Kipindi nina miaka chini ya 7 ningesikia baba yangu kafariki ningefurahi sana!

Kipindi nina miaka chini ya 7 ningesikia baba yangu kafariki ningefurahi sana!

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Kusema ukweli kile kilikuaa ni kipindi kigumu sana kwangu na kwa kaka na Dada zangu, yaani ilikuwa kama ni panya na paka.

Nilishuhudia kwa macho yangu mama zetu wakilala kwa Balozi na Mwenyekiti wa Mtaa savabu ya kipigo.

Yaani dada zetu wakubwa na kaka zetu wote walitoroka mara kwa mara nyumbani sababu ya kushambuliwa na baba.

Siku ya mwisho kupigaa na yeye alinishambulia kwa ngumi za uso na mateke.

Ila sasa amepoa kama maji umebaki tu mdomo, pia ananikubali sana, nampenda pia maana ametupigania sana sisi kama watoto wake.

Watoto tuko 27 kwa mama 4 hivo ukali pia ulichangja kutuweka mstarini, japo yeye alipitiliza kwani akitukuta tunapiga stories jioni, akifika tu, wote tunanyanyuka na kwenda kulala.

Akiwa anatoa adhabu hatakiwi mama kuongea maana ataonekana anatetea mtoto wake hivo ataanza kuadhibiwa na yeye kwa kipigo.

Tujifunze, kila kitu ni kiasi ikizidi inakuwa sio.
 
Kama baba au mama mnoko, kupindukia, unaweza kuingilia ukapewa laana, ya Nini kuvuliwa nguo, ndomana watoto wanaangaliaga tu, Kuna watu wameingilia wakaachiwa laana na wazazi wao.
Haya mambo ya laana sidhani kama yapo .
Wakati nakaa uswahilini kuna familia moja ilikuwa baba na mama wakipigana watoto wanakuwa watangazaji wa pambano la boxing. Mwisho wanatoa na remarks nani kashinda kwenye huo ugomvi. watoto hadi leo wazima na hawakupata laana .
 
Kama baba au mama mnoko, kupindukia, unaweza kuingilia ukapewa laana, ya Nini kuvuliwa nguo, ndomana watoto wanaangaliaga tu, Kuna watu wameingilia wakaachiwa laana na wazazi wao.
Hakuna laana kwa mzazi katili yeye ndo hubeba laana za watoto na mke
Huu mchezo wa kupiga mke ni hatari sana kuna jirani yetu hadi leo yup magereza
 
Kusema ukweli kile kilikuaa ni kipindi kigumu sana kwangu na kwa kaka na Dada zangu, yaani ilikuwa kama ni panya na paka.

Nilishuhudia kwa macho yangu mama zetu wakilala kwa Balozi na Mwenyekiti wa Mtaa savabu ya kipigo.

Yaani dada zetu wakubwa na kaka zetu wote walitoroka mara kwa mara nyumbani sababu ya kushambuliwa na baba.

Siku ya mwisho kupigaa na yeye alinishambulia kwa ngumi za uso na mateke.

Ila sasa amepoa kama maji umebaki tu mdomo, pia ananikubali sana, nampenda pia maana ametupigania sana sisi kama watoto wake.

Watoto tuko 27 kwa mama 4 hivo ukali pia ulichangja kutuweka mstarini, japo yeye alipitiliza kwani akitukuta tunapiga stories jioni, akifika tu, wote tunanyanyuka na kwenda kulala.

Akiwa anatoa adhabu hatakiwi mama kuongea maana ataonekana anatetea mtoto wake hivo ataanza kuadhibiwa na yeye kwa kipigo.

Tujifunze, kila kitu ni kiasi ikizidi inakuwa sio.
Sawa mwagito. Ila nave winakidada hilo
 
BABA NI MTU ANAETOA AMRI NA MNAPASWA KUTII,WE UNA SEMA HAYO WAKATI WENGINE WALIPIGWA NA MIKANDA YA JESHI,ILIPO ONEKA AMEIBA ANACHOMWA MOTO MIKONO YAKE TUONE KAMA ATARUDIA KUIBA TENA,MTOTO ANAKUA KWA MAADILI MEMA,SASA KIZAZI CHAKINA DADI,MTOTO ANADEKEZWA MWISHOWE ANASHINDWA KUJITAMBUA. BIBLIA YENYEWE INA SEMA MLEE MTOTO KWA VIBOKO
 
Back
Top Bottom