Ndo aliharibu kila kitu,aliajiri zaidi ya uwezo wa serekali kulipa,huwezi lundika walimu bila kuangalia ability to pay on long run
Ni jk tu aliweza kuwaajiri wote ndo mana nasema tutamkumbukaHujui utendendalo soma mambo ya nyakati.hakuna hata nchi moja duniani ambayo imeweza kuwapatia ajir a wahitimu wake wote ila tu ungesema ijenge mazingira ya uwekezaji ili wengine wakaajiriwe huko.kwa kuwa serikali yetu ni ya kishetani inajenga mazingira hayo ili itawale milele
Jk alikua na mipango ya kutengeza ajira delta binafsi kwa kutengeza middle class wengi,akaja yule akavuruga kila kitu
Zama hubadilika Mkuu.
USILINGANISHE ZAMA.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Sikatai lakini pia na yeye angefikia Kokomo. Unawahitimu zaidi ya laki moja Kwa mwaka then Pato lako la taifa karibia 70% linalipa Deni la taifa na mishahara na posho Kwa watumishi alafu uwe na uthubu wa kuajiri kama mnavyofikiria
Kimsingi aliyeharibu maisha ya watanzania wengi ni huyo ndugu aliyempokea JK kijiti!Sina hakika kama mambo yatakuja kukaa Sawa tena!Tuendelee kumuombea mama kwani hata yeye hana namna kwa vile alikuta kila kitu kimevurugwa!
Mama na JPM wote wale wale tu.
Watu tulikua na one lakini tukasoma education kwa sababu tu ya ajira.... Ningekua madogo wa cku hizi nisingesoma usenge wa education
Ule ulikuwa uchumi feki, lazima tungekuja kugota sehemu
Ndo aliyesababisha kusakamwa kila mara mana nchi iliihalibu sana na akawa anajigamba eti yeye ndo ananyoosha nchi. Aliwasiriba akina Ben mkapa na jk kumbe yeye ndo mharibifu sana ila media zikaogopa kuhoji chochote. Sasa kafa Wacha watu wapumue mana tulibanwa sana na hapakuwa na room ya kuongeaMmeanza tena kumsakama marehemu, anayewalipa kufanya haya ni nani na lengo lake ni lipi?
Mm sio msukuma mkuu. Mm mnyarwandaHata usalama.wa taifa alianiri wasukuma tu. Mfano ni jamaa anaitwa Florian nzangizyo
Hapo tatizo hili limetoka kuwa la kila mtu n kuwa la kikundi cha watu Fulani wenye sifa zinazofananaKatika utafiti wangu mdogo, nimebaini kwamba Walimu ambao wamekumbwa na tatizo kubwa zaidi la ukosefu wa ajira ni wale ambao waliosomea Masomo ya Sanaa (Arts). Wale waliosomea Masomo ya Sayansi na wamefaulu vizuri katika masomo yao, tatizo hili la ukosefu wa ajira linaonekana kuwa siyo kubwa sana kwao.
Wito: Someni Masomo ya Sayansi, kwani yana uwanja mpana wa kujiajiri au kuajiriwa, hata nje ya mipaka ya Tanzania.
Uchumi feki nchi ikijengeka kila kona,nagari ikawa kawida kwa watanzania, GDP ikapaa,wakulima wakaishi maisha mazuri,miundombinu ikajengwa,fdi ikamiminika...acha ujinga babu
Tatizo ni kuwa hujui hiyo inawezekanaje lakini ninyi ndiyo ambao mnang'ang'ana sehemu zenye maamuzi huku hamna mnalojua kuhusu kutengeneza ajira hayo yakawezekana...Adui mkubwa wa watanzania kati ya wale wa nne wa Mwl Nyerere ni UJINGA. watanzania wengi siyo weledi lakini wanajimwabafai. Hakuna kitu kibaya kama uwe hujui kitu na bado hujui kuwa hujui. Kujua kutokujua ndiyo mwanzo wa kuleta suluhisho
Mmeanza tena kumsakama marehemu, anayewalipa kufanya haya ni nani na lengo lake ni lipi?
Kwa kweli nakazia hapo mwisho ulivyomalizia yule jamaa hakika alileta titizo kubwa mno bora hata alivyotangulia . Wahitimu wa mwaka 2015 , 2016 na 2017 . Mtaani wengi maisha yao yameyumba ukiangalia vizuri sababu ni lile jamaa .
Unamtetea jiwe rais wa ovyo kuwahi kutokea Tanzania, jiwe alikuwa ni WA ovyo na mbaguzi, , alifukuza wafanyakazi hewa na vyeti feki lakini hakufanya replacement , akaajiri watu wa kabila lake , wasukuma wote ambao nimesoma nao, na niliokutana nao katika harakati za kusaka ajira walipata kazi, Mungu ni wa wote akafanya yake.
Hakurithi mfumo wa JK, alianza ya kwake ambayo ni uharibifu, jiwe kiti cha urais hakikumtosha kabisa
Ulibanwa ukiwa unafanya nini? Kwasababu mmlikuwa kimya ghafla tu, boss wenu kapita kule Chato na ninyi mmeanza kumtemea mate marehemu.Ndo aliyesababisha kusakamwa kila mara mana nchi iliihalibu sana na akawa anajigamba eti yeye ndo ananyoosha nchi. Aliwasiriba akina Ben mkapa na jk kumbe yeye ndo mharibifu sana ila media zikaogopa kuhoji chochote. Sasa kafa Wacha watu wapumue mana tulibanwa sana na hapakuwa na room ya kuongea