Kipindi cha Mzee Kikwete hakuna aliyehitimu ualimu au udaktari akakosa ajira. Wote walikuwa wanapangiwa tena unachagua pa kwenda

Kipindi cha Mzee Kikwete hakuna aliyehitimu ualimu au udaktari akakosa ajira. Wote walikuwa wanapangiwa tena unachagua pa kwenda

Ni wakati huo, hata kama JK angekuwa madarakani mpaka Leo na yeye asingeweza kuajiri wahitimu wote. Tubadili tu mfumo wa elimu yetu. Ila wazazi na sisi tujiongeze hususasi sisi ngozi nyeusi haiwezekani umsomeshe mtoto Kwa mamilioni ya pesa alafu eti mtoto amalize chuo kikuu then akajitolee sehemu miaka na miaka akisubiri ajira ya Serikali. Tujiongeze
Watu wasichojua kila raisi anakuja na ilani yake ya jk alisema ataajiri walimu na madktari kwa miaka 10 but magu focus yake haikua huko.
 
Soma title yangu vizuri. Nimesema during the kikwete regime no any teacher was left with no employed despite arts or science.
1.Je, wamefaulu vizuri ktk masomo yao waliyosomea?
2.Je, wako "competent" kwenye fani zao walizosomea??
3.Je, Wana sifa zingine stahiki zinazotakiwa ktk fani walizosomea?
 
Ni wakati huo, hata kama JK angekuwa madarakani mpaka Leo na yeye asingeweza kuajiri wahitimu wote. Tubadili tu mfumo wa elimu yetu. Ila wazazi na sisi tujiongeze hususasi sisi ngozi nyeusi haiwezekani umsomeshe mtoto Kwa mamilioni ya pesa alafu eti mtoto amalize chuo kikuu then akajitolee sehemu miaka na miaka akisubiri ajira ya Serikali. Tujiongeze
Lakini haiondoi ukweli kuwa jiwe katengeneza ombwe kubwa sana la ajira huwezi kukaa miaka mitano bila kuajili hali ya kuwa kila mwaka kuna maelfu ya watahiniwa wanamwagwa mitaani.

Na mbaya zaidi yeye kashashindwa kuajili bado akawa muharibifu wa sekta binafisi na zenyewe zikakosa uwezo wa kujiajili kweli wtz tulikuwa tume patikana.

Huyu mama ana kazi kubwa sana ya kuajili watainiwa wa kuanzia mwaka 2015 na wasasa hivi.
Dada zangu wawili walisomea udaktari toka mwaka 2017 wamekuja kuajiliwa mwaka jana duh jiwe alikuwa kiongozi wa hovyo sana.
 
Jk tutamkumbuka sana kwa kweli alifanikwa sana kuifanya elimu iwe na mvuto kiasi wazazi wakawa wanaona fahari kusomesha maana ajira zipo tena na kumwaga ikapelekea mpaka watu wakipangiwa hawaendi mana Kuna uhakika kesho akitaka atapata tena. Nakumbuka pes za kujikimu kabla hujaanza kazi kwa mwl ilikuwa laki sita na unapewa hapohapo.

Mambo yalianzq kuwa magumu kipindi Cha jpm ajira zikawa ni kutafuta kwa tochi na kaanza group kubwa sana la vijana mtaani bila ajira kitu ambacho mama anahangaika kupambana nacho mana limeshakuwa tatizo. Alaaniwe jpm.
JK kabla hayatoka madarakani alisema kuwa kuanzia Mwaka ujao ajira hazitokuwepo kama Sasa ikiwemo Ualimu kwa hiyo mtu asiwadanganye, nakumbuka ilikua Mwaka 2014.
 
JK tutamkumbuka sana kwa kweli alifanikwa sana kuifanya elimu iwe na mvuto kiasi wazazi wakawa wanaona fahari kusomesha maana ajira zipo tena na kumwaga ikapelekea mpaka watu wakipangiwa hawaendi mana Kuna uhakika kesho akitaka atapata tena. Nakumbuka pes za kujikimu kabla hujaanza kazi kwa mwl ilikuwa laki sita na unapewa hapohapo.

Mambo yalianzq kuwa magumu kipindi Cha jpm ajira zikawa ni kutafuta kwa tochi na kaanza group kubwa sana la vijana mtaani bila ajira kitu ambacho mama anahangaika kupambana nacho mana limeshakuwa tatizo. Alaaniwe jpm.
Unapaswa kuwa issue ya ajiri inaendana na ukuaji wa uchumi!
Ajira hazitolewi tu kufurahisha watu au kutotolewa tu kwa makusudi!
Serikali iko makini sana kwenye kuongeza wage bill!
 
Kimsingi aliyeharibu maisha ya watanzania wengi ni huyo ndugu aliyempokea JK kijiti!Sina hakika kama mambo yatakuja kukaa Sawa tena!Tuendelee kumuombea mama kwani hata yeye hana namna kwa vile alikuta kila kitu kimevurugwa!
Na yeye si alikuwa kwenye serikali?
 
Kwa kweli nakazia hapo mwisho ulivyomalizia yule jamaa hakika alileta titizo kubwa mno bora hata alivyotangulia . Wahitimu wa mwaka 2015 , 2016 na 2017 . Mtaani wengi maisha yao yameyumba ukiangalia vizuri sababu ni lile jamaa .
Miaka ya 2006,2007.. ndio shule nyingi za kata zilijengwa kwa hiyo kulikuwa uhitaji mkubwa wa walimu. Vile vile kuajiri kunategemea na uwezo wa kulipa.
 
