wewe ndiye una akili finyu sana. Read between lines! Kila mmoja anasema Bashiru yuko sahihi by 1,000,000% lakini ni mnafiki! Yeye alimtukuza Magufuli kuliko hata Mungu wa Mbinguni. Leo anasema wakulima wasiwasifu watawala. Nadhani umeelewa watu wanachopinga. Bashiru ni mnafiki , katili, roho mbaya, muuaji, mtekaji al all filths! leo eti anawaonea hurma wakulima.
Once a traitor, always a traitor. It only takes true repentance and a turn -around to regain public Trust!by Shangazi Maria sarungi (Hiki ndicho watu wanachosema)
SIO Leo Hata wakati Wa Magufuli Bashiru ALIKUA na kauli za kimapinduzi.
Hajasema wakulima wasimsifie mama .
Watanzania Akili ni NDOGO sana Mpaka wenye Karatasi za elimu ya Juu nao ni Wa ajabu.
Bashiru amezungumza na ule umoja Wa kutetea maslahi ya Wakulima kuwa wakigeuka kuwa wanasiafia Kila kitu hawatawatetea wakulima Bali watatekwa na Wanasiasa.
Ni kweli Hata vyama vya wafanyakazi vilipoanza kujiingiza kwenye kusifia vilipoteza dirá . Au chama Cha Walimu kimekua ni Tawi la CCM na watawala Kwa AJILI ya kutafuta Teuzi. Lengo la kuundwa limepotea.
Chama cha wakulima ndicho alichokitaka kama kuna tatizo wasimamie Haki za wakulima SIO kusifia Kila kitu badala ya kusimama na watawala .
Ukweli ubaki kuwa ukweli. Bashiru ndio waliochagiza sana mpaka Katiba mpya ikaundiwa tume ya Warioba.
Lakini pia ni watu wangapi wanakufa kutokana na kukosa huduma hospitalini na madawa yanaibiwa.? Ni watu wangapi wanakufa kutokana na mauaji yaliyopo Kutokana na msongo Wa Mawazo na ugumu Wa maisha HUKU Mikopo ikiongezeka na tozo kuwalemea wananchi?
Ni Biashara ngapi zinakufa za watu wadogo wanaotegemea umeme?
Upigaji huu unaendelea ni mbaya kuliko kukataza mikutano ya kisiasa.
Watu wamebaki kumshambulia Bashiru kama vile ameanza kuongea leo?
Magufuli amefanya mambo MAKUBWA sana. Hakuna Rais atafanya mambo MAKUBWA Wa Yale Kwa muda mfupi.
Miradi mingi Hata ubora umepungua sana ukilinganisha na wakati Wa JPM.
Hili halina ubishi. Serikali ya awamu hii inasifiwa BILA matokeo yanayoonekana Kwa wazi. Haina mikakati mana imeweka watu wasio na uchungu na nchi.
Watanzania Kwa kumuenzi Magufuli 2025 inyeshe mvua au jua Wahuni wasipate nafsi mana wanaliangamiza Taifa. Hata Chaguzi za CCM zinazoendelea zimejawa Na Rushwa. Watu wanamapesa kwenye mabegi ya kuhonga wajumbe. Wanataka Nini kama SIO kurudi kwenye Viti na kupora Mali za umma.
Kigwangala ,Kibajaji,Musukuma, n.k. Hata ukiwangalia machonu HAWANA chembe ya utu Wala uadilifu. Ni Wezi kama Wezi wengine. Bashiru ni Msema kweli. Na Mungu atamlinda. Kigwangala Hata yeye wakazi Magu alipanda na kushuka na kubaki akipiga vijembe Sasa anafikiri kuwa anaweza kuteuliwa na mama Kwa kumshambulia Bashiru. Bashiru ni Msafi sio Hao wahuni wengine.
Tumemwelewa Bashiru na tunajua kundi la Wezi linahofia watu waadilifu