Kipindi sijapigwa na maisha, nilidhani kuwa wanaume wanaochapiwa wake zao ni wajinga

Wakuchapie tu maana wewe ni mpumbavu, kwanini unafanya uwendawazimu kazini, tena ningekuwa Mimi ndo bosi wako ningekufuta kazi na kukufunga gerezani mpaka ulipe hasara ulizoniingizia.
 
Hapa ni mambo mawili,
Hii ni story ya uongo ya kutunga, au wewe ni kati ya watu wapumbavu waliokubuhi sana. Ila hata mtu awe mpumbavu kiasi gani hawezi kuchezea kazi kipumbavu hivyo.
 
Mkuyuni hadi Mswahili hahaha mwana shede mwenzangu wewe
 
Mwanaume serious unasherekea birthday tena kwenye ofisi ya watu heli uchapiwe tu.
 
Hii mbona kama CHAI😳
Kabla hujamwagishwa unga, ofisini kwenu ulikuwa na wadhifa gani ndugu muhanga?

Sio kawaida kuwaambia tu staff wenzio eti 'bosi kasema tusifanye kazi, tufanye besidei' na wakatii. Vinginevyo ukitoa huyo alokufukuza, ofisi yote imejaa mabumunda.
 
Ila umepoteza kazi kwa sababu ya kiboya sana. Birthday party?? Wewe halali kabisa kuchapiwa.
 
Uliwaza huyo mwenzio kasacrifice mangapi hadi akaanzisha ofisi?, uliwaza hasara utakayoiingiza kisa sherehe yako ya kitoto? In short wewe ni mvulana na si mwanaume,Siku ukiwa mwanaume utaachana na huo ujinga.
 
ndio JF isikimbiwe kwa post za kipuuzi km hizi? Kutoka mtandao wa great thinkers mpaka kuwa km wa huyu mleta mada. Moderators siyo kila post ya kuiachia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…