KALINZI NYUMBANI
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 1,797
- 1,594
Hakika kuna watu wanalipwa aisee, sisi tuendelee kupambana. Nimeona salary slip ya Jamaa yangu nimejiona mie bado kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ukiona anazojilipa Mo si utajinyonga?Hakika kuna watu wanalipwa aisee, sisi tuendelee kupambana. Nimeona salary slip ya Jamaa yangu nimejiona mie bado kabisa.
Ukitaka kufanya kazi kwa amani usichungulie salary za maboss wako hasa foreigners uta zimiaHakika kuna watu wanalipwa aisee, sisi tuendelee kupambana. Nimeona salary slip ya Jamaa yangu nimejiona mie bado kabisa.
Hakika nakubaliana na wewe mkuu.Ukitaka kufanya kazi kwa amani usichungulie salary za maboss wako hasa foreigners uta zimia
Mshahara wa jamaa yake ila yeye roho inamuuma..Kwahiyo akikumbuka asifurahie? Watu maskini bwana, hapo unaumia kweli kweli mtu kulipwa milioni tano
Ukataman umdange ki laki tano chake!.Kuna mtu niliona salary slip yake mshahara 1.2M take home 500k na ushee
Hatari sana mkuu.Hahahha Kuna watu wako Tanzania Cigarettes Company (TCC) hapo hatari tupu.
Hatari sana mkuu.Hahahha Kuna watu wako Tanzania Cigarettes Company (TCC) hapo hatari tupu.
Kuna jibu nilitaka kukupa ila mshukuru huyo mzee Avatar yako, nimeona nitamtusi babu yangu!Ukataman umdange ki laki tano chake!.
Nimapambano tu mkuu, Kila mtu na mapambano yake.Na sisi ambao tumesoma na hatujapata ajira hata ya mshahara wa laki mbili tufanyeje?
Ahahahahah..kumbe mimi na wewe ni ndugu mkuu..Huyo ni uncle wangu mimiKuna jibu nilitaka kukupa ila mshukuru huyo mzee Avatar yako, nimeona nitamtusi babu yangu!