JK tutamkumbuka sana kwa kweli alifanikwa sana kuifanya elimu iwe na mvuto kiasi wazazi wakawa wanaona fahari kusomesha maana ajira zipo tena na kumwaga ikapelekea mpaka watu wakipangiwa hawaendi mana Kuna uhakika kesho akitaka atapata tena. Nakumbuka pes za kujikimu kabla hujaanza kazi kwa mwl ilikuwa laki sita na unapewa hapohapo.

Mambo yalianzq kuwa magumu kipindi Cha jpm ajira zikawa ni kutafuta kwa tochi na kaanza group kubwa sana la vijana mtaani bila ajira kitu ambacho mama anahangaika kupambana nacho mana limeshakuwa tatizo. Alaaniwe jpm.
Nchi inatakiwa kuwa na wafanyakazi bora ....wapumbavu wanawaza ajira badala ya kufanya kazi ....wakati wa kikwete kulikuwa na (ajira isiyo kwa ajili ya kazi) wakati wa jpm kulikuwa na (ajira kwa ajili ya kazi ) ndiyo maana kulikuwa hadi na wafanya kazi hewa...mfano kazi ya kusafisha choo kimoja wizarani ilikuwa na wafanyakazi hadi 40 ..nisawa sawa na kuwa na matrekta 40 ambayo unayatumia kulima heka moja tu kwa mwaka ....hii ndiyo maana nchi inazidi kuwa masikini ...ajira inatakiwa iendane na ufanisi ...mfano shule ina walimu inatakiwa kufundisha kwa ufanisi....siyo wanafunzi asil8mia 80% wanapata dv 0 na 4.
 
JK tutamkumbuka sana kwa kweli alifanikwa sana kuifanya elimu iwe na mvuto kiasi wazazi wakawa wanaona fahari kusomesha maana ajira zipo tena na kumwaga ikapelekea mpaka watu wakipangiwa hawaendi mana Kuna uhakika kesho akitaka atapata tena. Nakumbuka pes za kujikimu kabla hujaanza kazi kwa mwl ilikuwa laki sita na unapewa hapohapo.

Mambo yalianzq kuwa magumu kipindi Cha jpm ajira zikawa ni kutafuta kwa tochi na kaanza group kubwa sana la vijana mtaani bila ajira kitu ambacho mama anahangaika kupambana nacho mana limeshakuwa tatizo. Alaaniwe jpm.
Mzee wa msoga kwa hili aliweza sana, mwambie alipo apate soda nitaenda kulipa
 
Tukisema tuajiri kama ikama inavyotaka mf mwalimu mmoja afundishe wanafunzi kadhaa, daktari mmoja ahudumie wagonjwa kadhaa hatutafanya maendeleo.
Tatizo ni kuwa hujui hiyo inawezekanaje lakini ninyi ndiyo ambao mnang'ang'ana sehemu zenye maamuzi huku hamna mnalojua kuhusu kutengeneza ajira hayo yakawezekana...Adui mkubwa wa watanzania kati ya wale wa nne wa Mwl Nyerere ni UJINGA. watanzania wengi siyo weledi lakini wanajimwabafai. Hakuna kitu kibaya kama uwe hujui kitu na bado hujui kuwa hujui. Kujua kutokujua ndiyo mwanzo wa kuleta suluhisho
 
JK tutamkumbuka sana kwa kweli alifanikwa sana kuifanya elimu iwe na mvuto kiasi wazazi wakawa wanaona fahari kusomesha maana ajira zipo tena na kumwaga ikapelekea mpaka watu wakipangiwa hawaendi mana Kuna uhakika kesho akitaka atapata tena. Nakumbuka pes za kujikimu kabla hujaanza kazi kwa mwl ilikuwa laki sita na unapewa hapohapo.

Mambo yalianzq kuwa magumu kipindi Cha jpm ajira zikawa ni kutafuta kwa tochi na kaanza group kubwa sana la vijana mtaani bila ajira kitu ambacho mama anahangaika kupambana nacho mana limeshakuwa tatizo. Alaaniwe jpm.

Na ndio chanzo Cha chawa waliopo Leo. Maana Kuna kundi kubwa la vijana hawana ajira.
 
JK tutamkumbuka sana kwa kweli alifanikwa sana kuifanya elimu iwe na mvuto kiasi wazazi wakawa wanaona fahari kusomesha maana ajira zipo tena na kumwaga ikapelekea mpaka watu wakipangiwa hawaendi mana Kuna uhakika kesho akitaka atapata tena. Nakumbuka pes za kujikimu kabla hujaanza kazi kwa mwl ilikuwa laki sita na unapewa hapohapo.

Mambo yalianzq kuwa magumu kipindi Cha jpm ajira zikawa ni kutafuta kwa tochi na kaanza group kubwa sana la vijana mtaani bila ajira kitu ambacho mama anahangaika kupambana nacho mana limeshakuwa tatizo. Alaaniwe jpm.
Hujui utendendalo soma mambo ya nyakati.hakuna hata nchi moja duniani ambayo imeweza kuwapatia ajir a wahitimu wake wote ila tu ungesema ijenge mazingira ya uwekezaji ili wengine wakaajiriwe huko.kwa kuwa serikali yetu ni ya kishetani inajenga mazingira hayo ili itawale milele
 
Back
Top Bottom