Kipindi cha Mzee Kikwete hakuna aliyehitimu ualimu au udaktari akakosa ajira. Wote walikuwa wanapangiwa tena unachagua pa kwenda

Naona kama mzee wa Msoga ndiye ameshikilia usukani kiana.
Sasa anashindwa nini kufanya kweli?.
 
Jpm alimpaka matope tu hakuna kitu kama hicho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…