Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,987
- 5,566
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii imeeeendaaa...Kuna kipindi huwa sina akili kabisa. Hadi huwa naomba mtu anisaidie kuweka chumvi kwenye chakula maana nikiweka mimi😂😂😂😂. Na mtu akiweka mimi niki taste naona hakina chumvi kabisa ni lazima niongeze tena kwenye sahani.
Ila kuna kipindi akili zinarudi naanza kupata ladha ya chumvi bila kuzidisha.
Acha tu. Mtuvumilie maana wakati mwingine hatupendi kutokuwa na akili sema ma homoni haya yanatuvurugaHii imeeeendaaa...
Hiii imeeendaaaaaaaa...
Hii Haina akili kbs 😁😁
Spinach ile si ya kupika dk1 tu. Maana yanavyojuaga kurendemkaMboga za majani tunazotumia matembele, kisamvu na majani ya maboga (Nimepanda)
Mchicha na Spinach (Tunanunua)
Naivisha ila sio sanaa, matembele na kisamvu lazima niivishe sana ili zilike tofauti na hizo mboga nyingine
Sema akili haina definition ya Moja Kwa moja mwingine ana akili za kulea, mwngn mapishi, mwingine biashara mwingine kujenga uhusiano mzuri na majirani mwingine za 6×6 mwingine kila sehemu yupo partialAcha tu. Mtuvumilie maana wakati mwingine hatupendi kutokuwa na akili sema ma homoni haya yanatuvuruga
Lipia TANGAZONdio maana nikiwaga zangu mjini daslamu nakulaga zangu pale AL URUBA HOTEL kwa wasomali. Chakula safi kabisa. Big up sana wasomali kwa umakini wenu kwenye mapishi.
Sasa mimi ninazo akili za hizo namba ulizoandika hapo😂😂😂Sema akili haina definition ya Moja Kwa moja mwingine ana akili za kulea, mwngn mapishi, mwingine biashara mwingine kujenga uhusiano mzuri na majirani mwingine za 6×6 mwingine kila sehemu yupo partial
Dalili zinaonyesha kuna uongo mkubwa sana hapa kwenye bandiko lako, ila kwa sababu kila mtu anatakiwa kuheshimiwa kwa mawazo yake basi ni sawaUr a wife/ mother material . Mimi nikilaga chakula cha mwanamke halafu nikakuta kina chumvi nyingi basi kitu cha kwanza kabisa ambacho huwaga Nina kuwa na uhakika nacho kuhusu mwanamke huyo ni kwamba ana NONGO( weusi kati kati ya mapaja/ dark under thighs) kwa sababu ni mwanamke asie na akili tu ndio anaweza kuruhusu kuwa na Nongo na mwanamke anae jaza chumvi hana akili kabisa.
Mikwara tu😁ikipigwa matrix two by two one for the shingo two for the finga unazimia.....lkn mbele ya keyboards sasaSasa mimi ninazo akili za hizo namba ulizoandika hapo😂😂😂
Kwani kala kifungo kwenye Ile ID yake pendwa?Bwana jela nakusalimia,naunga mkono hoja.
Weusi wa katikati ya mapaja una mahusiano gani na kuweka chumvi nyingi kwenye mboga ?Ur a wife/ mother material . Mimi nikilaga chakula cha mwanamke halafu nikakuta kina chumvi nyingi basi kitu cha kwanza kabisa ambacho huwaga Nina kuwa na uhakika nacho kuhusu mwanamke huyo ni kwamba ana NONGO( weusi kati kati ya mapaja/ dark under thighs) kwa sababu ni mwanamke asie na akili tu ndio anaweza kuruhusu kuwa na Nongo na mwanamke anae jaza chumvi hana akili kabisa.
Hahahahah mimi bingwa wa mathe wewe. Hizo namba hazijawahi kunisumbua kabisa yaani. Yaani mpaka mtoto wa mtu achague kukimbia ama amwage hadi ubongo.Mikwara tu😁ikipigwa matrix two by two one for the shingo two for the finga unazimia.....lkn mbele ya keyboards sasa
Huu ni ugonjwa wa addiction tu, matumizi ya chumvi kwenye chakula unaweza kuyastop kabisa, yaani usiweke chumvi kabisa kwenye chakula na ukazoea ivyoo.Vipi kuhusu wale ambao kiasilia hawawisi Chumvi kimaumbile mpaka iwe nyingi, yaan ndio kilema chao?
🤣🤣🤣🤣Hahahahah mimi bingwa wa mathe wewe. Hizo namba hazijawahi kunisumbua kabisa yaani. Yaani mpaka mtoto wa mtu achague kukimbia ama amwage hadi ubongo.
mwanamke ukiwa na weusi katikati ya mapaja tafsiri yake ni kwamba wewe huna akili kwa sababu wewe ni mchafu. Usafi ndio kipimo cha akili ndio maana wendawazimu wanakula jalalani...Weusi wa katikati ya mapaja una mahusiano gani na kuweka chumvi nyingi kwenye mboga ?
Wataje majina yao mkuu ili tuwe na uhakika kwamba ur not talking about ghostsAndiko lako kwa kiasi fulani halina uhalisia,,, na haliwezi kuwa kipimo cha kujua akili ya mwanamke
Vipi kuhusu wale ambao uwezo wao au upatikanaji wa vyombo vya udongo ni shida?
Vipi kuhusu wale ambao kiasilia hawawisi Chumvi kimaumbile mpaka iwe nyingi, yaan ndio kilema chao?
Unaenda kula kiepe ng'ombeChumvi na mafuta naweka kwa mbali, mboga za majani siivishi sana
Mama angu hapendi anasema sijui kupika mboga, mume wangu atapata shida eti
Akiwa home anapenda kupika mwenyewe
Anajaza mafuta kwenye mchuzi na mimi nakeleka sili!