Kipindi sijapigwa na maisha, nilidhani kuwa wanaume wanaochapiwa wake zao ni wajinga

Hii ndo maana halisi ya asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu siku nyingine utajifunza kushika ulicho nacho!!!
 
Umetuaibisha Sana mkuu!!!

Yaani unakumbuka birthday!!?yaani kichwa chako hakina cha kuwaza Hadi unakumbuka birthday!!?

Hiyo huwa tunakumbushwa na wapenzi wetu Tena saa SITA mchana ya siku yenyewe au usiku kabisa!!

Ona sasa majanga ya kutosha hayo!!

Utarudi kwenye system lakini ACHA kwanza akili ikukae sawa!!!
 
Ndio maana mkeo txt haziishi kwanguu😄😄🤭🤭🤭

Amesema akija atanipa VYOTE😂
 
Nilijiuliza maswali kadhaa, ila nilipoona jina ni storyteller, nikaishia hapo hapo.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Hii chai haina Sukari yaani wiki mbili umepitia changamoto zote hizo? Mi niliikataa miezi minne bila Kazi na niliishi poa Tu... Mh anyway pole Kwa kuchapiwa
 
"Kiukweli wafanyakazi wote tulilisakata rumba ilihali wateja wakiwa nje ya ofisi wakihuzunika kwa hasira kali. Party lilimalizika vyema mida ya saa 12 jioni. Mida ya saa 3 usiku natumiwa software ya karatasi ya kumwaga unga"..😁
 
namimi nasema kuchapiwa mke wako haitoshi, wakuchape na wewe kabla ya kukurudisha ofisini... ulizoea kuzunguyka kwenye viti vya ofisi ya boss, sasa pambana na zege ndo ujue hasara za kuchezea kazi...YAAN MPAKA USEEMEE
 
Kuchapiwa hakuna formula mkuu
Wanawake hawajui wanataka nn Kwny ndoa
 
Tuwekee number ya mkeo Bhasi nimpitishie nyama nusu na robo akutengenezee suu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…