Kipindi unafurahia kulipwa mshahara mkubwa wakuanzia mil 3-5, basi tambua kuna watu nchi hii wanalipwa mpaka mil 13-27 private sector

Boss nisaidie laki mbili nina shida sana mpaka nahisi komwe langu linafuka moshi.
 
kha... hawa mnaowataja ni watanzania au foreigner maana ukoo wangu jumlisha na mtaa au mitaa niliyokaa hadi umri huu sijawahi kusikia jirani au ndugu analamba mamilioni kama hayo zaidi ya wabunge na wanasiasa..
 
Uko sahihi kabisa mkuu Kiranga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…