kweli-wakishindwa njama zao huko Ukraine ntafurahi kupindukia.
Kifuatacho ITV ni Poland
 
Pro Russia mkiletewa habari mna ruka nayo tu bila hata kufikiria, Russia wamepigwa kamba hawasongi mbele,
Russia tukisema hana akili ujue hana uwezo wa kufikiri unarusha makombora 6400 na hata hayalengi target lakini mwenzake anatumia HIMARS anarusha hata 1000 yote ni target nani mwenye hasara.

Russia kapaniki anajirushia rushia makombora tu, mpaka achoke achakae wenzake wataongeza nguvu na siraha za maana.
Kama hivi ndio ingekuwa ndivyo basi Russia na Putin yake ndio waliopaswa kuomba mazungumzo na Ukraine/zelensky so Inakuwaje wanaopigwa ndio wanao ombwa kufanya mazungumzo

Una akili timamu kweli!?

[emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom