Kipindi cha Mzee Kikwete hakuna aliyehitimu ualimu au udaktari akakosa ajira. Wote walikuwa wanapangiwa tena unachagua pa kwenda

Kipindi cha Mzee Kikwete hakuna aliyehitimu ualimu au udaktari akakosa ajira. Wote walikuwa wanapangiwa tena unachagua pa kwenda

Mi nimezungumzia ualimu na udaktari mengini ni kupoteza mda tu. Kuna uhitaji mkubwa sana wa walimu. Waliopo mashulrni hawatoshi angekuwa jk tayari wote walioko mtaani wangeaniriwa tena asingesubiri mrundikane mtaani. Yule bwana alikuwa very sympathetic and humble na alijua maisha halisi ya wanyonge siyo jpm neno wanyonge ilikuwa kuwahadaa tu
Ajira sio hitaji pekee la Taifa

Awamu Fulani ya serikali inapoipa ajira kipaumbele maana yake Kuna lingine halipewi kipaumbele!

Awamu nyingine ikiondoa kipaumbele kwenye ajira maana yake Jambo lingine litapewa kipaumbele!

Nikukumbushe tu, kipindi Cha JK ndio Ilikuwa kilele cha ajira kada za ualimu na afya!

Usisahau Kuna kada nyingi huko nyuma zilikuwa zinapata ajira lakini huyohuyo JK alishindwa kuwaajiri, means bajeti za ajira Ilikuwa tayari zinabana

Miaka ijayo, Hali itakuwa mbaya zaidi!

Hakutakuwa Tena na ajira za mwendo kasi na za mafungu mafungu serikalini

Nikukumbushe Tena, Mkapa aliajiri wahitimu wote waalimu na Afya, kelele zako kuhusu JK zina maana gani?
 
ISHU

Ni tuungane tupiganie mitaala mipya itakayoandaa wahitimu kujiajiri na sio kubong'oa wakisubiri GVT ifanye JAMBO
 
ISHU

Ni tuungane tupiganie mitaala mipya itakayoandaa wahitimu kujiajiri na sio kubong'oa wakisubiri GVT ifanye JAMBO
Kazi ya serikali ni Nini? Kazi ya serikali iliyo kuu ni kuajiri yaani human welfare. Nakukumbusha tu. Vinginevyo hatuka haja ya kuwa na serikali
 
Kazi ya serikali ni Nini? Kazi ya serikali iliyo kuu ni kuajiri yaani human welfare. Nakukumbusha tu. Vinginevyo hatuka haja ya kuwa na serikali
Si sawa sawa pamoja kwamba jukumu la gvt nikuajiri lakini sikwanjia hiyo unatamani mimi nimependekeza tuhame huko
 
Lakini haiondoi ukweli kuwa jiwe katengeneza ombwe kubwa sana la ajira huwezi kukaa miaka mitano bila kuajili hali ya kuwa kila mwaka kuna maelfu ya watahiniwa wanamwagwa mitaani.

Na mbaya zaidi yeye kashashindwa kuajili bado akawa muharibifu wa sekta binafisi na zenyewe zikakosa uwezo wa kujiajili kweli wtz tulikuwa tume patikana.

Huyu mama ana kazi kubwa sana ya kuajili watainiwa wa kuanzia mwaka 2015 na wasasa hivi.
Dada zangu wawili walisomea udaktari toka mwaka 2017 wamekuja kuajiliwa mwaka jana duh jiwe alikuwa kiongozi wa hovyo sana.
Ndo mana nasema itakuwa anawaka moto uko aliko mana roho za watu zinamlilia, mana Aliua mpaka kampuni za private ,
 
Nchi inatakiwa kuwa na wafanyakazi bora ....wapumbavu wanawaza ajira badala ya kufanya kazi ....wakati wa kikwete kulikuwa na (ajira isiyo kwa ajili ya kazi) wakati wa jpm kulikuwa na (ajira kwa ajili ya kazi ) ndiyo maana kulikuwa hadi na wafanya kazi hewa...mfano kazi ya kusafisha choo kimoja wizarani ilikuwa na wafanyakazi hadi 40 ..nisawa sawa na kuwa na matrekta 40 ambayo unayatumia kulima heka moja tu kwa mwaka ....hii ndiyo maana nchi inazidi kuwa masikini ...ajira inatakiwa iendane na ufanisi ...mfano shule ina walimu inatakiwa kufundisha kwa ufanisi....siyo wanafunzi asil8mia 80% wanapata dv 0 na 4.
Acha uongo mzee , jiwe alikuwa mbaguzi aliajiri ,sukuma gang
 
Jiwe Aliua private sector ,jiwe alifukuza wafanyakazi wengi na kuweka program ya kujaza sukuma gang kwa kusingizi kwamba ni wafanyakazi, watu wengi wametumia chini ya jiwe ila hawana pakusemea,
 
JK tutamkumbuka sana kwa kweli alifanikwa sana kuifanya elimu iwe na mvuto kiasi wazazi wakawa wanaona fahari kusomesha maana ajira zipo tena na kumwaga ikapelekea mpaka watu wakipangiwa hawaendi mana Kuna uhakika kesho akitaka atapata tena. Nakumbuka pes za kujikimu kabla hujaanza kazi kwa mwl ilikuwa laki sita na unapewa hapohapo.

Mambo yalianzq kuwa magumu kipindi Cha jpm ajira zikawa ni kutafuta kwa tochi na kaanza group kubwa sana la vijana mtaani bila ajira kitu ambacho mama anahangaika kupambana nacho mana limeshakuwa tatizo. Alaaniwe jpm.

Nchi ilikua kama takataka ,,nchi ilioza, majambazi watatu wananyang’anya polisi silaha , kila vituo ,, Kibiti ilimshinda, tanga mapango ya amboni,, kifupi ilikua n failed state afu unasema tungeendelea hivo hivo tz ingekua somalia
Unaweza uishi na hiyo ajira sehemu ambayo haina usalama??????

Yaliyoko msumbiji kumbuka ndio yalianzia kibiti??

We naona unafikri kwa kutumia matako si akili ama ulikua hujazaliwa!!
 
Pole Sana mhitimu wa education 😁 mwalimu wa physics
 
"Huko mbeleni serikari haitaweza kuajiri tena walimu wa masomo ya Sanaa" Jakaya Mrisho kikwete: 2015
 
Kutokana na upungu iliyokuwepo serikali iliweka mazingira mazuri ya kuvutia wanafunzi kusomea fani hizo. Vivutio vilikuwa mkopo wa elimu ya juu na Akira za moja kwa moja, sasa kama wataalam wako wa kutosha kwa nini serikali iendelee kuweka mazingira hayo hasa ya mkopo wa elimu ya juu? Serikali unatumia mamilioni ya fedha kuwasomesha mwishowe wanaashia mtaani,huo siyo uharibifu wa rasilimali? Kwa Nini hizo fedha wasipewe vijana wakajikite kwenye ujasiliamali kama inavyosisitiza kwa wahitimu?
 
Ni wakati huo, hata kama JK angekuwa madarakani mpaka Leo na yeye asingeweza kuajiri wahitimu wote. Tubadili tu mfumo wa elimu yetu. Ila wazazi na sisi tujiongeze hususasi sisi ngozi nyeusi haiwezekani umsomeshe mtoto Kwa mamilioni ya pesa alafu eti mtoto amalize chuo kikuu then akajitolee sehemu miaka na miaka akisubiri ajira ya Serikali. Tujiongeze
Mzazi amsomeshe mtoto au serikali? Watoto wengi wanasomeshwa na serikali elimu ya juu kupitia mkopo. Sasa kwa nini serikali isiwe mzazi ikampatia mkopo baada ya kuhitimu? Lakini mtu amesomea ualimu anaambiwa ajiajiri kwenye ujasiliamali, kwa nini huo mkopo asipewe mapema akajikita huko kuliko kupoteza muda vyuoni?
 
Uache kuwaka moto ww na mafisadi wwnzio awake rasi aliyepigania haki???

Na bado jehanamu yenu inakuja
Yupo anangua huko uhakika, roho za watu zinamlilia , atakosaje kuingia kwenye ziwa la moto, na siku ya mwisho tukikutana huko nyie wanafki wote mnaomsapoti tutakuwa tukiwatazama mnavyo ungua moto wa milele huku sisi tukicheka kwa furaha
 
JK tutamkumbuka sana kwa kweli alifanikwa sana kuifanya elimu iwe na mvuto kiasi wazazi wakawa wanaona fahari kusomesha maana ajira zipo tena na kumwaga ikapelekea mpaka watu wakipangiwa hawaendi mana Kuna uhakika kesho akitaka atapata tena. Nakumbuka pes za kujikimu kabla hujaanza kazi kwa mwl ilikuwa laki sita na unapewa hapohapo.

Mambo yalianzq kuwa magumu kipindi Cha jpm ajira zikawa ni kutafuta kwa tochi na kaanza group kubwa sana la vijana mtaani bila ajira kitu ambacho mama anahangaika kupambana nacho mana limeshakuwa tatizo. Alaaniwe jpm.
Bado hujasema Hadi useme
 
JK tutamkumbuka sana kwa kweli alifanikwa sana kuifanya elimu iwe na mvuto kiasi wazazi wakawa wanaona fahari kusomesha maana ajira zipo tena na kumwaga ikapelekea mpaka watu wakipangiwa hawaendi mana Kuna uhakika kesho akitaka atapata tena. Nakumbuka pes za kujikimu kabla hujaanza kazi kwa mwl ilikuwa laki sita na unapewa hapohapo.

Mambo yalianzq kuwa magumu kipindi Cha jpm ajira zikawa ni kutafuta kwa tochi na kaanza group kubwa sana la vijana mtaani bila ajira kitu ambacho mama anahangaika kupambana nacho mana limeshakuwa tatizo. Alaaniwe jpm.

View: https://www.instagram.com/p/C1EPHnUN4MK/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
 
Back
Top Bottom