kwani lazima viwe vimeumbwa?
Kuna relation gani kati ya mtu kushindwa kuunda kitu kuwe ndio sababu kitu hicho kiwe kimeundwa na mungu?
Kwasababu huwezi kuzuia treni kwa nyuzi za buibui, hiyo itathibitisha spiderman yupo?
Na hata nyinyi wenyewe mnao amini Mungu hamuwezi mka conclude kwa kuafikiana jibu moja kua ni Mungu gani miongoni mwa dini zenu ambaye ndiye muumbaji.
Ndio ni lazima ni lazima ni lazima viwe vimeundwa.
Kwanini?
1. Mwenye uwezo wa kuviunda ni MUNGU PEKEE
2. Kama nyie Atheist mnavyosema havijaundwa na Mungu, niambie vimetokeaje (Formation) yake/?
Bado hujathibitisha, kwasababu mtu kushindwa kuumba kitu maana yake ameshindwa na sio kitu kingine ambacho hakithibitishiki ndio kimeumba
We unaweza kubebwa na jogoo kichwa chini miguu juu? bila shaka huwezi.
Nikikuambia kuna mtu real anaitwa pazi yupo na ashawahi kubebwa kichwa chini na jogoo mdomoni, na uthibitisho wa ku prove kua tukio hilo lilifanyika na mtu huyo yupo ni kutokana na kushindwa kwako kubebwa na jogoo, hapo nitakua nimethibitisha pazi na jogoo pamoja na tukio hilo ni habari za kweli?
Nakufahamisha kuna level mbili za kuumba/kuunda
1. Uwezo wa uumbaji wa MUNGU
2. Uwezo wa uundaji wa binadamu
Uwezo wa uumbaji wa Mungu
Huu ni uwezo wa uumbaji ambao anao Mungu pekee, katika uwezo huu Mungu ameumba ulimwengu usioonekana kwa macho(unlimited from time, space and matter) kama malaika n.k na ulimwengu unaoonekana kwa macho (limited to time, space and matter) kama sayari zote, jua, mwezi na nyota zote, vimondo, hewa, madini, gas na mafuta ardhini, mito, maziwa na bahari, samaki wa kila aina, ndege wa kila aina, mimea, nafaka, miti na matunda, wanyama wa kila aina na binadamu (mpaka wewe
Scars ,
Kiranga n.k )
NB:UWEZO HUU WA UUMBAJI ANAO MUNGU PEKEE
2. Uwezo wa uundaji wa binadamu
Huu ni uwezo ambao Mungu baada ya kumuumba binadamu akamuwekea akilini mwake, kupitia uwezo huu binadamu akaweza kuunda vitu kama magari, meli, nyumba, treni, ndege za angani, pikipiki, vitabu, peni, meza, viatu n.k
NB: KATIKA UWEZO HUU WA KIBINADAMU, HAUWEZI KUFANYIKA BILA KUTUMIA MALIGHAFI(RESOURCES) ALIZOZIUMBA MUNGU KABLA YA BINADAMU KUUBWA.
Kivipi,
Utaunda gari utatumia madini ya chuma, mafuta , waya nk as ingredients
utaunda meza utatumia mbao zitokanazo na miti aliyoumba Mung n.k
HIVYO,
Kushindwa kwa mtu kuumba kama katika level 1(
Uwezo wa uumbaji wa Mungu) kunathibitisha MUNGU PEKEE NDIE ALIYEUMBA.
kwani lazima viwe na chanzo?
Ndio ni lazima viwe na chanzo, vitu vilivyo kwenye ulimwengu unaoonekana kwa macho (The limited universe to time, space and matter) vinawezaje kuwepo bila kuwa na chanzo?
Haiwezekani, kama inawezekana onesha au tuelezee inawezekanaje
Vinathibitisha kama ifuatavyo :-
Nakufahamisha kuna level mbili za kuumba/kuunda
1. Uwezo wa uumbaji wa MUNGU
2. Uwezo wa uundaji wa binadamu
Uwezo wa uumbaji wa Mungu
Huu ni uwezo wa uumbaji ambao anao Mungu pekee, katika uwezo huu Mungu ameumba ulimwengu usioonekana kwa macho(unlimited from time, space and matter) kama malaika n.k na ulimwengu unaoonekana kwa macho (limited to time, space and matter) kama sayari zote, jua, mwezi na nyota zote, vimondo, hewa, madini, gas na mafuta ardhini, mito, maziwa na bahari, samaki wa kila aina, ndege wa kila aina, mimea, nafaka, miti na matunda, wanyama wa kila aina na binadamu (mpaka wewe
Scars ,
Kiranga n.k )
NB:UWEZO HUU WA UUMBAJI ANAO MUNGU PEKEE
2. Uwezo wa uundaji wa binadamu
Huu ni uwezo ambao Mungu baada ya kumuumba binadamu akamuwekea akilini mwake, kupitia uwezo huu binadamu akaweza kuunda vitu kama magari, meli, nyumba, treni, ndege za angani, pikipiki, vitabu, peni, meza, viatu n.k
NB: KATIKA UWEZO HUU WA KIBINADAMU, HAUWEZI KUFANYIKA BILA KUTUMIA MALIGHAFI(RESOURCES) ALIZOZIUMBA MUNGU KABLA YA BINADAMU KUUBWA.
Kivipi,
Utaunda gari utatumia madini ya chuma, mafuta , waya nk as ingredients
utaunda meza utatumia mbao zitokanazo na miti aliyoumba Mung n.k
HIVYO,
Kushindwa kwa mtu kuumba kama katika level 1(
Uwezo wa uumbaji wa Mungu) kunathibitisha MUNGU PEKEE NDIE ALIYEUMBA.
kwasababu ulimwengu huu hauna msimamizi mwenye ujuzi wote, muweza wa yote na mwenye upendo wote ambaye angeepusha dosari kama hizo
Mungu ameumba binadamu wa kwanza ME na KE ili waijaze dunia, akawawekea uwezo katika akili wa kujitambua, binadamu hao hao kwa lifestyle yao mbovu wakasababisha matatizo duniani,
poor lifestyle in eating
poor moral lifestyle
war effects
poor medications
n.k
Kosa la Mungu ni nini hapo ikiwa alishaumba binadamu kamili, binadamu mwenyewe kwa lifestyle yake mbovu ikasababisha matatizo duniani, Mungu ana kosa gani hapo?
Unavuta sigara, unakunywa pombe, huli mlo kamili n.k Hilo ni kosa la Mungu au lako binadamu?
Nini kinachokufanya ujione special kwasababu umewazidi kitu fulani wanyama wakati nao kuna vingi wamekuzidi na huviwezi?
Mkuu wewe unaweza kutembea bila nguo mtaani kama wanyama?
Hujaweka evidence mahali popote
Ok, labda evidence nilizoziandika hapa akili yako haitaki kuelewa kwa makusudi.
Evidence ya kwanza ni wewe Scars (kwasababu wewe ni BINADAMU) umeumbwa na Mungu
Evidence zingine, unaweza kwa muda wako ukatoka nje kama ni usiku au mchana alafu ukaangalia jua, nyota, mwezi, mimea ardhini, miti na matunda, nafaka na mimea mbalimbali, mito, maziwa na bahari, samaki, ndege, wanyama, binadamu wenzio n.k
Hizo ni Evidence.
Hata kama sijui vimetokaje lakini hiyo haimaanishi ni mungu
Kwa kauli yako hiyo nahitaji kujua:-
Wewe haujui hivyo vitu vimetokeaje?