Kipindi wenzetu .... Sisi ....

Kipindi wenzetu .... Sisi ....

Kipindi wenzetu wakifungwa goli 3 ndani ya mechi 1 na mchezaji 1.. Sisi hizo goli 3 tumefungwa na wachezaji tofauti tofauti baada ya kucheza idadi ya mechi 6.
Sifa za kijingaa
 
Majigambo mengi ila nimetazama CV ya Patrick anafundisha timu msimu mmoja mmoja..tatizo nini???huku mitaani wanasema ni mwalimu wa mieleka ndio maana mazoezini anakuja na viblanket wachezaji wasichubuke makalio.....wengine wamefika mbali wanadai ni Jehova witness...mark my words mtamfukuza kabla ya msimu kumalizika..midevu kama beberu...

9. Kipindi wenzetu wakijisifia kua kocha wao Mkuu, ni Papaa, na maarufu sana katika kumbi za starehe hapo Kongo... Sisi tunajivunia kua na kocha ambae pia ni mwalimu wa mieleka kwani kasaidia kujenga fiziki ya timu, ambapo sasa timu inaweza kucheza masaa 10 bila kupumzika
 
Siyo mmiliki wa Simba ila anashare Simba,anafanya ivyo bunju anatarget yake,muda utaongea
Mkuu una stress??

1. Ulianza ujenzi wa uwanja Bunju ni kampeni.. Baada ya kukuelewesha, umeibuka na hili..
2. Mo anajenga uwanja kwa vile ana target zake.. (na si tena kampeni)

Alafu unatakiwa utambue kua.. Mo ndo mmiliki wa Simba SC kwa sasa.
 
Hats idadi ya mechi ulizocheza hadi sasa hujui, kweli mbumbumbu ni sahihi kwako.
Kipindi wenzetu wakifungwa goli 3 ndani ya mechi 1 na mchezaji 1.. Sisi hizo goli 3 tumefungwa na wachezaji tofauti tofauti baada ya kucheza idadi ya mechi 6.
 
Hats idadi ya mechi ulizocheza hadi sasa hujui, kweli mbumbumbu ni sahihi kwako.
We Ndala hiyo ni typing error.. Ni sawa nawe baada ya kuandika Hata ukaandika Hats.. Haya mambo yanatokeaga.
 
kipindi top four imeshajulikana, sisi chelsea tupo nafasi ya 1
 
We Ndala hiyo ni typing error.. Ni sawa nawe baada ya kuandika Hata ukaandika Hats.. Haya mambo yanatokeaga.
Bora hiyo hats umeielewa kuwa namaanisha neno hata. Hila siyo uongo wako unaotulisha hapa. Wakati mapenzi na ushabiki ukizidi utufanya tuonekane vichwa vitupu.
 
Bora hiyo hats umeielewa kuwa namaanisha neno hata. Hila siyo uongo wako unaotulisha hapa. Wakati mapenzi na ushabiki ukizidi utufanya tuonekane vichwa vitupu.
Katika keyboard ya simu yako mbele ya a kuna s.. Na mbele ya 6 kuna 7.. Sasa ubora uko wapi?
 
Mkuu una stress??

1. Ulianza ujenzi wa uwanja Bunju ni kampeni.. Baada ya kukuelewesha, umeibuka na hili..
2. Mo anajenga uwanja kwa vile ana target zake.. (na si tena kampeni)

Alafu unatakiwa utambue kua.. Mo ndo mmiliki wa Simba SC kwa sasa.
Mo siyo mmiliki ni investor
 
Tofauti kubwa iliyopo kati ya SIMBA na YANGA kwa sasa ... Kuna mmoja ana Muwekezaji na mwingine ana Bakuli
0ver.
 
9. Kipindi wenzetu wakijisifia kua kocha wao Mkuu, ni Papaa, na maarufu sana katika kumbi za starehe hapo Kongo... Sisi tunajivunia kua na kocha ambae pia ni mwalimu wa mieleka kwani kasaidia kujenga fiziki ya timu, ambapo sasa timu inaweza kucheza masaa 10 bila kupumzika
mngechomoa mechi ya Biashara united"tunajiandaa na mechi ya kimataifa na Yanga" aibu kubwa hii
 
mngechomoa mechi ya Biashara united"tunajiandaa na mechi ya kimataifa na Yanga" aibu kubwa hii

Mkuu baada ya Yanga kulia lia kwa TFF kua wana mechi za karibu karibu kabla ya game ya Mnyama .. TFF ikaona isiwe kesi ikaahirisha mechi yenu. Ili kutenda haki ndipo mechi yetu dhidi ya Biashara nayo ikaahirishwa. Ila kwa kifupi, Biashara tuliwatamani sana.
 
1. Kipindi wenzetu wakimlipa Kocha wao Mkuu, Mwinyi Zahera Tsh. 6.8 milioni... Sisi tunamlipa Kocha wetu Mkuu, Patrick Ausssems dola 10,000 (Tsh. 22.7 milioni - mara 3 ya kocha wa wenzetu).

2. Kipindi wenzetu wakifanya usajili wao katika bendi za Kongo... Sisi tulikua busy tukizunguka bara zima la Africa kutafuta wachezaji mahiri wa kuitumikia timu yetu.

3. Kipindi wenzetu wakiendelea kushangilia kasi ya goli la ajibu... Sisi tunaendelea kufurahia kasi ya 4G ya ujenzi wa uwanja wetu wa Bunju.

4. Kipindi wenzetu, 'Babu' Tambwe akiwa ndo mchezaji anayelipwa hela nyingi kwa mwezi, Tsh. 7.6 milioni... Sisi mchezaji anayelipwa mkwanja mrefu ni Meddie Kagere, anakunja dola 5,500 zaidi Tsh. 12 milioni.

5. Kipindi wenzetu wachezaji wao wa kimataifa wakitafuta deiwaka kwenye bendi za kikongo kipindi hiki, huku wengine wakiwa busy saloon na wasanii wa Bongo Movie... Sisi wakwetu wako busy wakipambania mataifa yao yapate nafasi za kufuzu kushiriki AFCON mwakani.

6. Kipindi wenzetu wakipata tabu sana mwishoni mwa msimu uliopita wa VPL... Sisi tulipata ubingwa wa VPL.

7. Kipindi wenzetu watakapokua busy wakicheza na Mawenzi Market au Moro Kids katika mechi za kirafiki mwakani... Sisi tutakua tukipambana na Etoile Du Sahel au Al Ahly katika hatua ya makundi ya michuano ya Klabu Bingwa Africa.
.
.
.
Mkuu, Usisahau kwamba pamoja na utani kuhusu Kaunda Stadium, Yanga ilikuwa ya kwanza kuwa na uwanja wake. Hata ule wa cha ndimu hamkuwa nao.
 
Back
Top Bottom