Inategemeana na jibu utalonipaUnauliza maswali na kujiwekea mwenyewe majibu, ndio maana nakuuliza hapo utakuwa umeelewa nini?
Nilikwambia useme jambo moja tu ambalo wewe unaliamini baada ya kupata uthibitisho ila hujafanya hivyo, matokeo yake ukaja na swali la kuniuliza kama najua kuwa imani si jambo la hakika? nikaamua kukuomba unieleweshe kuhusu hilo, ila hunieleweshi unaendelea kunipiga maswali tu.Kwa hiyo wewe ulipokua unasema swala la mungu ni imani ulikua huelewi imani ipo katika state gani?
Ok twende unavyotaka dogo.Inategemeana na jibu utalonipa
Kwenye haya maswali utayajibu vipi ili nikuambie namna nilivyoelewa?
Maswali yangu yenyewe ni haya
Je Mungu hana chanzo au anacho?
Kama jibu litasema "sijui" maana yake utakua hujui hicho chanzo cha mungu ila hautakubali kuwa mungu hana chanzo?
Kwa hiyo uliniambia niseme jambo moja la imani kwasababu hujui imani ni hakika au lah na hivyo ulikua unasubiria jibu langu?Nilikwambia useme jambo moja tu ambalo wewe unaliamini baada ya kupata uthibitisho ila hujafanya hivyo, matokeo yake ukaja na swali la kuniuliza kama najua kuwa imani si jambo la hakika? nikaamua kukuomba unieleweshe kuhusu hilo, ila hunieleweshi unaendelea kunipiga maswali tu.
Ulipokua unasema mungu yupo, ulikua unakusudia mungu gani na mwenye sifa zipi?Ok twende unavyotaka dogo.
Ili nijibu swali lako naomba kujua unamzungumzia mungu gani au mwenye sifa zipi?
Humu nishajadili hadi mungu beyonce, ndio maana nakuuliza huyo mungu unayemkusudia wewe ni yupi ili nimjue niweze kujibu swali lako.Ulipokua unasema mungu yupo, ulikua unakusudia mungu gani na mwenye sifa zipi?
Ndio ungejibu sasa kuwa huna jambo unaloamini.Kwa hiyo uliniambia niseme jambo moja la imani kwasababu hujui imani ni hakika au lah na hivyo ulikua unasubiria jibu langu?
Katika maelezo yangu kuna sehemu yeyote nimedai kuna jambo ambalo naliamini?
Katika huu mjadala hivi ni nani kati ya mimi na wewe aliyekuja na hoja kuhusu mambo ya imani?
Kwa hiyo beyonce ndio mungu unaye muamini?Humu nishajadili hadi mungu beyonce, ndio maana nakuuliza huyo mungu unayemkusudia wewe ni yupi ili nimjue niweze kujibu swali lako.
Kwani Katika huu mjadala hivi ni nani kati ya mimi na wewe aliyekuja na hoja kuhusu mambo ya imani?Ndio ungejibu sasa kuwa huna jambo unaloamini.
katika namna ambayo Ni tofauti na namna iliyofanya wew ukathibitisha kuwa yupo.Nani tena aliyekupa akili na ufahamu?
Nachouliza ni kwamba tunamthibitishaje huyo Mungu yani tukakuoneshe huko aliko umuone mwenyewe au vp hasa huko kumthibitisha Mungu kunapaswa kuwa?
formation ya hivyo vyote ndio inathibitisha uwepo wa mungu?Kwenu mnaojiita Atheist.
Nyie mnasema hakuna uwepo wa Mungu.
Kama hakuna uwepo wa Mungu lazima mtakua mnajua formation of the universe (ulimwengu) Formation ya vitu vyote hivi vifiatavyo:-
1. Sayari zote
2. Jua, mwezi na nyota zote
3. Bahari, mito na maziwa yote katika sayari dunia.
4. Gesi, mafuta na madini ardhini katika sayari dunia.
5. Samaki wa aina zote na viumbe vyote katika bahari, mito na maziwa.
6. Ndege wa aina zote
7. Wanyama wa aina zote
8. Binadamu
9. Miti ya aina zote, mimea na mbogamboga za aina zote
NB: Mtuambie hivyo vitu vimetokeaje, msikimbie hili swali.
kila kitu Kama kipi?Peleka ujinga wako huko kma iyo simu yko tu imetengenezwa kwanini Ardhi na mbingu na vyote vilivyomo visitengenezwe?
Mbona hatuoni Izi simu zikievolve tuu kama mnavojidai nyinyi anything kimeevolve tuu
Iyo science yenu mlolishwa kua anything evolve waambieni wafanye na pesa,simu,nguo,magari yaevolve tuu kama ni kweli
Nyie mumelishwa imani na hao maatheists lkn kusema ukweli hmna chchte nyinyi ila kila kitu munamtegemea Muumba
Mimi sina uthibitisho bali naamini yupo bila ya shaka, sasa wewe unataka uthibitisho ndio sielewi utahitaji picha yake au umuone mwenyewe ama vpkatika namna ambayo Ni tofauti na namna iliyofanya wew ukathibitisha kuwa yupo.
Ni mimi, na ndio nikasema kuwa hatuamini jambo kwa sababu ya uthibitisho.Kwani Katika huu mjadala hivi ni nani kati ya mimi na wewe aliyekuja na hoja kuhusu mambo ya imani?
Umeniuliza nilikuwa nazungumzia mungu gani ndio nimekujibu kuwa nimezungumzia miungu mingi hadi mungu beyonce.Kwa hiyo beyonce ndio mungu unaye muamini?
Kwa maana hiyo tutakubaliana kua kisichokua na uthibitisho hakina hakikaNi mimi, na ndio nikasema kuwa hatuamini jambo kwa sababu ya uthibitisho.
Mimi sijakuuliza miungu uliyoitaja, nimekuuliza imani yako ya mungu unayemuamini ni yupiUmeniuliza nilikuwa nazungumzia mungu gani ndio nimekujibu kuwa nimezungumzia miungu mingi hadi mungu beyonce.
Nachotaka ni wewe unitajie huyo mungu ambaye unataka nikwambie kama ana chanzo au hana chanzo, sasa sijui unakwama wapi au hautaki nikujibu?
Ni nini hakika?Kwa maana hiyo tutakubaliana kua kisichokua na uthibitisho hakina hakika
Mungu anayemuamini mimi hana chanzo?Mimi sijakuuliza miungu uliyoitaja, nimekuuliza imani yako ya mungu unayemuamini ni yupi
Kama beyonce ndio mungu unayemuamini niambie tu