Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa what a small world. Kweli wewe ni bingwa wa mapishi. Salimia boysNa umanyema wangu Kigoma napika 😂😂😂 Kanione Instagram nainai_scrumpitious_meals wanyamwezi wanaweza nsansa matobolwa kisamvu cha karanga
Kumbe dada ephen wewe bado ka binti kabichi jamani!Chumvi na mafuta naweka kwa mbali, mboga za majani siivishi sana
Mama angu hapendi anasema sijui kupika mboga, mume wangu atapata shida eti
Akiwa home anapenda kupika mwenyewe
Anajaza mafuta kwenye mchuzi na mimi nakeleka sili!
Yeah! Bado nipo early 20 mkuu!Kumbe dada ephen wewe bado ka binti kabichi jamani!
Mmmh kweli? Huku huwa ni nadra sn kumpata binti wa 20s.Bado nipo early 20 mkuu!
Kweli mkuu!Mmmh kweli? Huku huwa ni nadra sn kumpata binti wa 20s.
Sidhani, walio wengi ni wadada watu wazima.Kwahiyo hapo upo kwa mama ephen?Kweli mkuu!
Itakua wapo sema huwezi jua umri wa kila mmoja humu.
Ndio mkuuSidhani, walio wengi ni wadada watu wazima.Kwahiyo hapo upo kwa mama ephen?
Haya hongera,msalimu mama mkwe (mama ephen)Ndio mkuu
Nafkir hujamuelewa prof LIKUD , Yeye amezungumzia kuyapiga mapishi kwa ubora, Coz unaweza ukawa unajua kupiga lakini kutokana kukosa akili ukafanya mistake ndogo ndogo zinazoweza kugharimu maisha ya watu, mfano kuna baadhi ya wapishi, hususani kwa mama ntilie huwa wanaweka vyakula vya moto kwenye vyombo vya plasticOpposite is true. Mwanamke anayejikita Sana kwenye kubobea kwenye mapishi akili yake hata Kijiko Cha chai haijai. Sanasana anachojia ni kwenda kwa waganga kutafuta malimbwata ili uone utamu unanoga. Mwanamke asiyemjuzi Sana wa kupika ni wife material ,anapenda maendeleo ya watoto na mme wake na ni mcha mungu
Hahahaaa what a small world. Kweli wewe ni bingwa wa mapishi. Salimia boys
Huyo wa 6×6 nilimpenda hadi nikawa nashitukia kuwa ananiroga!Sema akili haina definition ya Moja Kwa moja mwingine ana akili za kulea, mwngn mapishi, mwingine biashara mwingine kujenga uhusiano mzuri na majirani mwingine za 6×6 mwingine kila sehemu yupo partial
Muelimishe zaidiChumvi na mafuta naweka kwa mbali, mboga za majani siivishi sana
Mama angu hapendi anasema sijui kupika mboga, mume wangu atapata shida eti
Akiwa home anapenda kupika mwenyewe
Anajaza mafuta kwenye mchuzi na mimi nakeleka sili!
Wengi tu wanaopanda mboga zao wenyewe kwenye bustani zao bado wanaziivisha kama uji, Waswahili bado sana kwenye suala la mapishi ya afya.Hizo mboga ambazo huivishi umepanda mwenyewe kwenye bustani yako?
Akili ya chakula bora/mlo bora na mapishi ya kiafya ni ya msingi kabisa tofauti na hayo mambo mengine.Sema akili haina definition ya Moja Kwa moja mwingine ana akili za kulea, mwngn mapishi, mwingine biashara mwingine kujenga uhusiano mzuri na majirani mwingine za 6×6 mwingine kila sehemu yupo partial
Yawezekana mtoa hoja ana jambo la msingiAkili ya chakula ni ya msingi kabisa,