Kipindi cha Hayati Magufuli ufisadi ulikuwa wa kutisha ila bahati yake tu alizima Vyombo vya Habari kumulika Ufisadi huo

Kipindi cha Hayati Magufuli ufisadi ulikuwa wa kutisha ila bahati yake tu alizima Vyombo vya Habari kumulika Ufisadi huo

Hebu angalia watu kama akina mpina wanadhulumi ardhi waziwazi halafu waandishi wanazuiwa kuhoji chochote na ukihiji unapotezwa. Leo wananchi wameandamana kwamba walidhulumiwa enzi ja jpm.

Makonda ameliza wengi ikiwemo clouds. Leo hii anamiliki manumba na apartments kibao huko madale na amepangisha wazungu ( pale karibu na kituo Cha polisi jirani na mother of mercy schools).

Sabaha katoboa watu macho na masikio n kudhululumu Mali za mabank na watu binafsi.

Pesa na plea bargain zimetoroshwa china.

Ila jpm alichokiweza ni kuwafanya watu wamuogope ndo mana ilionekana kwa laymen kwamba ni mwamba.
Uko Sawa kichwani kweli???
 
Hebu angalia watu kama akina mpina wanadhulumi ardhi waziwazi halafu waandishi wanazuiwa kuhoji chochote na ukihiji unapotezwa. Leo wananchi wameandamana kwamba walidhulumiwa enzi ja jpm.

Makonda ameliza wengi ikiwemo clouds. Leo hii anamiliki manumba na apartments kibao huko madale na amepangisha wazungu ( pale karibu na kituo Cha polisi jirani na mother of mercy schools).

Sabaha katoboa watu macho na masikio n kudhululumu Mali za mabank na watu binafsi.

Pesa na plea bargain zimetoroshwa china.

Ila jpm alichokiweza ni kuwafanya watu wamuogope ndo mana ilionekana kwa laymen kwamba ni mwamba.
Hiyo ndiyo bahati? Bahati ni kitu kinachotokea bila kutarajiwa, kukusudiwa wala kupangwa. Hiyo ya kudhibiti njia zote za upashanaji habari haikuwa bahati kwani ni mkakati ulioandaliwa na kutekelezwa kwa nguvu na bila huruma kwa madhumuni ya kuficha mambo mengi mabaya yaliyopangwa kutekelezwa dhidi ya baadhi ya raia wema na dhidi ya maslahi mapana ya taifa.
 
Hebu angalia watu kama akina mpina wanadhulumi ardhi waziwazi halafu waandishi wanazuiwa kuhoji chochote na ukihiji unapotezwa. Leo wananchi wameandamana kwamba walidhulumiwa enzi ja jpm.

Makonda ameliza wengi ikiwemo clouds. Leo hii anamiliki manumba na apartments kibao huko madale na amepangisha wazungu ( pale karibu na kituo Cha polisi jirani na mother of mercy schools).

Sabaha katoboa watu macho na masikio n kudhululumu Mali za mabank na watu binafsi.

Pesa na plea bargain zimetoroshwa china.

Ila jpm alichokiweza ni kuwafanya watu wamuogope ndo mana ilionekana kwa laymen kwamba ni mwamba.
Acha kujizima data mwizi wewe
 
Hebu angalia watu kama akina mpina wanadhulumi ardhi waziwazi halafu waandishi wanazuiwa kuhoji chochote na ukihiji unapotezwa. Leo wananchi wameandamana kwamba walidhulumiwa enzi ja jpm.

Makonda ameliza wengi ikiwemo clouds. Leo hii anamiliki manumba na apartments kibao huko madale na amepangisha wazungu ( pale karibu na kituo Cha polisi jirani na mother of mercy schools).

Sabaha katoboa watu macho na masikio n kudhululumu Mali za mabank na watu binafsi.

Pesa na plea bargain zimetoroshwa china.

Ila jpm alichokiweza ni kuwafanya watu wamuogope ndo mana ilionekana kwa laymen kwamba ni mwamba.

Kipindi gani tanzania haikuwa na ufisadi wa kutisha?
 
Hebu angalia watu kama akina mpina wanadhulumi ardhi waziwazi halafu waandishi wanazuiwa kuhoji chochote na ukihiji unapotezwa. Leo wananchi wameandamana kwamba walidhulumiwa enzi ja jpm.

Makonda ameliza wengi ikiwemo clouds. Leo hii anamiliki manumba na apartments kibao huko madale na amepangisha wazungu ( pale karibu na kituo Cha polisi jirani na mother of mercy schools).

Sabaha katoboa watu macho na masikio n kudhululumu Mali za mabank na watu binafsi.

Pesa na plea bargain zimetoroshwa china.

Ila jpm alichokiweza ni kuwafanya watu wamuogope ndo mana ilionekana kwa laymen kwamba ni mwamba.
Kwa kuyajuwa haya ndiyo maana Mungu alimtoa DHALIMU Magufuli kwenye macho ya Watanzania na kumpeleka jehanam.

Aendelee kuungua na moto huko aliko
 
Hebu angalia watu kama akina mpina wanadhulumi ardhi waziwazi halafu waandishi wanazuiwa kuhoji chochote na ukihiji unapotezwa. Leo wananchi wameandamana kwamba walidhulumiwa enzi ja jpm.

Makonda ameliza wengi ikiwemo clouds. Leo hii anamiliki manumba na apartments kibao huko madale na amepangisha wazungu ( pale karibu na kituo Cha polisi jirani na mother of mercy schools).

Sabaha katoboa watu macho na masikio n kudhululumu Mali za mabank na watu binafsi.

Pesa na plea bargain zimetoroshwa china.

Ila jpm alichokiweza ni kuwafanya watu wamuogope ndo mana ilionekana kwa laymen kwamba ni mwamba.
Sio kweli unayo andika, John Pombe Magufuli alikuwa Rais Bora wa wakati wote.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hebu angalia watu kama akina mpina wanadhulumi ardhi waziwazi halafu waandishi wanazuiwa kuhoji chochote na ukihiji unapotezwa. Leo wananchi wameandamana kwamba walidhulumiwa enzi ja jpm.

Makonda ameliza wengi ikiwemo clouds. Leo hii anamiliki manumba na apartments kibao huko madale na amepangisha wazungu ( pale karibu na kituo Cha polisi jirani na mother of mercy schools).

Sabaha katoboa watu macho na masikio n kudhululumu Mali za mabank na watu binafsi.

Pesa na plea bargain zimetoroshwa china.

Ila jpm alichokiweza ni kuwafanya watu wamuogope ndo mana ilionekana kwa laymen kwamba ni mwamba.
Watu hawakusema,wanahabari walinyamaza hatimaye mawe yanaongea😂😂
 
Pale mabibo kuna wajasilia mali wa kukodisha viatu vya kuingia Sokoni.Angekuepo si ajabu pangejengwa soko au ingemwagwa zege la kuinua huku maji yakipewa mfereji.
 
Tunaweka record iwe reference isije ikatokea kanisa katoliki wakakosea kumfikilia eti ni mwenyeheri bila kuwa na information sahihi
Sasa kanisa linakuhusu Nini??!! Ucha unafiki na utakufa Kwa unafiki
 
Back
Top Bottom