Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
LawUmesoma koz gan mkuu?
Naingiaje hapo?Nenda TBL hapo..
Ni ngumu pale.Education huyo
Ukitaka ku mind watu kimashinano, Jeff Bezos ana superyacht la dola milioni 500 za Kimarekani limetulia Miami.kwenye maisha you have to enjoy kwwa upande wako huwezi sema usi enjoy road trip yako in crown Athlete kisa unapishana na Benz au gwagon
kuna watu hawalipwi na mtu wana wekeza tu kwa mwenzi mwenzioo hakosi mil 200 na hana miaka mingi ni kijana tu sasa ukiiona uyo si unaweza kata tama
Vipi kwa sisi CPA?Ni ngumu pale.
😄😄Choma mzee watu wapate hela.Kuanzia sasa sichomi fegi Tena,ngoja nivute ya mwisho tu.
Uhakika mzee.Vipi kwa sisi CPA?
Acha uongo kama ww bado kabisa sasa iweje awe jamaa yako? Umetuonaje hapa jfHakika kuna watu wanalipwa aisee, sisi tuendelee kupambana. Nimeona salary slip ya Jamaa yangu nimejiona mie bado kabisa.
CEO wao anaitwa takashi arashi ngoja nimfollow linked inUhakika mzee.
Tembelea website ya JTI job ndo wanatangazia kaz uko?
JTI(Japan Tobacco International) wanamilika hisa 75% za TCC ndo maana recruity agency ni JTI.
kua na CPA siyo kigezo cha kupata kazi apo TCC mzee kwanza kazi zao hua hawatangazi kuna email ya recruitment nazan kuna mdau ame weka apo juu tuma wasifu wako wakiwa interested na ww wata kucontact.Vipi kwa sisi CPA?
Ndio Mr Takashi follow na page ya JTI alafu check job za Tanzania we ukikuta iyo kazi inaingiliana hata kidogo na elimu yako tuma mkuu..CEO wao anaitwa takashi arashi ngoja nimfollow linked in
tcc.recruit@jti.comVipi kwa sisi CPA?
Kweli mkuu. A google JTI jobs.k
kua na CPA siyo kigezo cha kupata kazi apo TCC mzee kwanza kazi zao hua hawatangazi kuna email ya recruitment nazan kuna mdau ame weka apo juu tuma wasifu wako wakiwa interested na ww wata kucontact.
Ni tag kwenye hiyo email mkuuk
kua na CPA siyo kigezo cha kupata kazi apo TCC mzee kwanza kazi zao hua hawatangazi kuna email ya recruitment nazan kuna mdau ame weka apo juu tuma wasifu wako wakiwa interested na ww wata kucontact.
Ni tag kwenye hiyo email mkuu
Mkuu sio wanatumia JTI portal?
Ni tag kwenye hiyo email mkuu
God have mercyNa sie ambao hatuna hata salary ya laki moja je?
Mungu atutetee tu
OkkMkuu wanatumia JTI portal.