Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole.Ninapenda kula kipolo cha wali lakini kikishaingia kwenye fridge tena kipashwe moto kwenye microwave kinanishinda.
Nimeshindwa pia kula kipolo asubuhi. Ni kheri nipate matunda asubuhi kipolo kiwe cha lunch time.
Shukrani sana. Wali ukiuweka kwenye fridge unabadilika ladha.Pole.
Jaribu ukiwa unaeka kiporo kma wali,pilau au biriani hta mchuzi pia upashe vizur kma kwenye microwave au jiko la kawaida.
Usikifunike chote mpka kipoe halaf funika vizur na kiache hadi siku ya pili unapokua tyar unakila kinakua fresh sana tofauti na kuweka kwenye fridge.
Ndio kwasababu ya ule mvuke wa baridi unapopoa.Shukran sana. Wali ukiuweka kwenye fridge unabadilika ladha.
Nitajaribu hii ya karaiNilikuwa nakula viporo hadi nikaona napata kitambi mviringo imebidi niache maana kiporo kitamu. Haswa wali maharage. Huwa siweki kwenye fridge nakiacha jikoni au kukiwa na joto nachukua karai la vyombo naweka maji kidogo nadumbukiza sufuria la wali mambo murua. Best leo umeota kiporo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usisahau kupasha kbla kuweka bila ya hvyo kuna uwezekno mkubwa chakula kuharibika.Nitajaribu hii ya karai
Kiporo ni kitamu sana lakini inabidi nipike cha kula leo na kesho. Jana ilikuwa Birthday ya shost na chakula kingi kilibaki. Amenipa ki ndoo kidogo cha pilau ninawaza nitakuhifadhi vipi.Nilikuwa nakula viporo hadi nikaona napata kitambi mviringo imebidi niache maana kiporo kitamu. Haswa wali maharage. Huwa siweki kwenye fridge nakiacha jikoni au kukiwa na joto nachukua karai la vyombo naweka maji kidogo nadumbukiza sufuria la wali mambo murua. Best leo umeota kiporo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kipolo ni kitamu sana lakini inabidi nipike cha kula leo na kesho. Jana ilikuwa Birthday ya shost na chakula kingi kilibaki. Amenipa ki ndoo kidogo cha pilau ninawaza nitakuhifadhi vipi.
Kwa Mtogole upande anaokaa Sky Eclat kuna baridi sana ujue...yaani ng'ambo ya pili ya daraja la MtogoleKwanini mpike chakula kingi namna hiyo. Hahahah huko kwenu kwa mtogole kuna joto sana kinaweza haribika
Kwa Mtogole upande anaokaa Sky Eclat kuna baridi sana ujue...yaani ng'ambo ya pili ya daraja la Mtogole
Kiporo cha nin kwanza.Kiporo kitamu jamani mm nakipenda sana
Hahahahah chochote kile kikibakiKiporo cha nin kwanza.
Aaa kuna viporo vengine havileti bdii si unajua matumbo mengine.Hahahahah chochote kile kikibaki
Ivi apa ndo nnampango wa kupasha upolo wangu wa wali dah umenikata stimNinapenda kula kipolo cha wali lakini kikishaingia kwenye fridge tena kipashwe moto kwenye microwave kinanishinda.
Nimeshindwa pia kula kipolo asubuhi. Ni kheri nipate matunda asubuhi kipolo kiwe cha lunch time.