econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Ndo aliharibu kila kitu,aliajiri zaidi ya uwezo wa serekali kulipa,huwezi lundika walimu bila kuangalia ability to pay on long run
Sio kweli. Tuongee ukweli wa mambo. Aliyeharibu ni yule aliyeanza kuzuia ajira kwa Miaka mitano.