Nchi ilikua kama takataka ,,nchi ilioza, majambazi watatu wananyang’anya polisi silaha , kila vituo ,, Kibiti ilimshinda, tanga mapango ya amboni,, kifupi ilikua n failed state afu unasema tungeendelea hivo hivo tz ingekua somalia
Unaweza uishi na hiyo ajira sehemu ambayo haina usalama??????
Yaliyoko msumbiji kumbuka ndio yalianzia kibiti??
We naona unafikri kwa kutumia matako si akili ama ulikua hujazaliwa!!